Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "unyanyasaji wa kingono" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?

Nyinyi wanaharakati wa humu jamvini akili zenu zinaeleweka, mwananchi wa kawaida anayefaidika na zahanati huko mikoani hana kabisa fikra hizi za kwenu.

Mfanyabiashara wa kule Njombe anayeuza matikiti nje ya nchi kwa kuyabeba kwenye ndege za ATC zilizonunuliwa na hayati JPM hana muda wa kuziamini hizi hekaya zenu wasomi wa X.

Anayetumia treni ya SGR kila wiki kwenda Dodoma na kurudi hana muda wa kuziamini hizi habari za kipuuzi mnazozisambaza.
Hayo yote uliyotaja yana halalisha mauaji ya raia aliyofanya Magufuli? Yanahalalisha kuteka na kuua watu? Je, yanahalalisha kuuliwa kwa memba mwenzetu wa JF, Ben Saanane? Tafakari kabla ya kushabikia mauaji ya raia wasiokuwa na hatia mkuu.
 
Hayo yote uliyotaja yana halalisha mauaji ya raia aliyofanya Magufuli? Yanahalalisha kuteka na kuua watu? Je, yanahalalisha kuuliwa kwa memba mwenzetu wa JF, Ben Saanane? Tafakari kabla ya kushabikia mauaji ya raia wasiokuwa na hatia mkuu.
Hakuna anayeshabikia mauaji, kumbuka kuwa roho ya ukatili ipo dunia nzima. Sio kila mauaji unaweza kuyahusisha na mifumo ya kiuongozi kuna mengine ni dhuluma, wizi, dharau, mapenzi na masuala ya aina hiyo.
 
Mimi bwana kitabu cha Kabendera sijakisoma kabisa ila nimeona mitandaoni kuna kipande kwenye kitabu hicho kinaelezea kwamba mwendazake alivalia pajama kama maandalizi ya ubakaji kwa msaidizi wake ambaye kwa sasa ni Rais wetu. Naomba isiwe kweli kabisa.

Yaani mwendazake alivaa pajama ili akambake mama yetu na Rais wetu ? Duuuuuuh! Imeniuma sana kwasababu kiukweli nampenda sana huyu mama jamani na sikupenda kabisa hii taarifa itoke. Na ninaomba usiku na mchana iwe uongo kabisa na Kabendera ashughulikiwe aisee.


Nimejikuta najiuliza maswali mengi sana.

i/ Tukio la ubakaji liliishia hatua gani? Je, ni hatua ya kujibizana kwa maneno tu au palitokea purukushani yoyote ile? Inauma jamani Mmmmmh!

il/ Tukio la ubakaji lilitaka kutokea wapi ofisini,chumbani au sebureni? Jamani jamani.

iii/ Kipindi mwendazake akiwa amevaa pajama mama yetu sijui alikuwa amevaa nini? Nazidi kuumia sana.

iv/ Tukio la ubakaji lilitaka kutokea asubuhu,mchana,jioni au usiku? Kaaaah jamani.

v/ Shuhuda wa tukio la ubakaji ni nani na walikuwa mashuhuda wangapi? Na wao walikuwa wanafanya nini kipindi ubakaji unataka kutokea?

vi/ Huyu shuhuda ni mzalendo kiasi gani mpaka akatoa taarifa mbaya kama hii kwa Kabendera ili iandikwe watu waisome? Alishindwa kunyamaza jamani!

vii/ Lengo la kuiweka taarifa hii ya ubakaji ni nini jamani? Duuuuuh uwiiiiii.

viii/ Kabendera kakosa uzalendo kiasi gani mpaka akaamua kuandika taarifa ya hovyo kama hii ili watu waisome? Kwani kila ukweli lazima usemwe! Kama ni kweli lakini.

ix/ Hivi kabendera ni mtanzania mwenzetu kweli?

Mbona Kabendera alikuwa na taarifa nyingine nyingi tu za kuandika kama zile za kina Ben saanane kulikuwa hakuna haja ya kuandika taarifa ya kutaka kubakwa kwa Rais wetu.

Ila nilifurahi sana kusikia Rais wetu alimkatalia Mwendazake kutimiza hazma yake ya ubakaji na nilifurahi zaidi kusikia mama yetu na Rais wetu ilumuuma sana mpaka akataka kujiuzulu umakamu wa Rais.

Mamlaka kwanini mmeruhusu haya yaandikwe na Kabendera? Mnatutesa sisi wengine wenye mapenzi ya dhati na mama yetu na Rais wetu. Kuna vitu hasi hatupaswi kusikia kabisa kuhusu Rais wetu jamani. Sisi tulisheni taarifa chanya za tu za Rais wetu. Hizi za kubakana msingetuletea kabisa. Aaaaghhhhh.

Ila Kabendera miyeyusho sana huyu jamaa nyie hamjui tu.

Jamaa alikuwa ana mahaba na Wanawake WEUPE .....!!!
 
Kukisoma hicho kitabu ni sawa na kuangalia sinema aliyobuni mtayarishaji mmoja. Ukiwa huna ushahidi unaojitosheleza inakuwa ni fantasy fulani.
Wewe unaona fantasy kwa kuwa umelishwa uchawa kichwani mwako kumeondolewa ubongo zimejazwa chawa tupu!
 
Sio rahisi kwa mwanaume wa miaka zaidi ya 60, kumridhisha mwanamke ambaye anasagwa
 
SWALI LAKO:

Hivi mamlaka husika zilikuwa wapi mpaka kipande cha "ubakaji" kinaandikwa kwenye kitabu cha Kabendera?​


JIBU: ... MAMLAKA GANI HUSIKA ILISIMAMIA UCHAPISHAJI WA KITABU CHA KABENDERA?
😅
 
Mimi bwana kitabu cha Kabendera sijakisoma kabisa ila nimeona mitandaoni kuna kipande kwenye kitabu hicho kinaelezea kwamba mwendazake alivalia pajama kama maandalizi ya ubakaji kwa msaidizi wake ambaye kwa sasa ni Rais wetu. Naomba isiwe kweli kabisa.

Yaani mwendazake alivaa pajama ili akambake mama yetu na Rais wetu ? Duuuuuuh! Imeniuma sana kwasababu kiukweli nampenda sana huyu mama jamani na sikupenda kabisa hii taarifa itoke. Na ninaomba usiku na mchana iwe uongo kabisa na Kabendera ashughulikiwe aisee.


Nimejikuta najiuliza maswali mengi sana.

i/ Tukio la ubakaji liliishia hatua gani? Je, ni hatua ya kujibizana kwa maneno tu au palitokea purukushani yoyote ile? Inauma jamani Mmmmmh!

il/ Tukio la ubakaji lilitaka kutokea wapi ofisini,chumbani au sebureni? Jamani jamani.

iii/ Kipindi mwendazake akiwa amevaa pajama mama yetu sijui alikuwa amevaa nini? Nazidi kuumia sana.

iv/ Tukio la ubakaji lilitaka kutokea asubuhu,mchana,jioni au usiku? Kaaaah jamani.

v/ Shuhuda wa tukio la ubakaji ni nani na walikuwa mashuhuda wangapi? Na wao walikuwa wanafanya nini kipindi ubakaji unataka kutokea?

vi/ Huyu shuhuda ni mzalendo kiasi gani mpaka akatoa taarifa mbaya kama hii kwa Kabendera ili iandikwe watu waisome? Alishindwa kunyamaza jamani!

vii/ Lengo la kuiweka taarifa hii ya ubakaji ni nini jamani? Duuuuuh uwiiiiii.

viii/ Kabendera kakosa uzalendo kiasi gani mpaka akaamua kuandika taarifa ya hovyo kama hii ili watu waisome? Kwani kila ukweli lazima usemwe! Kama ni kweli lakini.

ix/ Hivi kabendera ni mtanzania mwenzetu kweli?

Mbona Kabendera alikuwa na taarifa nyingine nyingi tu za kuandika kama zile za kina Ben saanane kulikuwa hakuna haja ya kuandika taarifa ya kutaka kubakwa kwa Rais wetu.

Ila nilifurahi sana kusikia Rais wetu alimkatalia Mwendazake kutimiza hazma yake ya ubakaji na nilifurahi zaidi kusikia mama yetu na Rais wetu ilumuuma sana mpaka akataka kujiuzulu umakamu wa Rais.

Mamlaka kwanini mmeruhusu haya yaandikwe na Kabendera? Mnatutesa sisi wengine wenye mapenzi ya dhati na mama yetu na Rais wetu. Kuna vitu hasi hatupaswi kusikia kabisa kuhusu Rais wetu jamani. Sisi tulisheni taarifa chanya za tu za Rais wetu. Hizi za kubakana msingetuletea kabisa. Aaaaghhhhh.

Ila Kabendera miyeyusho sana huyu jamaa nyie hamjui tu.
Typically African mindset kumshughulikia aliyesema badala ya aliyetenda!
 
Mbona sijaona sehemu iliyoandikwa akitaka kumbaka? Naona imeandikwa 'inadaiwa alienda chumbani kwa Samia akiwa kavaa pyjamas nyakati za usiku mnene.'

Malizia, baada ya tukio hilo mama akataka kujiuzulu. Wrwe unadhani alitaka kukiuzulu kwa sababu Jiwe alivaa pajama tu?
 
Kuna watu wapo kazini kwa ajili ya kumtoa Rais Samia kwenye reli.Kwenye kitabu hiki cha kishamba wanajaribu kumuingiza Samia alivyokuwa Makamu.Hii si bahati mbaya.'It is a calculated move'.Sitashangaa wale vijana wenye uroho wa madaraka wakishirikiana na baadhi ya wazee wachache wasioridhika na walichokwisha kipata wapo nyuma ya Kabendera.Wanajitahidi kubuni kila aina ya uwongo ambao hata mtoto mdogo anaona huu ni ujinga wa kupikwa.
Kwa taarifa yenu Samia hakamatiki 2025,hata mkishirikiana mkitunga vitabu kumi.
 
Kwa matendo tu ya yule bwana uwezekano wa kufanya kituko kama hicho hupo we rejea tu maneno yake "baki na mavi yako nyumbani","unataka kupanuliwa wapi","miguu haifanyi kazi ila mguu wa tatu unafanya kazi?!",yule mtu alikuwa madman
 
In the name of president , nimesoma hiki kitabu kuna mambo mengi ni ya uongo kwa ukweli nilionao mimi , na katika yaliyoandikwa ambalo sina uhakika nalo ni hili la kwenda kwa vice na pajama .

1.Magufuli alikuwa muda mwingi sana usiku yuko macho na ndio alikuwa anafanya shughuli zake ,sioni ajabu yeye muda huo kuwa na pajama.

2.Magufuli alikuwa Rais muda wote ana ulinzi ni ngumu sana kufanya hilo tukio tena kwa kiongozi mwenzake .

3.Hatujui ukaribu wao ulikuwaje kabla , na Magufuli he was a man like other men na inawezekana kweli alikuwa na issue ya kudiscuss muda ila akachukulia poa code ya mavazi .

Je huwezi fanya kikao na pajama ? Nadhani tunajaribu kuoneshwa kuwa yule jamaa alikuwa katili sana .
 
Back
Top Bottom