Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Nimewaza sana uhuni uliofanyika South Africa je mashabiki hatuwezi fanya mandamano ili dunia ya soka ikajua uhuni tuliofanyiwa yani kwa idadi ile ya parade ya ubigwa tunavyokuwa wengi sasa hii iwe ya kupinga maamuzi ya refa South na mabango yetu kabisa uliwengu wa soka ujue ili next time uhuni kwa timu za Tanzania uwe mwisho
Wenzenu kina Gharib na viongozi wenye vipato vikubwa dakika mbili baada ya mechi, simu zao zilikuwa busy, kupanga mikakati ya biashara zao na namna ambavyo wataendelea kuchuma fedha za wajinga, nyie watu wa Uswazi, mnaoishi kama mbwa koko, bado mnalilia mambo ambayo hayawaingizii hata senti tano au elimu. Kweli bora uzae mwizi mjanja, kuliko toto jinga kama wewe. Hapo ulipo utakuwa hata shughuli ya kufanya ya maana yakuingiza kipato huna! Idiot at his/her summit!Usituoe kwenye hoja kiongozi hii siyo mada ya siasa na kama kiandamana kuhusu agenda unazosema watu si wameandamana mkapewa na ulinzi kabisa mlianza mwanza, mkaenda mbeya mkaenda arusha mkaja dar es salaam yani full ulinzi so kama unaona haitoshi anzisha mandamano mama kizimkazi karuhusu kabisa
Wewe anzisha tutakusupport tu kama mbeya, mwanza arusha na dar tulisupport
Yanga ajatolewa Yanga kafukuzwaJambo la muhimu ni kuwa Yanga kutolewa hayo mengine hayana umuhimu.....
Malipo hapa hapa duniani waliwadhulumu ihefu holi la tano 🤣🤣🤣🤣🤣Injinia raisi wa Yanga alipokua sauzi Africa alipoulizwa swali anaona timu gani zitacheza fainali ya club Bingwa alisema ni Mamelode na Alhly...anzeni nae kwanza
Pengine kiumri ni mdogo au ulikuwa bado ujafika mjini au ulikuwa ujui mambo ngoja nikwambie vyama vya upinzani Tz vishapoteza mvuto kwa vijana kutokana na tabia za viongozi tabia za kimalaya malaya, kukosa misimamo kununulika kirahisi kusalitiana kupenda madaraka hivyo inafanya mkose ushawishi kama zamaniWenzenu kina Gharib na viongozi wenye vipato vikubwa dakika mbili baada ya mechi, simu zao zilikuwa busy, kupanga mikakati ya biashara zao na namna ambavyo wataendelea kuchuma fedha za wajinga, nyie watu wa Uswazi, mnaoishi kama mbwa koko, bado mnalilia mambo ambayo hayawaingizii hata senti tano au elimu. Kweli bora uzae mwizi mjanja, kuliko toto jinga kama wewe. Hapo ulipo utakuwa hata shughuli ya kufanya ya maana yakuingiza kipato huna! Idiot at his/her summit!
Yanga inaksbiliwa na Mechi za NBC Premier League pia mechi za Azam Confederations, elekezeni nguvu kui support timu huko, achaneni na yaliyokwisha kutokea.Nimewaza sana uhuni uliofanyika South Africa je mashabiki hatuwezi fanya mandamano ili dunia ya soka ikajua uhuni tuliofanyiwa yani kwa idadi ile ya parade ya ubigwa tunavyokuwa wengi sasa hii iwe ya kupinga maamuzi ya refa South na mabango yetu kabisa uliwengu wa soka ujue ili next time uhuni kwa timu za Tanzania uwe mwisho
Hivi mimi kwenye maelezo yangu yote ni wapi nimezungumzia mambo ya upinzani? Rudia usome tena uelewe.Pengine kiumri ni mdogo au ulikuwa bado ujafika mjini au ulikuwa ujui mambo ngoja nikwambie vyama vya upinzani Tz vishapoteza mvuto kwa vijana kutokana na tabia za viongozi tabia za kimalaya malaya, kukosa misimamo kununulika kirahisi kusalitiana kupenda madaraka hivyo inafanya mkose ushawishi kama zamani
Ngoja nikuulize mwaka 1995 ulikuwa wapi kipindi Mrema anaagombea urais kupitia NCCR mageuzi ulikuwepo au ulikuwa bado upo vijijini uko ujui chochote basi kipindi hicho vijana walijitoa sana mpka baba wa mtoto wa hayati nyerere akawa mpinzani bwana makongoro nyerere alikuwa NCCR MAGEUZI yule na alikiwasha vijana walihamasika mpaka nyerere akamua kumsaidia mkapa kupiga kampeni akizunguka nchi nzima ila kipi kilifanya NCCR ipoteze mvuto na wanaichi kuipa kipaumbele CUF ni hizo hizo tabia za kimala malaya nilozosema
Haya mwaka 2000 ulikuwepo pale CUF ndio habari ya mjini vijana wanajitoa kwa hali na mali tunaimba ule wimbo wa CUF
Unawajua kina marehemu kasanga tumbo wewe so tulizana usione watu wapuuzi au wajinga wasipoongelea siasa maana tunazijua siasa za bongo ni njaa njaa tu na hakuna mwana siasa mpinzani wa bongo anayeweza toa watu ndani kwa sasa wakaandamane kwa sababu hakuna mvuto Pengine makonda aende ulinzani anaweza cause kaonyesha kitu ambacho watanzania wanakitaka kwa sasa ukweli na uwajibikaji
Kwaiyo ukija jukwaani hapa ukiona watu wana jadili mada furani kama haupo interested nayo tulia usilete ujuaji kugeuza wenzako mahuja wewe ndio una akili sana kwa kuwambia fanyeni hivi tulia pia acha dharau maana uandishi wako inaonekana wewe ni kijana mdogo ujui vitu bali unaiga iga vitu na una ushamba furani hivi maisha hayapo hivyo relax usikaze sana utazeeka
Inasikitisha sanaWenzenu kina Gharib na viongozi wenye vipato vikubwa dakika mbili baada ya mechi, simu zao zilikuwa busy, kupanga mikakati ya biashara zao na namna ambavyo wataendelea kuchuma fedha za wajinga, nyie watu wa Uswazi, mnaoishi kama mbwa koko, bado mnalilia mambo ambayo hayawaingizii hata senti tano au elimu. Kweli bora uzae mwizi mjanja, kuliko toto jinga kama wewe. Hapo ulipo utakuwa hata shughuli ya kufanya ya maana yakuingiza kipato huna! Idiot at his/her summit!
Kuandamana au kufanya vurugu kwa sababu ya mpira ni wendawazimu.Pengine kiumri ni mdogo au ulikuwa bado ujafika mjini au ulikuwa ujui mambo ngoja nikwambie vyama vya upinzani Tz vishapoteza mvuto kwa vijana kutokana na tabia za viongozi tabia za kimalaya malaya, kukosa misimamo kununulika kirahisi kusalitiana kupenda madaraka hivyo inafanya mkose ushawishi kama zamani
Ngoja nikuulize mwaka 1995 ulikuwa wapi kipindi Mrema anaagombea urais kupitia NCCR mageuzi ulikuwepo au ulikuwa bado upo vijijini uko ujui chochote basi kipindi hicho vijana walijitoa sana mpka baba wa mtoto wa hayati nyerere akawa mpinzani bwana makongoro nyerere alikuwa NCCR MAGEUZI yule na alikiwasha vijana walihamasika mpaka nyerere akamua kumsaidia mkapa kupiga kampeni akizunguka nchi nzima ila kipi kilifanya NCCR ipoteze mvuto na wanaichi kuipa kipaumbele CUF ni hizo hizo tabia za kimala malaya nilozosema
Haya mwaka 2000 ulikuwepo pale CUF ndio habari ya mjini vijana wanajitoa kwa hali na mali tunaimba ule wimbo wa CUF
Unawajua kina marehemu kasanga tumbo wewe so tulizana usione watu wapuuzi au wajinga wasipoongelea siasa maana tunazijua siasa za bongo ni njaa njaa tu na hakuna mwana siasa mpinzani wa bongo anayeweza toa watu ndani kwa sasa wakaandamane kwa sababu hakuna mvuto Pengine makonda aende ulinzani anaweza cause kaonyesha kitu ambacho watanzania wanakitaka kwa sasa ukweli na uwajibikaji
Kwaiyo ukija jukwaani hapa ukiona watu wana jadili mada furani kama haupo interested nayo tulia usilete ujuaji kugeuza wenzako mahuja wewe ndio una akili sana kwa kuwambia fanyeni hivi tulia pia acha dharau maana uandishi wako inaonekana wewe ni kijana mdogo ujui vitu bali unaiga iga vitu na una ushamba furani hivi maisha hayapo hivyo relax usikaze sana utazeeka
Iwe kafukuzwa iwe katolewa....jambo la msingi ni kuwa Yanga sio mshirikiYanga ajatolewa Yanga kafukuzwa
Nimewaza sana uhuni uliofanyika South Africa je mashabiki hatuwezi fanya mandamano ili dunia ya soka ikajua uhuni tuliofanyiwa yani kwa idadi ile ya parade ya ubigwa tunavyokuwa wengi sasa hii iwe ya kupinga maamuzi ya refa South na mabango yetu kabisa uliwengu wa soka ujue ili next time uhuni kwa timu za Tanzania uwe mwisho
Umeona eee hahahaahMalipo hapa hapa duniani waliwadhulumu ihefu holi la tano 🤣🤣🤣🤣🤣
Itafute u tube ile sfr yake alipoenda south Africa..sina bando la ku upload humu..Hebu weka hiyo clip au link akisema hivyo
Umeamua kwenda mbali sana sema hapa juzi TU mikutano ya Lowasa alijaza nani kama si vijana!?Pengine kiumri ni mdogo au ulikuwa bado ujafika mjini au ulikuwa ujui mambo ngoja nikwambie vyama vya upinzani Tz vishapoteza mvuto kwa vijana kutokana na tabia za viongozi tabia za kimalaya malaya, kukosa misimamo kununulika kirahisi kusalitiana kupenda madaraka hivyo inafanya mkose ushawishi kama zamani
Ngoja nikuulize mwaka 1995 ulikuwa wapi kipindi Mrema anaagombea urais kupitia NCCR mageuzi ulikuwepo au ulikuwa bado upo vijijini uko ujui chochote basi kipindi hicho vijana walijitoa sana mpka baba wa mtoto wa hayati nyerere akawa mpinzani bwana makongoro nyerere alikuwa NCCR MAGEUZI yule na alikiwasha vijana walihamasika mpaka nyerere akamua kumsaidia mkapa kupiga kampeni akizunguka nchi nzima ila kipi kilifanya NCCR ipoteze mvuto na wanaichi kuipa kipaumbele CUF ni hizo hizo tabia za kimala malaya nilozosema
Haya mwaka 2000 ulikuwepo pale CUF ndio habari ya mjini vijana wanajitoa kwa hali na mali tunaimba ule wimbo wa CUF
Unawajua kina marehemu kasanga tumbo wewe so tulizana usione watu wapuuzi au wajinga wasipoongelea siasa maana tunazijua siasa za bongo ni njaa njaa tu na hakuna mwana siasa mpinzani wa bongo anayeweza toa watu ndani kwa sasa wakaandamane kwa sababu hakuna mvuto Pengine makonda aende ulinzani anaweza cause kaonyesha kitu ambacho watanzania wanakitaka kwa sasa ukweli na uwajibikaji
Kwaiyo ukija jukwaani hapa ukiona watu wana jadili mada furani kama haupo interested nayo tulia usilete ujuaji kugeuza wenzako mahuja wewe ndio una akili sana kwa kuwambia fanyeni hivi tulia pia acha dharau maana uandishi wako inaonekana wewe ni kijana mdogo ujui vitu bali unaiga iga vitu na una ushamba furani hivi maisha hayapo hivyo relax usikaze sana utazeeka
Niliumia sana lo