Hivi mashabiki wa Yanga hatuwezi kufanya mandamano ili CAF wapate ujumbe kuwa tumeonewa

"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Bora umeongea wewe vijana tunaitaji ushawishi sasa wanatushawishi wenyewe mizingua acha kila mtu ashinde mechi yake siasa wafanye wao sisi watuachie mpira uzuri ukweli unajulikana utu ni kazi hakuna mwana siasa atakaye kurahishia maisha kama ufanyi kazi yoyote ya kukuletea kipato kama mtu ni msomi na anamini kiongozi furani akija basi maisha yake yakakuwa mazuri anajifanganya

Vijana tufanye kazi yoyote halali ili maisha ya ends na tuendelee furahia starehe asiyoitaji mamilioni mpira starehe ambayo haitaji ujie kusoma na kuandika starehe isiyo na matabaka sote tuna enjoy
 
Injinia raisi wa Yanga alipokua sauzi Africa alipoulizwa swali anaona timu gani zitacheza fainali ya club Bingwa alisema ni Mamelode na Alhly...anzeni nae kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…