Kombolela ulikuwa wa kiboya ila kuteneneza maari illikuwa poa sana. Siku hizi watoto wanaishia kuchezea ready made na kutazama makatuni.Nadhani Africans ndio watu pekee tunaoongoza kusifia mambo ya zamani hata kama yalikuwa na ujinga wa kiwango cha kusikitisha.
tukianza na kombolela- huu mchezo umesababisha watoto kuanza ngono mapema na kuwaharibu akili zao tangu utotoni, fikiria kitoto cha miaka 11 au 7 kinafanya huo ujinga.
Alafu leo nimwache mwanangu acheze kombolela seriously?.
Hivi mkuu marekani na sisi Tanzania yupi mbunifu na wenye uwezo wa kutumia akili?Ni kweli mambo yanabadilika lakini kuna baadhi ya michezo enzi hizo ilikuwa inawasaidia watoto hasa kwenye ubunifu na kutumia akili.
Nakumbuka tulikuwa tukiunda magari kwa kutumia vipande vya mbao na kandambili kama matairi bila kusahau tunaweka mpaka steering wheel kwa kutumia kamba fulani hivi, halafu tunatumia makoa kama springs, huu ulikuwa ubunifu wa hali ya juu.
Kama usemavyo zama zimebadilika, lakini nadhani kwa zama hizi na hawa watoto wetu suala la ubunifu litakuwepo kwa kiwango kidogo sana.
Mtoto ni wewe, wewe ni mtoto uliyekuwa nawewe ndio yule mtoto alitengeneza magari ya migomba tunekubaliani.Mkuu hicho ni kitu cha msingi kabisa ni creativity, yani mtoto kuona gari naye akatengeneza la kwake siyo kitu kidogo. Kuona pikipiki akatengeneza yake ni kitu kikubwa. kinachangamsha ubongo
Haya ndio madhara ya hiyo michezo.Hao hapo sasa
View attachment 1502448
Kuna mdau humu anaona ni kama ujinga. Mimi niko mtaani siku hizi sioni kabisa watoto wakicheza kama sisi zamani. Ni kweli mazingira yamebadilika lakini si mazuri kwa makuzi ya watoto wetuReady made zinaua uwezo wa akili na creativity .Uko sahihi.Nakumbuka Buguruni kuliwahi tokea mtoto akatengeneza kimtu kwa kutumia vijiti akaviunga unga akaweeka vinyanyaya vya kuota jalalani na kibetri kimoja.Kile akawa na akiimba nyimbo kile kimtu kinacheza kwa step bila kukosea na hajakisikilia .Yule mtoto kukizima alikuwa anachomoa kibetri.Na ili akichezeshe alikuwa anataka watu wachange shilingi mia mbili .Zikitimia anaweka betri anaimba kinacheza.
Kuna siku nikapita nikasema kale katoto kalikuwa hapa bado kapo ? nikaambiwa kalishabebwa kako japan na wazazi wake wale watu wakaniambia kuna siku kuna wajapan walipita wakakaona wakakashangaa wakashindwa kuona uhusiano uliopo kati ya yeye kuimba na kile kimtu cha miti kucheza wakati hana remote na kale kamtu ni kamti wakakahoji maswali machache kuwa inawezekanaje kakasema sijui mimi nilikuwa nacheza na wenzangu tunaunga unga nikaunga nikaona kiko hivi
Wakaondoka nako Japani kenyewe na wazazi wake
Watoto wanabidi waachiwe wasishinde kutwa kucheza video games!! Akili za creativity zitakufa .
Michezo ya watoto ya kiswahili ni gender based!! wasichana wanacheza peke yao na wavulana peke yao.Hakujawahi tokea michezo ya mchanganyiko ya watoto wa kiume na wa kike ya kiasili.Ya kizungu ndio ina shida ya hiyo mitatizo ya ngonoNadhani Africans ndio watu pekee tunaoongoza kusifia mambo ya zamani hata kama yalikuwa na ujinga wa kiwango cha kusikitisha.
tukianza na kombolela- huu mchezo umesababisha watoto kuanza ngono mapema na kuwaharibu akili zao tangu utotoni, fikiria kitoto cha miaka 11 au 7 kinafanya huo ujinga.
Alafu leo nimwache mwanangu acheze kombolela seriously?.
Weka vitu vitano ambacho ni matokeo ya ubunifu na uwezo wa kutumia akili kutoka africa, kabla ya video games.Ready made zinaua uwezo wa akili na creativity .Uko sahihi.Nakumbuka Buguruni kuliwahi tokea mtoto akatengeneza kimtu kwa kutumia vijiti akaviunga unga akaweeka vinyanyaya vya kuota jalalani na kibetri kimoja.Kile akawa na akiimba nyimbo kile kimtu kinacheza kwa step bila kukosea na hajakisikilia .Yule mtoto kukizima alikuwa anachomoa kibetri.Na ili akichezeshe alikuwa anataka watu wachange shilingi mia mbili .Zikitimia anaweka betri anaimba kinacheza.
Kuna siku nikapita nikasema kale katoto kalikuwa hapa bado kapo ? nikaambiwa kalishabebwa kako japan na wazazi wake wale watu wakaniambia kuna siku kuna wajapan walipita wakakaona wakakashangaa wakashindwa kuona uhusiano uliopo kati ya yeye kuimba na kile kimtu cha miti kucheza wakati hana remote na kale kamtu ni kamti wakakahoji maswali machache kuwa inawezekanaje kakasema sijui mimi nilikuwa nacheza na wenzangu tunaunga unga nikaunga nikaona kiko hivi
Wakaondoka nako Japani kenyewe na wazazi wake
Watoto wanabidi waachiwe wasishinde kutwa kucheza video games!! Akili za creativity zitakufa .
Walimchukua kule sababu kwanza walimuona ana akili wabunifu na nchi zao zinahitaji watu wenye akili wabunifu ,Sisi hatuhitaji wabunifu tunahitaji vitu vilivyobuniwa tayari sisi ni users tu!!! Wakaona aweza kufanya vizuri kule kwao kwenye maabara zao za ubunifu kuliko huku aweza wapa business kule akitengeneza waweza uza sana huku sababu sisi tunaabudu vitu made in Japan kuliko made in Tanzania!! Hata mimi nikigundua kitu naenda ulaya au marekani nitengenezee kule niiletee mibwege ya Africa inayoamini katika made in EUROPE and USA kwa sababu ukitengenezea hapa inakuponda!!Unadhani kwanini hao wajapan walimchukua?
Unadhani kama angebaki hapa angekuwa nani sasa hivi?
Point yako ni nini?
Kwanza sijawahi cheza video games mimi wala watoto wangu huwa naona ujinga mtupu ,Michezo kwangu ni ile ya kucheza physically KWANGU VIDEO GAMES SIO UBUNIFU NI UPUMBAVU TU WA KUPUMBAZA AKILIWeka vitu vitano ambacho ni matokeo ya ubunifu na uwezo wa kutumia akili kutoka africa, kabla ya video games.
Uzi unazungumzia Traditional Culture au michezo ya watoto mbonabunachanganya mambo.Michezo ya watoto ya kiswahili ni gender based!! wasichana wanacheza peke yao na wavulana peke yao.Hakujawahi tokea michezo ya mchanganyiko ya watoto wa kiume na wa kike ya kiasili.Ya kizungu ndio ina shida ya hiyo mitatizo ya ngono
Kwa taarifa nchi zote zinazothamini mambo ya zamani ndizo ziko developed.Mfano uingereza bado wana ufalme sisi uchifu tuliua, Japan pia,Norway,Sweden,DENMARK nk
Ukienda china wengi hawamezi panadol wanakunywa chinese traditional medicine dawa zao za zamani ni ziko juu hasa
Mwaka 1949 CHINA KULIFANYIKA kitu kinaitwa cultural revolution ambako mao tse tung alifunga mipaka yote ya china akasema marufuku ku import kitu chochote toka nje ya nchi na marufuku ku export chochote kiwe mila na destuiri dini nk akafunga uchumi (closed economy) Wakasema mzee tutaishije akasema bunini vya kwenu.Ndipo wachina waliopanza ugunduzi wa hali ya juu kwenye kila eneo ili watimize mahitaji ya wachina sasa hivi china soko limefurika wamekuwa giants wa exports hakuna nchi afrika hata tanzania hakuna nyumba isiyo na kitu cha kichina iwe cha ujenzi,jikoni ,stationary nk
Ona wahindi wanavyoenzi vitu vya zamani vya kwao wana hadi vyuo vikuu vya traditional medicine wanatoa hadi PHD wana maandishi yao ya zamani wanafundisha elimu kwa kutumia lugha yao na maandishi yao toka chekechea hadi phd
WACHINA,WAJAPAN,WAHINDI NA WAARABU wana maandishi ya kwao yasiyo haya ya mzungu ya a,b,c,d nk na lugha yao vitu vya zamani na wanavitumia kufundishia kuanzia chekechea hadi PHD kwa lugha na maandishi yao
Sisi waafrika ni homeless ni breed isiyo na chake cha zamani kazi kudakia dakia tu vya wengine kama mabwege.Hata michezo tu mtu una import video games si ubwege huo.Huwezi buni hata mchezo wako au ukafufua wako wa kale .Hata kucheza tu unataka kucheza kizungu!!! very funny!!
Sisi waafrika ndio peke yetu duniani ambao vyetu vya zamani tuna vizomea!!! tunachekelea mi video game ya wazungu na kuzomea vyetu.Hivi unaona raha gani hadi mtoto michezo a import toka nje ya nchi!!!
Feudalism thought; unajaribu kuweka watoto wako kwenye Vacuum ya ukoloni.Kwanza sijawahi cheza video games mimi wala watoto wangu huwa naona ujinga mtupu ,Michezo kwangu ni ile ya kucheza physically KWANGU VIDEO GAMES SIO UBUNIFU NI UPUMBAVU TU WA KUPUMBAZA AKILI
Umetishakombolela mkienda kujificha mnagongana kabisa ukouko, nimechakata bikra nyingi sana aisee kitamboo icho
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Yaani hii kila saa inaonyeshwa kuanzia asubuhi mpaka usiku.
Imenifanya kuwa mbunifu na surviver imenifanya niwe dare devil.Mtoto ni wewe, wewe ni mtoto uliyekuwa nawewe ndio yule mtoto alitengeneza magari ya migomba tunekubaliani.
Weka connection ya list yako yote ya hiyo michezo na maisha ya sasahivi. Imesaidia nini kwako binafsi na kijamii ?!
Unahisi ambaye hakufanya sio wabunifu na surviver, je sio ma Dear Devil ??Imenifanya kuwa mbunifu na surviver imenifanya niwe dare devil.
Wengi wao soft soft tu kama lotion. Hivi unajiuliza kwanini watu weupe namaanisha wachina, wazungu uwa wanapenda wapa watoto wao buildin blocks wachezee?Unahisi ambaye hakufanya sio wabunifu na surviver, je sio ma Dear Devil ??
Soft soft kivipi unataka kutuambia wewe mkakamavu kwa kuruka ukiti wa meme wa meme.Wengi wao soft soft tu kama lotion. Hivi unajiuliza kwanini watu weupe namaanisha wachina, wazungu uwa wanapenda wapa watoto wao buildin blocks wachezee?
Michezo ya kiswahili ni gender based? hiyo sikubali hata uniamshe nikiwa bado nipo ndotoni, humu jf Kuna watu wengi wanaonesha jinsi walivyoanza ngono mapema na sababu kubwa ni hiyo michezo na mmoja wapo kati ya mingi ni kombolela.Michezo ya watoto ya kiswahili ni gender based!! wasichana wanacheza peke yao na wavulana peke yao.Hakujawahi tokea michezo ya mchanganyiko ya watoto wa kiume na wa kike ya kiasili.Ya kizungu ndio ina shida ya hiyo mitatizo ya ngono
Kwa taarifa nchi zote zinazothamini mambo ya zamani ndizo ziko developed.Mfano uingereza bado wana ufalme sisi uchifu tuliua, Japan pia,Norway,Sweden,DENMARK nk
Ukienda china wengi hawamezi panadol wanakunywa chinese traditional medicine dawa zao za zamani ni ziko juu hasa
Mwaka 1949 CHINA KULIFANYIKA kitu kinaitwa cultural revolution ambako mao tse tung alifunga mipaka yote ya china akasema marufuku ku import kitu chochote toka nje ya nchi na marufuku ku export chochote kiwe mila na destuiri dini nk akafunga uchumi (closed economy) Wakasema mzee tutaishije akasema bunini vya kwenu.Ndipo wachina waliopanza ugunduzi wa hali ya juu kwenye kila eneo ili watimize mahitaji ya wachina sasa hivi china soko limefurika wamekuwa giants wa exports hakuna nchi afrika hata tanzania hakuna nyumba isiyo na kitu cha kichina iwe cha ujenzi,jikoni ,stationary nk
Ona wahindi wanavyoenzi vitu vya zamani vya kwao wana hadi vyuo vikuu vya traditional medicine wanatoa hadi PHD wana maandishi yao ya zamani wanafundisha elimu kwa kutumia lugha yao na maandishi yao toka chekechea hadi phd
WACHINA,WAJAPAN,WAHINDI NA WAARABU wana maandishi ya kwao yasiyo haya ya mzungu ya a,b,c,d nk na lugha yao vitu vya zamani na wanavitumia kufundishia kuanzia chekechea hadi PHD kwa lugha na maandishi yao
Sisi waafrika ni homeless ni breed isiyo na chake cha zamani kazi kudakia dakia tu vya wengine kama mabwege.Hata michezo tu mtu una import video games si ubwege huo.Huwezi buni hata mchezo wako au ukafufua wako wa kale .Hata kucheza tu unataka kucheza kizungu!!! very funny!!
Sisi waafrika ndio peke yetu duniani ambao vyetu vya zamani tuna vizomea!!! tunachekelea mi video game ya wazungu na kuzomea vyetu.Hivi unaona raha gani hadi mtoto michezo a import toka nje ya nchi!!!