Shida ya sisi waswahili tunachukulia kitu kikiwa maarufu ndio basi bora kuliko kingine.Kuna dawa isio na madhara ? Tuanze na chanjo za Covid19 za U.S
Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuuShida ya sisi waswahili tunachukulia kitu kikiwa maarufu ndio basi bora kuliko kingine.
Hajui kama hapa Tanzania kuna pharmaceutical companies nyingi tu zinazoendeshwa na wachina.
Hao johnson na Jonson anaowasemea mwaka jana tu kuna vipodozi vyao hapa Africa hususan West Africa vimepigwa marufuku kuwa huchochea vimelea vya saratani ya ngozi.
Statement ya 1 inapingana na ya 2 π€£ππππ hii ni kuthibitisha ulichoandika kina walakini tena mkubwa kupindukiaTofauti kubwa ni Wamarekani wavumbuzi wote ni wageni.
Wenye asili ya Marekani wamevumbua vitu vichache sana.
Wacha wapinzani wa USA wajipe moyoSio kweli
Uelewa wako upo finyu tu.Statement ya 1 inapingana na ya 2 π€£ππππ hii ni kuthibitisha ulichoandika kina walakini tena mkubwa kupindukia
Toka hapa π π π ,USA amekuja baada ya vita ya pili kuna watu humu walikuwa washazaliwaacha ushamba...Marekani anasapot hata hao founders wengi sio wamarekana kwa asili wamepewa uraia.Una mahaba ya ajabu ngoja nikwambie tech nyingi zilizopo leo chanzo ni USA hilo huwezi kataa
Hapa tunaongelea mwanzilishi wengine wanadevelop tu!
Hivi warusi wangejuaje kuna nuclear bombs Kama wasingeona yakipigwa Nagasaki au Hiroshima .hao tiktok waliiga wapi? Ni sawa leo uanzishe biashara yako halafu wengine waige waimodify kwa kusoma udhaifu wa biashara yako. Halafu wapewe credit wao walikuwa wapi kuibuni? Ndo maana tunasema tech nyingi zinaanziaga west then east wanatwist na kuzinogesha
Hata wewe hapo asili yako siyo tanganyikaToka hapa π π π ,USA amekuja baada ya vita ya pili kuna watu humu walikuwa washazaliwaacha ushamba...Marekani anasapot hata hao founders wengi sio wamarekana kwa asili wamepewa uraia.
π πWachina ni real kasome wenye IQ kubwa kama sio Asia , wazungu kuvuruga tu na kuanzisha vita .Hata wewe hapo asili yako siyo tanganyika
Kwanza Zamani kabla ya kuja wakoloni Tanganyika haikuwepo? Kusema USA tech imeanza kukua baada ya vita ya pili umepuyanga nenda kasome kwanza ndo uje hapa
Mataifa yote yana mwanzo hata huyo China alikuwa anaexist Kama empires tu na siyo Kama alivyo sasa
Nimesoma fizikia mpaka level ya Advance sijawahi kutana na knowledge aliyoleta mchina karibia zote walileta westπ πWachina ni real kasome wenye IQ kubwa kama sio Asia , wazungu kuvuruga tu na kuanzisha vita .
Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
Ndio maana nasema nina mashaka na uelewa wako.Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
Suala la chemistry na physics na biology mkuu ni tofauti na inventions.Nimesoma fizikia mpaka level ya Advance sijawahi kutana na knowledge aliyoleta mchina karibia zote walileta west
Au nchi yako iliamua kukumbatia western Education?
Hata kwenye kemia ni hivo hivo
Elimu ya mzungu hiyo bado unatawaliwa π π theories hizo , wenzio wapo mbali sana kidunia hawasomi takataka hizo .Nimesoma fizikia mpaka level ya Advance sijawahi kutana na knowledge aliyoleta mchina karibia zote walileta west
Au nchi yako iliamua kukumbatia western Education?
Hata kwenye kemia ni hivo hivo
Moja ya vigezo vya kusomea profession niliyo nayo ni lazima usome fizikia.Elimu ya mzungu hiyo bado unatawaliwa π π theories hizo , wenzio wapo mbali sana kidunia hawasomi takataka hizo .
Nataka kujua hiyo fizikia imekufikisha wapi ?
Mie nakupa hints tu.Wachina wako wanaua mpaka watoto wao wenyewe google china milk scandals kwa kuweka melamin kwenye maziwa halaf ndo pharmaceuticals zao eti ziwe mbele ya US thubutuuu
Kwamba China na Tanganyika kuna mfanano ?Hata wewe hapo asili yako siyo tanganyika
Kwanza Zamani kabla ya kuja wakoloni Tanganyika haikuwepo? Kusema USA tech imeanza kukua baada ya vita ya pili umepuyanga nenda kasome kwanza ndo uje hapa
Mataifa yote yana mwanzo hata huyo China alikuwa anaexist Kama empires tu na siyo Kama alivyo sasa
Hapo ndo mnapochemshaga hizo inventions zilizingatia kanuni za asili mfano radar gun aliyetengeneza aliielewa doplar effect, aliyetengeneza x ray machine je? Tatizo mnafikiri fizikia ni akina galileo na Newton tu!Suala la chemistry na physics na biology mkuu ni tofauti na inventions.
Usifananishe hivyo vitu.
Unaleta masuala ya Galileo Galilei na masuala ya invention wapi na wapi mkuu!?
Kumbe hata wewe umeliona hilo!?Uelewa wako upo finyu tu.
Unachanganya inventions na matumizi ya principles of physics kwenye uundaji vitu.Hapo ndo mnapochemshaga hizo inventions zilizingatia kanuni za asili mfano radar gun aliyetengeneza aliielewa doplar effect, aliyetengeneza x ray machine je? Tatizo mnafikiri fizikia ni akina galileo na Newton tu!