Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Hivi mchina ana technolojia gani ya kumsinda Mmarekani?

Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
Ninaamini mchina amemuacha usa karibia kwenye kila idara ikiwepo budget. Sote tunajua kuwa usa ana kambi za kijeshi karibia kwenye kila nchi rafiki (
Despite recently closing hundreds of bases in Iraq and Afghanistan, the United States still maintains nearly 800 military bases in more than 70 countries and territories abroad—from giant “Little Americas” to small radar facilities. Britain, France and Russia, by contrast, have about 30 foreign bases combined.

By my calculation, maintaining bases and troops overseas cost $85 to $100 billion in fiscal year 2014; the total with bases and troops in warzones is $160 to $200 billion.) https://www.politico.com/magazine/story/2015/06/us-military-bases-around-the-world-119321/
Ukiondoa hilo, USA wanatumia matrilion ya pesa kwenye kufadhili ugaidi sehemu tofauti tofauti duniani. Ila tukienda kwa mchina, karibia asilimia 95 za bajeti yake, zinatumika kuisogeza nchi mbele kiuchumi.
Turudi kwenye uhalisia, tangu huu mwaka uanze, ni nani ametumia bidhaa ya mmarekani?? Kama wapo, basi walitumia sio zaidi ya bidhaa 3, nadra sana. Je bidhaa kutoka China?? Je umeona barabara na treni ngapi zinajengwa Africa na wakandarasi wa USA??? Ila China, wapo nchi zooote za kiafrica kujenga sio reli, sio trains, sio nyumba bali kila kitu complex wao wamo. USA ana budget kubwa sana, ila haimnifaishi. Fuatilia jinsi baadhi ya barabara na mazingira ndani ya USA yalivyochakaa, ila China yapo?? USA mitaa mwingine ni majunk tupu, ila China hamna huo ushenzi. USA amempiga mchina kwenye kutumiwa kwa pesa yake kama means of exchange duniani, ila kwenye kila sekta isipokuwa matumizi ya kijeshi, USA amegalagazwa kama mtoto wa darasa la 7 anayepigana na tyson mwenyewe.
 
🔹 Wanakula vyakula vile ambavyo mnaviita haramu ( kitimoto,nyoka, paka,Mbwa, BUNDI nk) Kumbe Siri ya kuwa na akili imefichwa hapo wewe umekomalia mila.za kiarabu na za ki zayuni eti hivyo haviliki wao wanakula wanaishinmiaka mingi na kuwa na akili kede kede

🔹 Wanafanya kazi masaa mengi hawana holiday hawana KUFUNGA kazi kwa ajili ya ibada. Wewe kwa siku unafanya kazi masaa mangapi? Una biashara lakini unaiendesha kiukoo na kidini wateja wakipungua unakimbikia kwa waganga umelogwa
 
2. Artificial intelligence and communications
1715843682791.png


1715843736504.png
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
4. Microchips ni kweli U.S ana lead kwenye critical technology ila kwa uwekezaji anaofanya Beijing napata ukakasi kusema kuwa U.S ataendelea kusumbua kwa miaka 10-20 ijayo.

Pamoja ya kwamba U.S ana lead kwenye teknolojia muhimu ya utengenezaji haimaanishi China yupo nyuma ? Hapana wana chuana na ndio maana U.S ana zidisha vikwazo ili kumhold back China upande huu.

Vikwazo vya U.S vinaweza kuwa na faida na hasara kwa pande zote mbili hapa kulingana na wakati.

Lakini naupa nafasi muda katika huu upande and of course nafuatilia sana ushindani wa Washington na washirika wake ka Japan, SK, Netherlands dhidi ya Beijing katika huu upande ushindani wao unanivutia sana na una funzo kubwa.
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
5. Computing sio kweli U.S hana upinzani hapa ana upinzani mkubwa sana toka kwa hao hao macho madogo.

Hapa U.S na China wanachuana haswa ni ngumu binafsi kusema nani ana mshinda zaidi mwenzake labda niwaachie wataalam zaidi wa masuala haya.
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
6. Kilimo wote binafsi wanafanya vizuri.

China, U.S, Russia hawa wanafanya vizuri sana upande huo
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
7. Madawa ni sawa tu na kwenye Semiconductor ni kweli U.S ana lead lakini haimaanishi hachuani na mchina hapana.

Mchina ni tishio sana kwa U.S kwenye Biotech na ndio maana sasa U.S inandaa Biotech bill itakayo punguza ushawishi wa makampuni ya China U.S
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
8. Ujenzi hapa China ana lead over U.S
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
9. Technology ya simu U.S, SK, China
 
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸
Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri.
1) Upande wa ndege hawana mpinzani
2) Mambo ya space science ni hatari
3) Magari ni hatari
4) Micro chips usiseme
5) Computing hawana mpinzani
6) Kwa kilimo ni hatari
7) Kwenye madawa wamo
8) Ujenzi ni hatari
9) Technology ya simu wanatisha

Na mengine mengi tu. Sasa Mimi najiuliza Mchina ana kitu gani cha kuwazidi hawa mabwana.
Upande wa Uchumi kuna gap kubwa mno. USA ana 28.7 trillion USD GDP. Mchina ana 18.5 trillion USD GDP. Gap hiyo ni kubwa.

Anguko LA USA sio Leo wala kesho. Labda miaka Mia mbili Ijayo
Kwenye Computing hebu toa aisee,
 
China anamtishia Marekani kwa biashara inayohusu teknolojia ila sio kwa teknolojia. Teknolojia zote muhimu duniani kuanzia karne ya 18 zimekuwa zinagundulia Marekani na Ulaya. Huko Asia kwenye nchi kama China wamekuwa wakifanya ku copy, reverse engineering na maboresho ya hapa na pale kukakamata soko.
 
China anamtishia Marekani kwa biashara ila sio teknolojia. Teknolojia zote muhimu duniani kuanzia karne ya 18 zimekuwa zinagundulia Marekani na Ulaya. Huko Asia kwenye nchi kama China wamekuwa wakifanya ku copy, reverse engineering na maboresho ya hapa na pale kukakamata soko.
 
China ndio baba wa teknolijia achana na porojo za kupikwa.
Shida inaanzia pale mnapodhani kila teknolojia ipo public na mnaijua, Ni hio China pekee imeshindwa kuidhibiti Taiwan mpaka ikaingia kwenye mikono ya Mmarekani na sasa teknolojia ya Semicondutor inakuwa shared moja kwa moja USA..
Itachukua miaka mingi sana kwa China na washirika wake kumpiku Mmarekani.
 
Shida inaanzia pale mnapodhani kila teknolojia ipo public na mnaijua, Ni hio China pekee imeshindwa kuidhibiti Taiwan mpaka ikaingia kwenye mikono ya Mmarekani na sasa teknolojia ya Semicondutor inakuwa shared moja kwa moja USA..
Itachukua miaka mingi sana kwa China na washirika wake kumpiku Mmarekani.
😀 😀 😀 Kama mmedhibiti Taiwan mbona mpata tabu kwa TIktok? China ndio kinara duniani
 
Back
Top Bottom