leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,583
- 3,182
Mwanzoni walikana, wamekubari baada ya shinikizo kuwa kubwa,rejea kamanda wa mkoa alisema Nini,ukiukwaji wa PGO Upo palepale.Leta hizo comments dhidi ya JPM halafu nikuwekee comments zangu dhidi ya Samia kwenye mkataba wa DP WORLD! Usidhani mimi nimeunga mkono ule mkataba, nimeukosoa kwa ustaarab....