Mjukuu wa Magika
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 550
- 1,071
Kipindi cha ENL kulikuwa na uhuru wa kujieleza na kukusanyika. Tafiti nyingi nimezifanya kwa kujivika ukada wa CCM nimepingwa sana na vijana, wakimama na wazee. Kila nikiwa kwenye usafiri wa umma, daladala au bodaboda wengi wanamchukia sana jiwe. Kuna msiba nilienda kama kawaida yangu kwenye hoja za kampeni nikawa upande wa CCM wazee walinishambulia balaaLowassa aliwajaza watu kuliko lissu, tunasubiri tu tarehe28 tukamfyeke huyo raia wa ubelgiji
Hichi kimdada nacho.JIBU NI YES YES✌✌✌✌✌✌✌
HII HAPA NDO ITAMUTUPILIA KWA MBALI
NGUVU YA UMMA
ccm ilipingwa 2015 siyo leo, uchaguzi wa mwaka huu rahisi sana kwa ccm, lissu anachangamsha mjadala tu, lakini kwenye sanduku la kura hana chake, kupata kura siyo kutegemea kujaza nyomi peke yake. Mrema alijaza sana, Lipumba alijaza sana enzi za ngangali, Slaa alijaza kama kawa, Lowassa ndiyo usiseme yeye alivunja rekodi ya wengine. Finally ni ccm iliyochukua na kuweka kibindoni ushindi mnono awamu zote.Kipindi cha ENL kulikuwa na uhuru wa kujieleza na kukusanyika. Tafiti nyingi nimezifanya kwa kujivika ukada wa CCM nimepingwa sana na vijana, wakimama na wazee. Kila nikiwa kwenye usafiri wa umma, daladala au bodaboda wengi wanamchukia sana jiwe. Kuna msiba nilienda kama kawaida yangu kwenye hoja za kampeni nikawa upande wa CCM wazee walinishambulia balaa
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sheeeda kweli, eti ICCJIBU NI YES YES✌✌✌✌✌✌✌
HII HAPA NDO ITAMUTUPILIA KWA MBALI
NGUVU YA UMMA
mgonjwa weweeUwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sheeeda kweli, eti ICC
CHADEMA mnajiendea kama popo pasipo kufanya utafiti wa kisayansi.. Mngekuwa mmefanya mini Survey kuweza kujua kuwa mgombea wenu TundA Lissu ataambulia jumla ya 5% ya kura zote, mngetumia nguvu hii mnayoipoteza sasa, angalau muambulie majimbo mawili ya ubunge chama kiendelee kupata ruzuku ili kina Mnyika waweze kulipwa mishahara.kisiasa.
Kuna uwezekano CCM hata kura 40%% kisipate. Lissu anaweza kupewa 60% kama pumzi ya waliochoma. Swali ni je, Mgombea wa ccm anaweza kupata kura hata 40% kweli?
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sheeeda kweli, eti ICC
Kwa sasa hata wanaojiita ccm na wenyewe hawataki kusikia mtu anayeitwa magufuliMwaka 2015 watu walikua na imani sana na JPM kuhusu haki zao na maisha yao .
Suala la uvunjifu wa haki za Binadamu, Kuficha Bunge,kukamata kamata watu hovyo, kuvuruga mzunguko wa fedha kwa kuchota vihela vyote toka kwa wanyonge kupitia suhuru wa kila mahali, Kufunga midomo Vyombo vya habari, kupuuza na kuzuia vipaji vya watu kama waandishi wa habari lakini kwa kusema kuwa hawana Diploma au Digrii. Wakati huo huo wanawatumia wasanii wasiosoma sanaa zaidi ya vipaji .
Kuchanganya majeshi na Chama cha Mapinduzi kinyume na katiba.
Kufukuza wenye vyeti feki wakati huo huo kuna wateule wenye vyeti feki na wanalipwa mamilioni ya mishahara.
Kupitisha watu wanaokwepa kodi kugombea ubunge kinyume na katiba ya nchi.
Kununua wapinzani kwa gharama kubwa badala ya kujenga barabara vijijini.
Kuwanyima wananchi naendeleo kwa makusudi kwa sababu za kisiasa ili wajute wakati wanalipa kodi.
Kutoa elimu bure kwa shule za msingi zenye gharama ndogo kisha kuwatelekeza wanapofika kwenye vyuo vya ufundi na vya kati kwa kuwawekea Ada kubwa badala ya kuwakopesha kama wanavyofanya wale wa Digrii.
Pamoja na imani kubwa waliyokuwa nayo watanzania kwa JPM mwaka 2015 lakini alibebwa na Tume na usanii wa watu wajanja ,sasa mwaka 2020 imani ile imepungua kwa asilimia kubwa sana. Kuna kila dalili ya kukosa kura nyingi sana.
Akishindwa atastaafu tu kwa heshma mana hakuna mtu atakayepigana kumweka mtu madarakani aliyeshindwa.
Watajarubu kupima upepo lakini tsunami itawazomba kabisa.
Lisu anakubalika kutika kwenye mioyo ya watu.
Mungu alimpaka Mafuta JPM kama alivyompaka Mafuta Mfalme Sauli na kuitwa mpakwa Mafuta lakini baadae alipoanza kujaribu kumuua Kijana Daudi Mungu akiwimama na Daudi na kumpa ufalme Daudi.
JPM alipitishwa kwa uwezo wa Mungu na kupewa mamlaka na Mungu kwa kipindi chake kwa ajili ya kuwaweka watanzania mahali pa kuongea Lugha moja juu ya Haki zao walizoporwa na CCM kwa zaidi ya nusu Karne.
Hoja yako hapo nini ewe Kibendera
Wote wanasema Lissu anatosha na Jiwe outFanya utafiti bila mbwembwe za ushabiki wa hisia zako, jijengee kihoji watu bila kuonyesha mrengo wako (hakikisha hukosei ukaonekana), waulize ukiwa chumba Cha kupigia utampigia Nani kati ya Lisu na Magufuli, na kwa wale amba huwa wanasema sitaenda sitapiga kura, waulize ikiwa utaamua upige kura utampa nani?
Hutaacha kuona rangi!
kwan kwa sasa nani kazuiliwa kufanya kampeni?Kipindi cha ENL kulikuwa na uhuru wa kujieleza na kukusanyika. Tafiti nyingi nimezifanya kwa kujivika ukada wa CCM nimepingwa sana na vijana, wakimama na wazee. Kila nikiwa kwenye usafiri wa umma, daladala au bodaboda wengi wanamchukia sana jiwe. Kuna msiba nilienda kama kawaida yangu kwenye hoja za kampeni nikawa upande wa CCM wazee walinishambulia balaa
mawazo ya kufikirika hayoswala siyo kujaza. swala ni jpm hakubaliki kabisa. na tambua lowasa aliibiwa kura pia
we jidanganye. Lisu anachukua nchi asubuhi!CHADEMA mnajiendea kama popo pasipo kufanya utafiti wa kisayansi.. Mngekuwa mmefanya mini Survey kuweza kujua kuwa mgombea wenu TundA Lissu ataambulia jumla ya 5% ya kura zote, mngetumia nguvu hii mnayoipoteza sasa, angalau muambulie majimbo mawili ya ubunge chama kiendelee kupata ruzuku ili kina Mnyika waweze kulipwa mishahara.
Kwa kigezo kipi atafikisha hiyo 60%Nimeamini na huu ndio ukweli kwamba mgombea wa CCM atapoteza kiti chake siyo kwamba hajafanya kitu laahasha, shida kubwa ni mipangilio isyokua na mfumo ulionyooka. Ameshikilia kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja huku akiacha mambo madogo madogo yanayoigusa jamii. Hii kitu itamwangusha vibaya sana na walimshauri siyo wazoefu wa siasa za vyama vingi.
Unakimbilia kujenga mabarabara, mabwawa ya umeme, kununua mandege na kuhamisha mji kwenda Dodoma kwa wakati mmoja huku huduma zinazoingiza jamii moja kwa moja hutekelezi, watumishi wa umma umewaacha, ajira kiduchu kwa vijana,mikopo ya elimu ya juu shida tupu,huduma za afya bado ni tatizo, shida kwenye biashara mzunguko mgumu wa pesa mtaani, uhuru wa kujieleza ni shida. Haya yote yanachochea chuki, watu hawaangalii miundombinu hii wanataza maisha yao yanakwenda vipi.
Nataka niseme kwamba, kwa mwendo anaokimbia nao Tundu Lissu na hoja zake zenye mashiko na ngumu, ndiyo maana wananchi wengi wanakimbilia kwenye mikutano yake wakidhani kua huyu ndio mtu atakayewania shida zao badala ya yule anayetengeneza vitu kwa ajili ya mtaji wa kisiasa.
Kuna uwezekano CCM hata kura 40%% kisipate. Lissu anaweza kupewa 60% kama pumzi ya waliochoma. Swali ni je, Mgombea wa ccm anaweza kupata kura hata 40% kweli?
Kwa kigezo kipi afikishe hiyo 60% yaani kupata wale wati tunduma ndo mnadhani huo ni ushindi?Nimeamini na huu ndio ukweli kwamba mgombea wa CCM atapoteza kiti chake siyo kwamba hajafanya kitu laahasha, shida kubwa ni mipangilio isyokua na mfumo ulionyooka. Ameshikilia kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja huku akiacha mambo madogo madogo yanayoigusa jamii. Hii kitu itamwangusha vibaya sana na walimshauri siyo wazoefu wa siasa za vyama vingi.
Unakimbilia kujenga mabarabara, mabwawa ya umeme, kununua mandege na kuhamisha mji kwenda Dodoma kwa wakati mmoja huku huduma zinazoingiza jamii moja kwa moja hutekelezi, watumishi wa umma umewaacha, ajira kiduchu kwa vijana,mikopo ya elimu ya juu shida tupu,huduma za afya bado ni tatizo, shida kwenye biashara mzunguko mgumu wa pesa mtaani, uhuru wa kujieleza ni shida. Haya yote yanachochea chuki, watu hawaangalii miundombinu hii wanataza maisha yao yanakwenda vipi.
Nataka niseme kwamba, kwa mwendo anaokimbia nao Tundu Lissu na hoja zake zenye mashiko na ngumu, ndiyo maana wananchi wengi wanakimbilia kwenye mikutano yake wakidhani kua huyu ndio mtu atakayewania shida zao badala ya yule anayetengeneza vitu kwa ajili ya mtaji wa kisiasa.
Kuna uwezekano CCM hata kura 40%% kisipate. Lissu anaweza kupewa 60% kama pumzi ya waliochoma. Swali ni je, Mgombea wa ccm anaweza kupata kura hata 40% kweli?
40% zote hizo, zitoke wapi?Nimeamini na huu ndio ukweli kwamba mgombea wa CCM atapoteza kiti chake siyo kwamba hajafanya kitu laahasha, shida kubwa ni mipangilio isyokua na mfumo ulionyooka. Ameshikilia kufanya mambo makubwa kwa wakati mmoja huku akiacha mambo madogo madogo yanayoigusa jamii. Hii kitu itamwangusha vibaya sana na walimshauri siyo wazoefu wa siasa za vyama vingi.
Unakimbilia kujenga mabarabara, mabwawa ya umeme, kununua mandege na kuhamisha mji kwenda Dodoma kwa wakati mmoja huku huduma zinazoingiza jamii moja kwa moja hutekelezi, watumishi wa umma umewaacha, ajira kiduchu kwa vijana,mikopo ya elimu ya juu shida tupu,huduma za afya bado ni tatizo, shida kwenye biashara mzunguko mgumu wa pesa mtaani, uhuru wa kujieleza ni shida. Haya yote yanachochea chuki, watu hawaangalii miundombinu hii wanataza maisha yao yanakwenda vipi.
Nataka niseme kwamba, kwa mwendo anaokimbia nao Tundu Lissu na hoja zake zenye mashiko na ngumu, ndiyo maana wananchi wengi wanakimbilia kwenye mikutano yake wakidhani kua huyu ndio mtu atakayewania shida zao badala ya yule anayetengeneza vitu kwa ajili ya mtaji wa kisiasa.
Kuna uwezekano CCM hata kura 40%% kisipate. Lissu anaweza kupewa 60% kama pumzi ya waliochoma. Swali ni je, Mgombea wa ccm anaweza kupata kura hata 40% kweli?