Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
NI swali nimeuliza hapo, nisaidie kujibu basi.
Mimba huwa inakuwa ya mwanaume au mwanamke?
Mimba huwa inakuwa ya mwanaume au mwanamke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe biology ulizungusha duara nini nani anaebeba mimba?Naamini hili swali halina jibu.
Ya wote waliohusika kuiundamoNI swali nimeuliza hapo
Nisaidie kujibu basi
Mimba inakuwaga ya mwanaume au mwanamke??
Bado hujajibu swaliMimba ya mbeba MIMBA
Ila mtoto wa mtiaji MIMBA
Nimemaliza Pepa naomba kutoka nje
Mwanaume anabeba mimba?Ya wote waliohusika kuiundamo
AiseeNaamini hili swali halina jibu.
Soma swali upyaMwanaume anabeba mimba?
🚶🚶🚶🚶Ya wote waliohusika kuiundamo
Wewe Mimi ndio nimepata hapo kiufupi zaidi mimba ni ya yule aliebeba mimba Ila mtoto ni wa mtiaji mimbaBado hujajibu swali
Ushafeli
Nishamaliza kujibu mimba ni ya yule aliebeba Ila mtoto ni wa mtiaji mimbaSoma swali upya
Wew demu wako akitoa mimba uliyompa unamdai km nani, Mpita this au km muhusika mkuu mwenye mimba iliyotolewaMwanaume anabeba mimba?
Kuna jirani hapa anasema Rudi memkwaNishamaliza kujibu mimba ni ya yule aliebeba Ila mtoto ni wa mtiaji mimba
Full stop
Mpita njia*Wew demu wako akitoa mimba uliyompa unamdai km nani, Mpita this au km muhusika mkuu mwenye mimba iliyotolewa
Jirani hapa amesema Rudi memkwaWewe Mimi ndio nimepata hapo kiufupi zaidi mimba ni ya yule aliebeba mimba Ila mtoto ni wa mtiaji mimba
DNA hua anapimwa baba hapimwi Mama hujiulizi kwanini?
Mimba ya mbeba mimba Ila mtoto wa mtiaji mimbaKuna jirani hapa anasema Rudi memkwa
0%Mimba ya mbeba mimba Ila mtoto wa mtiaji mimba
Nimemaliza Pepa mwl natoka nje
Sijawahi kudai mimba Mzee na mimba haidaiwiMpita njia*