stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Uliza swali vizuri Ila kwa ulivyouliza mimba ni ya mbebaji wa mimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza swali vizuri Ila kwa ulivyouliza mimba ni ya mbebaji wa mimba
Wanaume WA Dar utawajua tuSijawahi kudai mimba Mzee na mimba haidaiwi
We mwanaume WA Dar buana, hupendi majukumu yako unataka ubweteUliza swali vizuri Ila kwa ulivyouliza mimba ni ya mbebaji wa mimba
Mwanaume WA DarHapo usichanganye mimba na kiumbe baada ya Mimba.
Ila Mtoto wa Mtiaji mimba na Mimba ni ya alie ibebaa.
Jibu la mwanaume WA darYa mwanamke[emoji4]
Pole sanaNI swali nimeuliza hapo
Nisaidie kujibu basi
Mimba inakuwaga ya mwanaume au mwanamke?
Sio jibu la swali lakiniPole sana
Dedikesheni wimbo wa damond platnamz ova doziSio jibu la swali lakini
Typical majibu ya mwanaume WA darDedikesheni wimbo wa damond platnamz ova dozi
NITAWEKA UADUI KATI YAKO NYOKA NA (UZAO WA MWANAMKE)NI swali nimeuliza hapo
Nisaidie kujibu basi
Mimba inakuwaga ya mwanaume au mwanamke?
Majibu ya wanaume WA Dar ndio kama hiviNITAWEKA UADUI KATI YAKO NYOKA NA (UZAO WA MWANAMKE)
Mtoto mwenye hekima fahari kwa babae lakin mpumbavu ni mzigo kwa mamake,
sijakua kama naeza endelea
Ila majibu ya wanaume WA Dar NI balaaKuna binti ni mjamzito tume panga nae hapa mitaa ya mbagala, anasema mimba ni yajirani...🤣
Tunawapa mimba kwa chips zegeTypical majibu ya mwanaume WA dar
Bora mkafanye KAZI bandariniTunawapa mimba kwa chips zege
Halafu tuje tena kuwapa mimbaBora mkafanye KAZI bandarini
Samahani binti iyo biblia,Pengine kama kujaelewa ni vema unge ulizaMajibu ya wanaume WA Dar ndio kama hivi
Labda muwape waarabuHalafu tuje tena kuwapa mimba
Niulize unaishi mkoa au Dar??Samahani binti iyo biblia,Pengine kama kujaelewa ni vema unge uliza