Hivi mimba inakuwa ni ya mwanaume au mwanamke?

Hivi mimba inakuwa ni ya mwanaume au mwanamke?

Hapo usichanganye mimba na kiumbe baada ya Mimba.
Ila Mtoto wa Mtiaji mimba na Mimba ni ya alie ibebaa.
 
NI swali nimeuliza hapo

Nisaidie kujibu basi

Mimba inakuwaga ya mwanaume au mwanamke?
NITAWEKA UADUI KATI YAKO NYOKA NA (UZAO WA MWANAMKE)
Mtoto mwenye hekima fahari kwa babae lakin mpumbavu ni mzigo kwa mamake,
sijajua kama naeza endelea
 
NITAWEKA UADUI KATI YAKO NYOKA NA (UZAO WA MWANAMKE)
Mtoto mwenye hekima fahari kwa babae lakin mpumbavu ni mzigo kwa mamake,
sijakua kama naeza endelea
Majibu ya wanaume WA Dar ndio kama hivi
 
Back
Top Bottom