Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Tunawapa wadada wa daslama na mkoaniLabda muwape waarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawapa wadada wa daslama na mkoaniLabda muwape waarabu
Sio Kwa chips unazokulaTunawapa wadada wa daslama na mkoani
Wapemba na urojo watoto kibao sembuse zege na juis ya ami wa feriSio Kwa chips unazokula
Tutahisi uko na shida ya nguvu za kiume
ToshaNiulize unaishi mkoa au Dar??
Hao ndio mtawezanaWapemba na urojo watoto kibao sembuse zege na juis ya ami wa feri
Jibu la mwanaume WA darTosha
Mimba ya mwenye mbegu. Ndio maana binti akipewa mimba anafukuzwa kwao au shuleni amfuate aliye mpa mimba.NI swali nimeuliza hapo
Nisaidie kujibu basi
Mimba inakuwaga ya mwanaume au mwanamke?
Wanakuwa mwili mmoja, vimiminika vinakutana na kuwa mimba iliyotengenezwa na hao wawili waliofanyika kuwa mwili mmoja, ni mimba yao wote.Mimba inakuwaga ya mwanaume au mwanamke?
Stress za nini shemeji, wakati maisha yenyewe iz shoti...😜Ila majibu ya wanaume WA Dar NI balaa
HAWAPENDI stress🏃🏃🏃
Mimba ni ya mwanaume boss mwanamke anabeba tuNI swali nimeuliza hapo, nisaidie kujibu basi.
Mimba huwa inakuwa ya mwanaume au mwanamke?
KWA MUJIBU WA MFUMO DUME WA DUNIA MIMBA NI YA MWANAUME KISA MAHALI, KAMA HUJAMLIPIA MAHALI MTOTO ATAKAEZALUWA NI WA MWANAMKE.NI swali nimeuliza hapo, nisaidie kujibu basi.
Mimba huwa inakuwa ya mwanaume au mwanamke?
Hata wewe unawezekana mwendo 5g kama YangaHao ndio mtawezana