mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Jee ni nani anaembebesha mbeba mimba?Wewe nawe biology ulizungusha duara nini nani anaebeba mimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jee ni nani anaembebesha mbeba mimba?Wewe nawe biology ulizungusha duara nini nani anaebeba mimba?
Labda mwanamke apate mimba kwa kujiingiza sperms kwa njia artificial insemination mimba inachangiwa baina ya mwanamke (yai) na mwanamme (mbegu) bila ya moja katia yao mimba haipatikani naturalyNI swali nimeuliza hapo, nisaidie kujibu basi.
Mimba huwa inakuwa ya mwanaume au mwanamke?
Unaongea nini??Jee ni nani anaembebesha mbeba mimba?
Uzi ufungwe.Mimba ya mbeba MIMBA
Ila mtoto wa mtiaji MIMBA
Nimemaliza Pepa naomba kutoka nje
stow away said:Unaongea nini??
Hapo ni sentensi kuu mbilistow away said:
Wewe nawe biology ulizungusha duara nini nani anaebeba mimba?
Nami nimemjibu
Jee ni nani anaembebesha mbeba mimba?
kilichokushinda kuelewa hapo ni nini?
Chukua maua yakoMimba ya mwenye mbegu. Ndio maana binti akipewa mimba anafukuzwa kwao au shuleni amfuate aliye mpa mimba.
Kwakokwani iko kwa nani?
NimeyachukuaChukua maua yako
Utakuwa mwanaume WA Dar wewemimba ni ya mwanamke mtoto akizaliwa ni wa mwanaume. Case closed