kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Kuna jambo nmeliona hapa kwa hawa akina dada
Kumbe ukiwa na pesa just stay home na familia yako...... na ukitaka kutoka out basi toka na huyo huyo mkeo...
Nmegundua kua kumbe kuna wadau wakiwa na pesa wanakimbia familia
Zikipotea wanataka huruma za wake zao nyumbn?[emoji848][emoji848]
Au nasema uwongo @Sky Eclat @Karucee @Shadeeya @Numbisa @naa @Rowin
Ila wew @Rowin wew[emoji177][emoji3590][emoji3590][emoji177][emoji3590]
Kumbe ukiwa na pesa just stay home na familia yako...... na ukitaka kutoka out basi toka na huyo huyo mkeo...
Nmegundua kua kumbe kuna wadau wakiwa na pesa wanakimbia familia
Zikipotea wanataka huruma za wake zao nyumbn?[emoji848][emoji848]
Au nasema uwongo @Sky Eclat @Karucee @Shadeeya @Numbisa @naa @Rowin
Ila wew @Rowin wew[emoji177][emoji3590][emoji3590][emoji177][emoji3590]