Hivi mkeo unamuachia Tsh. ngapi unapotaka kwenda kazini?

Safi sana. Umetisha sana Mtu wa Nguvu. A true Gentleman.🤝🏽
 
We ngoja kuna watu wataoa kwa kusoma coment za wadau tuu huu uzi, enewey usioe kama huna kipato cha uhakika mwanaume ukiacha elfu kumi hakikisha na ingine unaweka akiba ,
 
Kwani katika ile Katiba yetu WABATA hili lipo kweli!!? Mimi sijawahi kuliona.
 
Eeh yaani mgeni kaja,mtu anajinunisha plus kulalamika hana pesa,full kisirani yaani wanawake sie Mungu anatuona.

Yaani kuna anko wangu alioa mwanamke yule alikuwa mchoyo,anamaind kula,ukienda kwake ushibe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una utu mno, hongera! Wengi wakifanikiwa huwa na viburi kwa ndugu waliosota nao. Ila wewe umewakumbatia nduguzo baada ya kufanikiwa, kiasi cha kukaa nao. Huu ni zaidi ya ubinadamu.
Ingawa tunajua kuwa ndugu hawanaga shukrani (watajaa kwako vinono vikiwepo na vikiisha watakimbia), ila kama mungu kakubariki wahudumie tu hasa swala la chakula na makazi.

Nimezipokea pongezi zako mkuu, asante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…