Akina Mangi na Muha wanajifaidiaga jamani mixer vicheko na viutani vya hapa na pale.Bora hata huyu anaacha buku mbili, kuna wengine hawaachi hata Mia.
Akirudi jioni anataka akute msosi mezani.
Mtasaidiwa sana na vijana wa genge.
Aisee!!! Kuna watu wagumu. 😂🤣😅Kuna member wa jana yule anaacha buku mbili
Safi sana. Umetisha sana Mtu wa Nguvu. A true Gentleman.🤝🏽Mimi ninanunua mchele,unga maharage gas na mkaa then kwa siku HAKUNA formula itategemea na siku hiyo nataka kula Nini kwa mfano nyama Basi lazima niache 5000 ambayo NI nusu uzuri tuko wawili TU hatuna mtoto na wife NI mama wa nyumbani Bado sijamuanzishia mradi...Ila kumbuka hapo nakuwa nishaenda naye sokoni weekend kununua vitunguu nusu vya 2000,nyanya za 3000,karoti 1000,hoho 1000, dagaa wa 3000 ,nyanya chungu 1000,..tangawizi za 1000, n.k.....af sometimes na Nazi ya buku muhimu kila siku na asbh ye namwachiaga jero anapenda mihogo au mandazi anakunywa na chai ...so kwa wastani jua NI 2000-5000,,, sometimes inavuka 7000...
Hata kama umeolewa au ndiyo sikuhizi mnaita 'NjooTuishi' si unamuachia mwenzio au unaachiwa chochote.Sie hatujaoa
Hatuna genderKumbe wewe wa kiume? Au ndio wale hawachagui gender
Swafiii.🤝🏽
Tatizo wanaume mnajiweka kama wanawake kwenye id.Hatuna gender
Na chenji ibaki maji utachota msikitini [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna member wa jana yule anaacha buku mbili
MAKUBWA!!!Tatizo wanaume mnajiweka kama wanawake kwenye id.
Mkuu kumbe na wewe ushaaga ukapelabuku 2 tu tunaishi kama China😅
HahahahhahahhaHahahahahah kwamba menu mnalia jikoni mafuta mafuta
Najitahidi mno mkuu, na hivi mambo yanapanda kila siku(vita vya russia na ukraine😀), emagine kipande cha sabuni sikuizi ni 600.Watu 9 ni balaa hata 25k per day unajitahidi kubalance
Mama anaupiga mwingi sana kuelekea golin kwakeNajitahidi mno mkuu, na hivi mambo yanapanda kila siku(vita vya russia na ukraine[emoji3]), emagine kipande cha sabuni sikuizi ni 600.
Eeh yaani mgeni kaja,mtu anajinunisha plus kulalamika hana pesa,full kisirani yaani wanawake sie Mungu anatuona.wanawake wengi hampendi kuona wageni wamekuja kwenu hasa ndugu wa waume zenu. Hapo utajinunisha tu ilimradi na kuhakikisha mboga ni marage na kabichi tu week nzima ata kama nyama zimejaa frijini.
Wengine huenda extra mile na kufunga friji na funguo kabisa hadi akirudi yeye kutoka kazini jioni ndio afungue.
Hasara ya aina hii ameipata bro wangu mmoja na mshua mkubwa..Kukanyaga majumbani mwao ni ishu sababu wake waduanzi
Ingawa tunajua kuwa ndugu hawanaga shukrani (watajaa kwako vinono vikiwepo na vikiisha watakimbia), ila kama mungu kakubariki wahudumie tu hasa swala la chakula na makazi.Una utu mno, hongera! Wengi wakifanikiwa huwa na viburi kwa ndugu waliosota nao. Ila wewe umewakumbatia nduguzo baada ya kufanikiwa, kiasi cha kukaa nao. Huu ni zaidi ya ubinadamu.