Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Akawekewa unga na tembele😂 wanawake Mungu anawaonaKuna member wa jana yule anaacha buku mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akawekewa unga na tembele😂 wanawake Mungu anawaonaKuna member wa jana yule anaacha buku mbili
Wote tunaenda kazini na wote tunalipwa mshahara na huko kazini hakuna salary ya mwanaume wala wa mwanamke!!! Wote sawa. Hakuna wa kumwachia mwenzake hela ya matumizi kudadeki kila mtu ale kwa jasho lake na bajeti ya matumizu ya nyumbani tunachangia 50% kwa 50%.Uzi tayari!
Kiasi gani cha matumizi unachomwachia mkeo ili kukidhi mahitaji ya kutwa na maandalizi ya chakula cha jioni?
Ambao hatujaoa njooni tujifunze hapa!
Mimi tembele ni miongoni mwa mboga zangu za majani pendwa. Nyingine ni mchicha na spinach.Kwani mkuu tembele Lina shida Gani? Ulipaswa uwe unakula Kila siku kama mboga ya pembeni
Kuna member wa jana yule anaacha buku mbili
Safi sana kwa moyo huo mkuu, Allah akuzidishie zaid na zaid InshaAllah [emoji2971]Hujakosea mkuu mimi ni ngosha, katika hao watu 9, watoto wangu ni watatu tu wengine ni ndugu zangu.
Wanawake Mungu anawaoa yan matembeleee na ungaAfu analalamika kuwekewa unga na matembele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una utu mno, hongera! Wengi wakifanikiwa huwa na viburi kwa ndugu waliosota nao. Ila wewe umewakumbatia nduguzo baada ya kufanikiwa, kiasi cha kukaa nao. Huu ni zaidi ya ubinadamu.Hujakosea mkuu mimi ni ngosha, katika hao watu 9, watoto wangu ni watatu tu wengine ni ndugu zangu.
Take care! Asije akawa anakunyonya kimya kimya huyo. Hakikisha hayupo kwako kimaslahi!Mimi sijaoa na girl friend naishi nae mshahara wangu 3M ,Humuachia mama watoto laki 9 yeye anamakiza show nzima ya mwez
Watu 9 ni balaa hata 25k per day unajitahidi kubalanceFamilia yangu ni kubwa kidogo(watu 9), zamani ikikuwa ni 15, ula sikuhizi naweza acha 25K au 20K kutokana na wanachotaka kuandaa( chai, cha mchana na usiku)
MAISHA yakikaza tunakoelea tutaanza kula tembele[emoji3].
Ndio madiko ya afya mkuubuku mbili hapo mboga za majani kwa sana, mabamia, supu ya mchicha na makabeji na liugali dona aliwakosi kwa wiki mara nne 😅
Hahahahahah kwamba menu mnalia jikoni mafuta mafutaHiyo inatokana na malezi ujue,,,sasa kama mzazi wageni wamefika nyumbani anapika msosi na kuwafungia jikoni wale,unategemea pale mtoto anafundishwa nini[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aki drop atajuta kuzaliwa😅Daah hongera hawa ndio wale wanaomba alio waimba Juma Nature "wenye nguvu za Simba na wasiogopa risasi......".
Nakuombea husidrop kiuchumi manake utakuwa ushajitengenezea kijehanum kako hapa hapa duniani.
wanawake wengi hampendi kuona wageni wamekuja kwenu hasa ndugu wa waume zenu. Hapo utajinunisha tu ilimradi na kuhakikisha mboga ni marage na kabichi tu week nzima ata kama nyama zimejaa frijini.Na ukiona kwako ni family kubwa na wageni wanapenda kufikia hapo jua ya kwamba mke sio mchoyo,
Hakuna kitu tunajiaribia sisi wanawake kama uchoyo wa chakula,,ukitaka uchukiwe basi kuwa mchoyo aisee hakuna mtu atatamani kuja kwako. Japo hawafuati kula hapo kwako,
wageni/family inabidi ipewe uhuru kwenye chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha ya nyumba iwe na watu wengi aisee sio mnakaa kipweke pweke hapanogi yani. Watu wawepo hasa ndugu zenu miksa na watoto waishi vizuri na company za wenzao inajenga bond nzuri mno.Nyumba inachangamka sana na chakula kinanoga yaani raha sana,
Wakiondoka nyumba inapooza sana,
Mwanzo ilikuwa ngumu sana kuzoea maisha ya family ya wat u wanna tu na kila mmoja akiamka na mishe zake kukutana jioni,mkipika chakula mnaangaliana tu,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mke umepata mkuu, raha sana ukiwa na mke ambaye sio mnonyaji yaniMimi ningelikuwa na uwezo hata 1M kwa mwezi namuachia ya matumizi,maana wife wangu sio mfujaji pesa.
Ukiskia mke kupenda ndio hivyo...Wala hawanaga matata huyo kama hujaoa oa kabisabuku 4 na siku nyengine tunashindia miogo na maji, ila binti kanielewa tunaishi kwa furaha.
Mjengoni kuna kila kitu anzia sukari wese gas na nafaka zote + nyama. Hio buku bee ni kwa ajili ya kubadilishia mboga za majani na dagaa mchele labda😅Bora hata huyu anaacha buku mbili, kuna wengine hawaachi hata Mia.
Akirudi jioni anataka akute msosi mezani.
Mtasaidiwa sana na vijana wa genge.