Hivi mkeo unamuachia Tsh. ngapi unapotaka kwenda kazini?

Hivi mkeo unamuachia Tsh. ngapi unapotaka kwenda kazini?

Mimi nikiwa na nafasi ya salio naacha matumizi ya mwezi mzima huku kila kitu kikiwa ndani.

Sitaki kero ya kuamka na madeni mwishowe unakuwa unaadopt mazingira ya madeni.

Ila wanawake wakorofi,utamuachia laki mbili ya matumizi lakini still atakuomba pesa ya vocha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haa haa haa eti wanawake wakorofi,[emoji23]
 
Hata mimi napenda, na wakiondoka nyumba inapwaya kabisa.

Raha ya kuidhi wengi,nyuma inakuwa changamfu muda wote na kama una watoto hawaidhi kiupweke.
Nyumba inachangamka sana na chakula kinanoga yaani raha sana,

Wakiondoka nyumba inapooza sana,

Mwanzo ilikuwa ngumu sana kuzoea maisha ya family ya wat u wanna tu na kila mmoja akiamka na mishe zake kukutana jioni,mkipika chakula mnaangaliana tu,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba inachangamka sana na chakula kinanoga yaani raha sana,

Wakiondoka nyumba inapooza sana,

Mwanzo ilikuwa ngumu sana kuzoea maisha ya family ya wat u wanna tu na kila mmoja akiamka na mishe zake kukutana jioni,mkipika chakula mnaangaliana tu,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Familia ya aina hii haiihitaji kuwa na mama mwenye nyumba mchoyo.
 
Familia ya aina hii haiihitaji kuwa na mama mwenye nyumba mchoyo.
Na ukiona kwako ni family kubwa na wageni wanapenda kufikia hapo jua ya kwamba mke sio mchoyo,

Hakuna kitu tunajiaribia sisi wanawake kama uchoyo wa chakula,,ukitaka uchukiwe basi kuwa mchoyo aisee hakuna mtu atatamani kuja kwako. Japo hawafuati kula hapo kwako,

wageni/family inabidi ipewe uhuru kwenye chakula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
200k-300k kwa mwezi

Unga,mafuta,Gas,mchele juu yangu

Ila kuna kipindi wakati namuoa sikuwa na uweZo huo hivyo nilikuwa natoa 150k na siongezi hata sh kumi plus unga,mchele,mafuta na gas.


Mpe mkeo mahitaji kulingana na uchumi wako unavyokwenda.

Awali ma mkwe nilikuwa nampa 50k na ba mkwe 80k kwa mwezi ila now ma mkwe 100k na ba mkwe 150k.

Kama mkeo hakupi stress na hela unatafuta vzr basi hakikisha uchumi ukipanda na watu wa karibu wananufaika maana pesa zipo zitumiwe tu.
Najua sio maisha yangu ila kwakua sijaona mchanganuo unaowalenga wazazi wako kama ilivyo kwa wakwe zako, ningependa kukushauri uwakumbuke pia unless wawe wameshatangulia mbele za haki.
 
Na ukiona kwako ni family kubwa na wageni wanapenda kufikia hapo jua ya kwamba mke sio mchoyo,

Hakuna kitu tunajiaribia sisi wanawake kama uchoyo wa chakula,,ukitaka uchukiwe basi kuwa mchoyo aisee hakuna mtu atatamani kuja kwako. Japo hawafuati kula hapo kwako,

wageni/family inabidi ipewe uhuru kwenye chakula

Sent using Jamii Forums mobile app
Kule kwetu usukumani wakati tunakua tulikuwa na slogan moja "mavyakula sio ya kumnyima mtu kama yapo", na ndio slogan yangu mpaka sasa maishani.

Yani kama uwezo wa kulisha upo, we mwaga tu msosi hata kama mengine utakuwa ni mkazaji (bahili)
 
Kule kwetu usukumani wakati tunakua tulikuwa na slogan moja "mavyakula sio ya kumnyima mtu kama yapo", na ndio slogan yangu mpaka sasa maishani.

Yani kama uwezo wa kulisha upo, we mwaga tu msosi hata kama mengine utakuwa ni mkazaji (bahili)
Hiyo inatokana na malezi ujue,,,sasa kama mzazi wageni wamefika nyumbani anapika msosi na kuwafungia jikoni wale,unategemea pale mtoto anafundishwa nini[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
200k-300k kwa mwezi

Unga,mafuta,Gas,mchele juu yangu

Ila kuna kipindi wakati namuoa sikuwa na uweZo huo hivyo nilikuwa natoa 150k na siongezi hata sh kumi plus unga,mchele,mafuta na gas.


Mpe mkeo mahitaji kulingana na uchumi wako unavyokwenda.

Awali ma mkwe nilikuwa nampa 50k na ba mkwe 80k kwa mwezi ila now ma mkwe 100k na ba mkwe 150k.

Kama mkeo hakupi stress na hela unatafuta vzr basi hakikisha uchumi ukipanda na watu wa karibu wananufaika maana pesa zipo zitumiwe tu.
Daah hongera hawa ndio wale wanaomba alio waimba Juma Nature "wenye nguvu za Simba na wasiogopa risasi......".

Nakuombea husidrop kiuchumi manake utakuwa ushajitengenezea kijehanum kako hapa hapa duniani.
 
Back
Top Bottom