Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni haki Leo hii mzee Zungu kuwa msaidizi wa Tulia Akson? Msaidizi kabsaaa? Lakini ndiyo hiyo; ni msaidizi tayari; mzee born town, mission town ndani ya jijini la Dar, Leo msaidizi wa mporipori kutoka huko Tukuyu ndanindani! Ukiweza kutegua hicho kitendawili utakuwa umepata jibu la swali ulilouliza.Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu sipika?View attachment 2135563
Ila zungu basi tu lakini Ilala ina barabara za hovyo Dar nzima.Hivi ni haki Leo hii mzee Zungu kuwa msaidizi wa Tulia Akson? Msaidizi kabsaaa? Lakini ndiyo hiyo; ni msaidizi tayari; mzee born town, mission town ndani ya jijini la Dar, Leo msaidizi wa mporipori kutoka huko Tukuyu ndanindani! Ukiweza kutegua hicho kitendawili utakuwa umepata jibu la swali ulilouliza.
Mpaka Zungu Ni Hovyo Huyo Babu TozoIla zungu basi tu lakini Ilala ina barabara za hovyo Dar nzima.
Maofisa na mawaziri wakiwemo makatibu walilazimishwa kujenga chatoHuyo alhaji alipewa kiwanja chato akajenga mjengo sijui nani snaishi huko sasa
Huyu Mzee sijui hata nani alimpendekeza kuwa NS??Mpaka Zungu Ni Hovyo Huyo Babu Tozo
Unamuona Hapo Kachoka Hata KutembeaHuyu Mzee sijui hata nani alimpendekeza kuwa NS??
Majina tu yanawabebaUnamuona Hapo Kachoka Hata Kutembea
Yaani Huyo Sukari, Pressure, Magoti, Vichomi, Kikohozi Vyote Vyake
Watafugiamo popoMaofisa na mawaziri wakiwemo makatibu walilazimishwa kujenga chato
Ndio wewe hapo nini!!!!!So ulitaka akae bila kazi..?
Acha ushamba wa kiboya ndugu unakuwa unaakili Kama za ng'ombe bhana! Tumia kichwa yako vizuri
Huo muda wa kuja kubishana huku ningetoa wapi..?ndio wewe hapo nini!!!!!
Huyo big kulia nimemuona akimpokea GSM begi airport ni Nani naye?Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu si
Anaitwa Tumbo Tumbo.Huyo big kulia nimemuona akimpokea GSM begi airport ni Nani naye?
Ndo jina lake shida ya Zungu ni mtoto wa Ilala atakua kamwomba mwenyewe kwamba namtaka alhaji anilinde, mlinzi anagonga za dukani yeye za mtumbaniJiwe alipenda kumuita jamaa "Alhaji"