Hivi mlinzi wa Hayati Magufuli ni mlinzi wa Naibu Spika Zungu kweli?

Hivi mlinzi wa Hayati Magufuli ni mlinzi wa Naibu Spika Zungu kweli?

Allowance huendana na cheo hubaki palepale
Haziondoki labda cheo kishuke huyo kashuka cheo?
Umeshindwa kutetea hoja ,unadhani kumlinda Rais ni sawa na kumlinda NS ni kweli kuna vitu atavikosa Rais ni mtu mzito.
 
Hilo huendana na rank ya cheo chake kuwa yeye ndie alikuwa senior kwa wenzie mfano mtu ni kanali wa jeshi hata umpeleke kulinda ofisi ya kata maruprupu yake ya ukanali yako palepale na allowance zake
Msiangalie mshahara tu,mwalimu mkuu ukishushwa cheo kuwa mwalimu wa kawaida ni fedhea japo mshahara haushuki
 
Kwa hadhi yake hakutakiwa kumlinda Naibu spika
Hadhi ipi hio?

Binadamu tunajisahau sana tuwapo hapa duniani,

Yani tunateswa na mambo ya hovyohovyo sana.

Hii inaleta tafsiri kwamba kama ingalikuwa ni wewe ungelipata tabu sana eti tu kwasababu ulikuwa mlinzi wa raisi na sasa ni mlinzi wa n.spika!
 
Huyo mwenye kiriba tumbo na mkono mfukoni upande wa kulia?
I mean short fat guy...
 
So ulitaka akae bila kazi..?
Acha ushamba wa kiboya ndugu unakuwa unaakili Kama za ng'ombe bhana! Tumia kichwa yako vizuri
Kati yake na wewe na "ung'ombe" umekukaa sana wewe!
Yaani huna hata uwezo wa kutafakari na kuelewa alichomaanisha katika andiko lake hilo?
 
Nini kimethibitisha kuwa ni mlinzi wa Zungu? What if alienda msibani kama wengine?
 
Huyu jamaa alikua miongoni mwa walinzi vipenzi wa Magufuli, leo namuona anamlinda naibu spika (zungu)
Hii ni demotion au ni nini?
Kwa nini asingepelekwa hata kumlinda Mwinyi au Makamu wa Rais?

View attachment 2135647
Mkuu kwanza haijulikani unamzunguzia nani kwenye hiyo picha.
Lakini swali la msingi: ina maana wote walio karibu na huyo naibu spika ni walinzi wake?
What if wote wameenda msibani kama wengine?

NB: Walinzi vipenzi wangekuwa alipo muda huu.
 
Sijui ni mlinzi yupi unayemzungumzia hapo.
Lakini siyo ajabu. Wenzake 'wanamfukuza'(for want of a better word) wanamwambia, "ondoka,tupishe,umeshapata enough glory and enough money." It is very simple kwa kweli thinking ya hawa watu.

Au, CCM ilishinda vizuri sana na kuchukua takriban viti vyote, labda Naibu Spika anahitaji ulinzi mzuri zaidi. Huwezi kujua. Labda Chadema wanaona wivu. Ulinzi wa Naibu Spika lazima uimarishwe.
 
Kazi za usalama ndio zilivyo unaweza ukawa sehemu nzuri kiongozi akifa au akistaafu unaweza kutupwa kwenye malindo huyo bahati yake
Watu mna roho mbaya sana. Huyo ni mtumishi wa umma hivyo anaweza kutumika popote pale serikali itakapomtaka. Jambo zuri ni kwamba bado yuko kwenye utumishi, kwamba hakutupwa nje.
Kuna watu humu hawajui kuwa kazi ya ulinzi wa viongozi ni kazi kama kazi nyingine yoyote na mlinzi wa kiongozi ni mlinzi tuu kama mlinzi mwingine yeyote, kiongozi mmoja akifa, mlinzi wake anapangiwa kazi ya ulinzi kwa kiongozi mwingine yeyote.
Kuna watu walitamani hao walinzi waendelee kumlinda kwa kulinda kaburi lake pale Chato.

Na sio mlinzi tuu anapangiwa, hata wasaidizi wake wote wanapangiwa kwa wengine.

Tena tushukuru sana modern civilization, tunge stick kwenye zile traditional zetu za asili kabisa, hata ... ingebidi na yeye ... so that life goes on.

Ila pia kiukweli humu jf tuna members.. na members, members wengine wa ajabu...
P
 
Kuna watu humu hawajui kuwa kazi ya ulinzi wa viongozi ni kazi kama kazi nyingine yoyote, kiongozi mmoja akifa, mlinzi anapangiwa kwa kiongozi mwingine yeyote.
Kuna watu walitamani hao walinzi waendelee kumlinda kwa kulinda kaburi lake pale Chato.
Kiukweli humu jf tuna members..
P
Africa tunashindwa kutofautisha kati 1) Security
2) Intelligence
) Epsionage...

Of all Epsionage I the best practice... Nilikataaa hii kazi ....
 
Back
Top Bottom