Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angemlinda hata MwinyiSasa unataka akalinde kaburi Chato?
Kwa hadhi yake hakutakiwa kumlinda Naibu spikaUmeambiwa mshahara wake au cheo chake vimeshuka?
Shida yako nini?
Hadhi yake maana yake nini? Hadhi ni cheo na mshahara wake kati ya hivyo nini kapungukiwa?Kwa hadhi yake hakutakiwa kumlinda Naibu spika
Kwani hadhi yake ni ipi? Huyu ni mtumishi wa umma, kazi anayopewa anafanya.Kwa hadhi yake hakutakiwa kumlinda Naibu spika
Zile allowance za enzi za jiwe.sasa kwa naibu spika hapo si njaa tu?Hadhi yake maana yake nini? Hadhi ni cheo na mshahara wake kati ya hivyo nini kapungukiwa?
Allowance huendana na cheo hubaki palepaleZile allowance za enzi za jiwe.sasa kwa naibu spika hapo si njaa tu?
Hadhi yake ni kuwa amewahi kuwa kiongozi wa jopo la ulinzi wa kiongozi mkuu wa nchi.Kwani hadhi yake ni ipi? Huyu ni mtumishi wa umma, kazi anayopewa anafanya.
Zile allowance za enzi za jiwe.sasa kwa naibu spika hapo si njaa tu?
Chui jike kaonekana?Leo Kwny Makaburi ya Kisutu kama kuna Chawa hajaonekana pale basi atakuwa nje ya Jiji au anaumwa!
Ila jamaa mbona kanenepa sana,anakula zoezi kweli huyo?Zungu atasafiri sana nke ya Nchi kuliko Magu hivyo atagonga sana foreign perdiem
Chui jike kaonekana?
Ila jamaa mbona kanenepa sana,anakula zoezi kweli huyo?
Hilo huendana na rank ya cheo chake kuwa yeye ndie alikuwa senior kwa wenzie mfano mtu ni kanali wa jeshi hata umpeleke kulinda ofisi ya kata maruprupu yake ya ukanali yako palepale na allowance zakeHadhi yake ni kuwa amewahi kuwa kiongozi wa jopo la ulinzi wa kiongozi mkuu wa nchi.
Kama hadhi ni cheo basi hadhi imeshuka kutoka kumlinda rais hadi kumlinda Naibu spika.Hadhi yake maana yake nini? Hadhi ni cheo na mshahara wake kati ya hivyo nini kapungukiwa?
Sasa wewe unaongelea kuuza sura kupiga picha na raisi akiwa nyuma RaisiKama hadhi ni cheo basi hadhi imeshuka kutoka kumlinda rais hadi kumlinda Naibu spika...
Ni wale wale walinzi wa ViongoziAnaitwa Tumbo Tumbo.