Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,089
- 4,816
[emoji23][emoji23]
Watu mnapenda kuchunguza maisha ya watu. Haya watoto wako watakula mchana?
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Watu mnapenda kuchunguza maisha ya watu. Haya watoto wako watakula mchana?
Mtoa mada ni mpumbavu kweli, ulitaka akalinde kaburi la Hayati?Au unafikiri ukiwa mlinzi wa Rais na ww cheo kimepanda?
Tena huyo nafikiri anashukuru Mungu bado anazunguka atakula posho, imagine mlinzi wa Mizengo Pinda ana hali gani maana trip kwenye mizinga ya nyuki, trip kwenye Mashamba ya mahindi
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app