Mtoa mada ni mpumbavu kweli, ulitaka akalinde kaburi la Hayati?Au unafikiri ukiwa mlinzi wa Rais na ww cheo kimepanda?
Tena huyo nafikiri anashukuru Mungu bado anazunguka atakula posho, imagine mlinzi wa Mizengo Pinda ana hali gani maana trip kwenye mizinga ya nyuki, trip kwenye Mashamba ya mahindi
HahahaahMshahara si ule ule au ulitaka azikwe na Magu ili akamlinde huko aliko
Naomba nisimalizie ili kuepuka kutukana watu, ila ni ukweli baadhi ya vichwa humu ni vya kufugia tuu nywele ila they are empty shells.
P
π€£π€£π€£π€£π€£So ulitaka akae bila kazi..?
Acha ushamba wa kiboya ndugu unakuwa unaakili Kama za ng'ombe bhana! Tumia kichwa yako vizuri
Kama mwenyewe karidhika shida iko wapi...Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu spika?
View attachment 2135563
we! atulie mumchinje!Ng'ombe acha fujo.
Atakuwa mlinzi binafsi wa familiaKulia picha ya zungu
Siku zinaenda kwa Kasi Sana.Huyo alhaji alipewa kiwanja Chato akajenga mjengo sijui nani snaishi huko sasa
Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu spika?
View attachment 2135563
Amelaaniwa yule amtumainiae mwanadamuSiku zinaenda kwa Kasi Sana.
Nimeelewa kwa nini wajinga wa sukumagang roho inawauma kumbe mzee wao aliwaingiza mkenge ππππHuyo alhaji alipewa kiwanja Chato akajenga mjengo sijui nani snaishi huko sasa
Hili ndio jibu sahihi kabisa. Angeweza hata akarudishwa kuwa RSO au DSO Kuna mzee mmoja alikuwaga enzi ya Kikwete akapata chapuo sehemu Ila Sasa hivi ni DSO sitataja alipo.Kwani aliajiriwa kuwa mlinzi wa Magufuli?yeye ni mtumishi wa kitengo anaeeza kupangiwa kazi yoyote.
Ilipaswa awepo nae huko jehanamu akimlinda.So ulitaka akae bila kazi..?
Acha ushamba wa kiboya ndugu unakuwa unaakili Kama za ng'ombe bhana! Tumia kichwa yako vizuri
Bonge yupo Ofsn Kwa DGIS Diwani Kwa sasaNilidhan yule bonge cheusi