Hii sio real, nyuma yake kuna vitu vingi visivyojulikana. Mwenyewe aliagiza, ole wake afanyaye kazi kwa mikono legevu, atapata umaskini wa kumtosha, wenye biblia someni. akasema tena, usiende mbele yake mikono mitupu.Umesahau Maji ya Upako kwa Mwamposa
Kula vizuri na vinono mfn kuku,nyama,kuvaa vizuri tupe ufafanuzi. Gawa kipato chako katika mafungu matatu. Fungu la kwanza aslimia 70 matumizi mhim na ya lazima. Fungu la pili asilimia 20 akiba na uwekezaji. Aslimia 10 misada na sitarehe. Kama inawezekana punguza kwenye matumizi mhim kadiri uwezavyo na ongeza kwenye fungu la pili kadiliuwezavyo.
Mjini wapi?Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Wategemezi?? Ulikuja nao duniani?Alafu ukifariki wategemezi wakose pa kwendaa..
Ukipata pesa weka kwanza sehemu ya kuweka ubavu..
Nimejikuta naangua kicheko....itoshe kusema mwenyezi Mungu alinichagua nizaliwe kwenye hii familia ya kawaida ya baba na mama na kupewa basic needs...Ila BABA ANGU AMEMJENGEA NYUMBA KILA MTOTO WAKE...Mimi na nyumba moja ya jiji hapa Tanzania ya kujengewa na BABA.Wategemezi?? Ulikuja nao duniani?
Kuhusu michango ya harusi nikikuchangia jua wewe ni mtu wangu wa karibu sana. Mwaka huu nimechangia harusi moja tu, 200000.Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Hahaha yaani tofali 200 hizo umempa jamaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃKuhusu michango ya harusi nikikuchangia jua wewe ni mtu wangu wa karibu sana. Mwaka huu nimechangia harusi moja tu, 200000.
Harusi ukiziendekeza zitakufirisi.
Hapoo kwenye nyumba moja mafundi 10 nimechekaa Kwa saut๐ ๐ ๐Mbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.
Sasa nyumba unayo, unataka kujenga tena??Nimejikuta naangua kicheko....itoshe kusema mwenyezi Mungu alinichagua nizaliwe kwenye hii familia ya kawaida ya baba na mama na kupewa basic needs...Ila BABA ANGU AMEMJENGEA NYUMBA KILA MTOTO WAKE...Mimi na nyumba moja ya jiji hapa Tanzania ya kujengewa na BABA.
mzima lakini?Hapoo kwenye nyumba moja mafundi 10 nimechekaa Kwa saut๐ ๐ ๐
Mimi mzima nipo site napambana na mafundimzima lakini?
Niwe mkweli sijawahi changia hii amount, mwana wa karibu sana haivuki laki, hao wengine ni mwendo wa 50 namchna sitaki kadi...hayo mavitu ni kausha damu sana.Kuhusu michango ya harusi nikikuchangia jua wewe ni mtu wangu wa karibu sana. Mwaka huu nimechangia harusi moja tu, 200000.
Harusi ukiziendekeza zitakufirisi.
Ni kweli, wenye ujasiri na wasio waoga wa maisha wanaishi maporini.Kujenga ni woga wa maisha, unajenga vipi njiani "dunia tunapita tu".
Ukipata tumbua, ukikosa jutia.
Kwanini usikitike? Mbona malipo mengine ya kodi ni kama rejesho la mkopo? Mfano unalipa kodi 600,000 kwa mwezi kuna ubaya kuchukua mkopo ujenge na urejeshe mkopo 600,000 kila mwezi?Kuna watu huwa wanakopa benki ili wajenge nyumba waache kulipa kodi, huwa nawasikitikia sana.
Hapo kwenye michango ya harusi, ndo pakuanza napo kupapotezeaKila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?
Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.
Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???
Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.
Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Kwanini uishi maporini na kuna hoteli na nyumba za kupanga kibao.Ni kweli, wenye ujasiri na wasio waoga wa maisha wanaishi maporini.
Kwao nyumba si kipaumbele.