Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

Hivi mliojenga hapa mjini, mliwezaje? Mna miujiza ama ni wezi?

Kula vizuri na vinono mfn kuku,nyama,kuvaa vizuri tupe ufafanuzi. Gawa kipato chako katika mafungu matatu. Fungu la kwanza aslimia 70 matumizi mhim na ya lazima. Fungu la pili asilimia 20 akiba na uwekezaji. Aslimia 10 misada na sitarehe. Kama inawezekana punguza kwenye matumizi mhim kadiri uwezavyo na ongeza kwenye fungu la pili kadiliuwezavyo.
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Mjini wapi?
 
Wategemezi?? Ulikuja nao duniani?
Nimejikuta naangua kicheko....itoshe kusema mwenyezi Mungu alinichagua nizaliwe kwenye hii familia ya kawaida ya baba na mama na kupewa basic needs...Ila BABA ANGU AMEMJENGEA NYUMBA KILA MTOTO WAKE...Mimi na nyumba moja ya jiji hapa Tanzania ya kujengewa na BABA.
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Kuhusu michango ya harusi nikikuchangia jua wewe ni mtu wangu wa karibu sana. Mwaka huu nimechangia harusi moja tu, 200000.
Harusi ukiziendekeza zitakufirisi.
 
Mbinu zinazotumika ni mchanganyiko sana, mbinu inayoongoza ni wizi( haijalishi aina ya wizi, ili mradi ulipata kiharamu), bonus ( usijali aina ya bonus, cha msingi ni bonus baada ya kusota), kudunduliza ( hapa utakuta nyumba moja imejengwa na mafundi kumi), mkopo ( toka benki, ofisini,jamaa, vikundi nk), kutunukiwa( zawadi toka ofisini, mshikaji, zali, bahati nasibu), urithi, kuokota nyumba.
Hapoo kwenye nyumba moja mafundi 10 nimechekaa Kwa saut😅😅😅
 
Nimejikuta naangua kicheko....itoshe kusema mwenyezi Mungu alinichagua nizaliwe kwenye hii familia ya kawaida ya baba na mama na kupewa basic needs...Ila BABA ANGU AMEMJENGEA NYUMBA KILA MTOTO WAKE...Mimi na nyumba moja ya jiji hapa Tanzania ya kujengewa na BABA.
Sasa nyumba unayo, unataka kujenga tena??
Baba yako ni jukumu lake maana alikuleta duniani, kama na wewe una wanao wajengee.

Kama uko mwenyewe, nyumba ni anasa.
 
Kuhusu michango ya harusi nikikuchangia jua wewe ni mtu wangu wa karibu sana. Mwaka huu nimechangia harusi moja tu, 200000.
Harusi ukiziendekeza zitakufirisi.
Niwe mkweli sijawahi changia hii amount, mwana wa karibu sana haivuki laki, hao wengine ni mwendo wa 50 namchna sitaki kadi...hayo mavitu ni kausha damu sana.
 
Kuna watu huwa wanakopa benki ili wajenge nyumba waache kulipa kodi, huwa nawasikitikia sana.
Kwanini usikitike? Mbona malipo mengine ya kodi ni kama rejesho la mkopo? Mfano unalipa kodi 600,000 kwa mwezi kuna ubaya kuchukua mkopo ujenge na urejeshe mkopo 600,000 kila mwezi?
Ukichukua mkopo baada miaka kadhaa nyumba inakuwa yako. Ukipanga hata miaka 20 utaendelea kuwa mpangaji tu.
 
Kila kitu hapa mjini kinahitaji hela, unawezaje kusevu hela mpaka ufike hatua ya kujenga?

Na ukichukuwa mkopo benki ndiyo hatari zaidi. Kama ni mkopo wa kutegemea mshahara utakuta unakuwa mteja wa kausha damu, na kama ni biashara utaona inakufa mbele ya macho yako.

Mjini mambo yote yanahitaji fedha. Unawezaje kujenga ???

Bado kuna michango ya harusi, kitchen party, birthday party, misiba, na mitoko ya weekends, bila kusahau kusaidia ndugu na jamaa wa vijijini.

Naomba mbinu mlizotumia. Na muwe wakweli.
Hapo kwenye michango ya harusi, ndo pakuanza napo kupapotezea
Epuka starehe za makundi, pemdelea zaisi kufanya vitu peke yako
Acha maigizo ya maisha, kama siku uchumi umebana piga ugali tembele lako kiroho safi tu. Usiogope kuchekwa.
Kama unataka kujenga nunua. Maeneo ya kuanzia maisha pia, boss kwezi ana viwanja vya hadi laki 8, nunua huko na ujenge simple dummy house, nasema dummy kwa sanabu mara zote viwanja vya bei kitonga huwa vibapatikana nje ya mji, kama mishe zako ni za mjini itakuwa ni almost impossible kwako kuishi kwe ye hiyo nyumba uliyojenga ila itakuwa ni stepping stone in case mambo yanagoma kabisa, na inaweza kuwa chaxhu ya ww kujenga nyimba nyingine sehemu unayopenda
 
Back
Top Bottom