Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.

Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?

Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.

OA
 
Ungejenga hoja Yako bila kuweka ushoga ungekuwa mwanaume kweli ila kuweka ushoga ndani yake ni ishara kuwa unahisia za kishoga na anus Yako hupwita pwita Kila uonapo kijana ambae hajaoa
Ukweli hauwezi kuukwepa mashoga wanakimbia majukumu ya uanaume,tamaa ya maisha mazuri na kutaka fedha za haraka,mkumbo wa marafiki n.k

ushoga ni kuescape majukumu
 
Mkuu unaweza kuwa ulikua una hoja nzuri ila umeharibu kabisa sio kila mtu hata anapenda kusikia haya madudu.
mkuu hicho kitu hakipingiki kuwa vijana wengi wanakimbia uanaume wao kwa kukimbia majukumu.

tamaa za fedha na maisha mazuri wanaangukia kwenye ushoga.

pambana OA siyo kuchovyachovya.

Mwanaume hakimbii majukumu,mwanaume hajitoi sadaka ya ili kupata huruma ya mtu,mwanaume ni mipango,mikakati na kukabili majukumu.
 
Ni ujinga na upumbavu kwa kijana kukimbilia kuoa.

Umepambana usiku na mchana jitihada zako zimeanza kuzaa matunda, huo ni wakati wa kufurahia maisha peke yako kama ambavyo ulikua unatafuta peke yako.

ukiwa katika prime yako usifanye ujinga wa kumpa hifadhi kahaba mstaafu ambae ashachuja na katika prime yake alikufungia vioo.

Panga mipango ya maisha yako, wekeza, talii maeneo unayoyapenda, kula bata, tembeza mboo mjini, enjoy your prime kama ambavyo hao demaged women walivyoenjoy prime zao kabla hawajachuja na kuanza kufikiria kuolewa.

After you have enjoyed yourself enough noe you want to settle with one lady then go for an innocent and fresh woman.
 
Back
Top Bottom