Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
its weekend watu waongee bhna wapunguze depression
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushayaaga mashindano mkuuMarriage is a business for women.
I learned this the hard way.
Kwani ukisema me shoga kisa sijaoa wakati najua mkeo nampiga paipu mpka anakutukana ndio nitakuwa shoga kweli.alaf wanapinga kusema nisitaja neno shoga,sasa wewe mwanaume hujaoa tutakuitaje ikiwa ujana nao ni namba?
ukivuka 30 hujaoa wewe ni.........papai
Kupiga paipu mke wangu haiondoi ukweli wa jambo.Kwani ukisema me shoga kisa sijaoa wakati najua mkeo nampiga paipu mpka anakutukana ndio nitakuwa shoga kweli.
Hawa waume za watu wamechefukwa stress za ndoa zao wanatuletea sisi....kabisa unampangia mwanaume mwenzako aishi vipi.Mkuu unaweza kuwa ulikua una hoja nzuri ila umeharibu kabisa sio kila mtu hata anapenda kusikia haya madudu.
Mnajuana!Ukweli hauwezi kuukwepa mashoga wanakimbia majukumu ya uanaume,tamaa ya maisha mazuri na kutaka fedha za haraka,mkumbo wa marafiki n.k
ushoga ni kuescape majukumu
Matatizo ya ndoa zao yamefanya kutwa kucha wanaongea hovyoHawa waume za watu wamechefukwa stress za ndoa zao wanatuletea sisi....kabisa unampangia mwanaume mwenzako aishi vipi.
Unapigaga kwenye mishono hatari.Ni ujinga na upumbavu kwa kijana kukimbilia kuoa.
Umepambana usiku na mchana jitihada zako zimeanza kuzaa matunda, huo ni wakati wa kufurahia maisha peke yako kama ambavyo ulikua unatafuta peke yako.
ukiwa katika prime yako usifanye ujinga wa kumpa hifadhi kahaba mstaafu ambae ashachuja na katika prime yake alikufungia vioo.
Panga mipango ya maisha yako, wekeza, talii maeneo unayoyapenda, kula bata, tembeza mboo mjini, enjoy your prime kama ambavyo hao demaged women walivyoenjoy prime zao kabla hawajachuja na kuanza kufikiria kuolewa.
After you have enjoyed yourself enough noe you want to settle with one lady then go for an innocent and fresh woman.
Kamanda skirini shoti kabisaUzuri ni kwamba servers za Jf zitafunza haya uliyoandika, miaka kadhaa mbele utayasoma na kufadhaika. Ndoa si kipimo cha majukumu!
Ujumbe mzuri ila ufikishaji ni kama unatufokea flani hivi.Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu,vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time,majukumu ya utafutaji yanakuandama,kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa?alafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
Kwani wasipoa kuna shida gani kwako mkuu?mkuu hicho kitu hakipingiki kuwa vijana wengi wanakimbia uanaume wao kwa kukimbia majukumu.
tamaa za fedha na maisha mazuri wanaangukia kwenye ushoga.
pambana OA siyo kuchovyachovya.
Mwanaume hakimbii majukumu,mwanaume hajitoi sadaka ya ili kupata huruma ya mtu,mwanaume ni mipango,mikakati na kukabili majukumu.
shida tena kubwa mkuuKwani wasipoa kuna shida gani kwako mkuu?
Umefoka sana bosi.Wavulana bado wamejilaza kama pundamilia porini.Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu,vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time,majukumu ya utafutaji yanakuandama,kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa?alafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
longtime agoUmeingia juzi tu kwenye ndoa umeanza kubweka..
Ngoja ufanyiwe ukatili utajua hujii