Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hii yote ni matokeo ya kuyaacha maagizo ya MUNGU na kushikamana na ajenda ya 50/50,haki za wanawake, wanawake wanaweza na kila aina ya ujinga uliojazwa vichwani mwa wanawake.
Heshima na hadhi ya watoto wakiume/wanaume imeporwa/imeondolewa,haki ya mamlaka na utawala imeporwa.
Ninadhani huu sio wakati wa kuhoji kwanini vijana/wanaume hawaoi,isipokuwa,swali liwe,ni kwanamna gani vijana/wanaume watapewa/watarudishiwa heshima na hadhi yao.
 
Rommy 3D alimuoa shilole. Jamaa alikuwa na majukumu gani?
Baba kafariki kaacha mjane na watoto 3. Wa kwanza ana miaka 16. Inabidi apambane kumlea mama yake na madogo zake...
 
I dont believe the government's trash info. Hao hata uchumi walisema tuko uchumi wa kati.
Unapaswa kuwa umejichokea mnoo kuiamin serukali, chukulia taarifa za serikali (hasa hiz serikali za kiafrika) kama highlights tu with a lot of plus or/and minus errors.

By the way, RC kanisa pekee wala kigezo pekee cha kutoa taswira za wafunga ndoa, kisa hawaoani huko RC, it doea mean it happens all other places.

NDoa hazijapitwa na wakat wala hazitaa pitwa na wakati
 
Mliooa bhana utaskia siongei na watoto, Naongea na watu wazima wenzangu

Teh! Teh! Teh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ