Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Umetoa point 3 kirahisi sana kwa team kataa ndoa,,,,yamkini umo kwenye ndoa si kwakua ni chaguo lako ila ww ulidanganywa😄😄😄sasa unakazi ya kujifariji ati ww ndio mwanaume,,,,my friend make no mistake about it, haya maisha ukishajikoroga kama ww hapo ulivyojikoroga lazima uanze kutapatapa kutafuta wafuasi wenzako mfarijiane,,,,,,,chakukushauri tu pambana na hali yako muheshimiwa😄😄🥱uliyavulia nguo baba yaoge na ukizingua kuendelea kuwa apeche alolo kama hivi ulivyo saiv mkeo ataliwa kimasihara na vijana wa hovyo😎

#kataa ndoa kama hujajipata,,,,ndoa inafanya utukane watu hovyo mitandaoni,,,,,ndoa inaleta depression kama aliyonayo mtoa mada😄
 
Umetoa point 3 kirahisi sana kwa team kataa ndoa,,,,yamkini umo kwenye ndoa si kwakua ni chaguo lako ila ww ulidanganywa😄😄😄sasa unakazi ya kujifariji ati ww ndio mwanaume,,,,my friend make no mistake about it, haya maisha ukishajikoroga kama ww hapo ulivyojikoroga lazima uanze kutapatapa kutafuta wafuasi wenzako mfarijiane,,,,,,,chakukushauri tu pambana na hali yako muheshimiwa😄😄🥱uliyavulia nguo baba yaoge na ukizingua kuendelea kuwa apeche alolo kama hivi ulivyo saiv mkeo ataliwa kimasihara na vijana wa hovyo😎

#kataa ndoa kama hujajipata,,,,ndoa inafanya utukane watu hovyo mitandaoni,,,,,ndoa inaleta depression kama aliyonayo mtoa mada😄
nambie yupi ni mtulivu wa akili kati ya watu wenye ndoa na hawa wanaojiita kataa ndoa?
 
nambie yupi ni mtulivu wa akili kati ya watu wenye ndoa na hawa wanaojiita kataa ndoa?
utulivu wa akili unakuja na mambo mengi ndugu,,,,kuna wanandoa wasio na utulivu wa akili kisa wamenyimwa tendo. Kwahiyo ndoa sio mlango rasmi wa kukuhakikishia utulivu wa akili na nafsi.
 
Ulifikiri kuendesha ndoa ni kama kuendesha kijiwe cha kahawa thubutu,
Umeona mambo magumu unakuja kutafuta wafuasi
Wa kukufariji aah wapi hujatupata,
Tushamsoma Esther Viral na title lake la sinema MANIPULATED MAN

Unakuja kutufokea hapa
Namna gani bwana ..

Unakuja Umelewa hapa!
😁😁
 
Sababu zinazofanya wanaume wengi kuoa ukitoa kupata watoto sababu nyingine zote ni za kupata huduma mathalani; kupata mtu wa kukufulia nguo, kukupikia na kuosha viombo. Kikubwa katika vyote ni sababu ya kimwili(NGONO). Ndomaana wengi wa watu waliojipata wanaopt kununua vitu kama washing mashine pia anaajiri mtu( saiv ajira ngumu cheap labour kibao) anakuja kusafisha nyumba, kuosha viombo na kupika kisha anaondoka,,,,,hela yako imekusave na shida na kero kibao za wanawake,,,,utaamua mwenyew ule nn uvae nn ulale na nani bila kupangiwa lini upate ngono lini usipate.Mwanaume ambaye anaishi mfumo huu wa maisha ana asilimia kubwa za kuwa na peace of mind and soul zaidi ya mtu anayeishi na mwanamke pika pakua sogea tulale.
 
Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.

Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?

Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.

OA
Wazee wa kujificha tukutane ukumbi gani kwajili ya kujadili Hawa vijana wanaoogopa majukumu ya ndoa.?

Ndoa TAMU pale unapovurugwa na Mke wako.
 
Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.

Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?

Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.

OA
Kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetu
 
Yaani ukijichanganya kuoa mwanamke pasua kichwa Dunia utaichukia
 
Back
Top Bottom