min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😆😆 hapana mkuu , ni stories ndefu mnoKwann mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆 hapana mkuu , ni stories ndefu mnoKwann mkuu
KAMA SIO BIKRA USIOEkwann
Mkuu mbona neno ushoga limekuuma sana kunani?Ungejenga hoja Yako bila kuweka ushoga ungekuwa mwanaume kweli ila kuweka ushoga ndani yake ni ishara kuwa unahisia za kishoga na anus Yako hupwita pwita Kila uonapo kijana ambae hajaoa
WEWE DEMU HAUOGOPIkwann
So tujitafute kwanza?😆😆 hapana mkuu , ni stories ndefu mno
Fuata malengo yako mkuu , ubongo wako una majibu ya matamanio yakoSo tujitafute kwanza?
nambie yupi ni mtulivu wa akili kati ya watu wenye ndoa na hawa wanaojiita kataa ndoa?Umetoa point 3 kirahisi sana kwa team kataa ndoa,,,,yamkini umo kwenye ndoa si kwakua ni chaguo lako ila ww ulidanganywa😄😄😄sasa unakazi ya kujifariji ati ww ndio mwanaume,,,,my friend make no mistake about it, haya maisha ukishajikoroga kama ww hapo ulivyojikoroga lazima uanze kutapatapa kutafuta wafuasi wenzako mfarijiane,,,,,,,chakukushauri tu pambana na hali yako muheshimiwa😄😄🥱uliyavulia nguo baba yaoge na ukizingua kuendelea kuwa apeche alolo kama hivi ulivyo saiv mkeo ataliwa kimasihara na vijana wa hovyo😎
#kataa ndoa kama hujajipata,,,,ndoa inafanya utukane watu hovyo mitandaoni,,,,,ndoa inaleta depression kama aliyonayo mtoa mada😄
WEWE SIO BIKRA NA HUJAOLEWA! WEWE NI MALAYA KAMA MALAYA WENGINEchakuogopa ni kipi mkuu
utulivu wa akili unakuja na mambo mengi ndugu,,,,kuna wanandoa wasio na utulivu wa akili kisa wamenyimwa tendo. Kwahiyo ndoa sio mlango rasmi wa kukuhakikishia utulivu wa akili na nafsi.nambie yupi ni mtulivu wa akili kati ya watu wenye ndoa na hawa wanaojiita kataa ndoa?
Wazee wa kujificha tukutane ukumbi gani kwajili ya kujadili Hawa vijana wanaoogopa majukumu ya ndoa.?Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
Kwenye ndoa zenu Kuna watoto wetuMwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
Acha ufara ushawahi ona bachera anajiua kisa mapenziacha kumlisha mwenzako ujinga
Wewe ni bwege kweli ushawahi kuishi na mwanamkewatu wengi wanafanikiwa kwenye ndoa acheni kucomlicate mambo.
Alikua mmoja n expecting the next.. mimi bwana 21 yrs mwaka wa kwanza tu chuoni mtoto wa kwanza 😂Mzee 25 ulisha oa, na watoto kadhaa duh