Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
SahihiUngejenga hoja Yako bila kuweka ushoga ungekuwa mwanaume kweli ila kuweka ushoga ndani yake ni ishara kuwa unahisia za kishoga na anus Yako hupwita pwita Kila uonapo kijana ambae hajaoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiUngejenga hoja Yako bila kuweka ushoga ungekuwa mwanaume kweli ila kuweka ushoga ndani yake ni ishara kuwa unahisia za kishoga na anus Yako hupwita pwita Kila uonapo kijana ambae hajaoa
Kwani mtu akafanya malengo yake kwanza unapungukiwa na nini?hakuna malengo ya kipuuzi kama hayo,kwani ukioa huku ukiendelea na mambo zako unapungukiwa nin?
kuna changamoto byingi atakuna nazo zinaweza kumvunja moyo na akashindwa kufikia hayo malengo,lakini ukiwa na mwenza wako hili jambo linakuwa simple kabisa.Kwani mtu akafanya malengo yake kwanza unapungukiwa na nini?
kUiga tembo kunya utapasuka msamba huwezi jua wazee wetu wana mbinu nyingiHii dhana ya kuoa na kuja kusaidiana uzee from my experience kwa msure wangu mama alifariki kitambo miaka ya 90 hadi leo msure yupo hajaoa wala nini na mzee na yupo fresh
Mkuu kama ndoa inakupa kipato ni wewe ,sio kila mtu,sijui kama unanielewa?kuna changamoto byingi atakuna nazo zinaweza kumvunja moyo na akashindwa kufikia hayo malengo,lakini ukiwa na mwenza wako hili jambo linakuwa simple kabisa.
hivi unajua kwamba ndoa hukupatia baraka ya kipato n.k?
watu wengi wanafanikiwa kwenye ndoa acheni kucomlicate mambo.Mkuu kama ndoa inakupa kipato ni wewe ,sio kila mtu,sijui kama unanielewa?
Mzee 25 ulisha oa, na watoto kadhaa duhKuwa na watoto ambao hata hujui wanashindaje na huwatunzi kwa 100% bado sio majukumu tosha. Na hapo ukute una miaka 25 au zaid..
Wengine at 25 tayar tuna watoto na kuoa kwa ndoa tushaoa.
Halafu mbongo aki sifia kitu, ogopa sanaMkuu kama ndoa inakupa kipato ni wewe ,sio kila mtu,sijui kama unanielewa?
Sure😆Halafu mbongo aki sifia kitu, ogopa sana
Weeeh hakuna kuamua mwenyewe, ulipo tupo.Uzuri Hela ntakua Nazo mtaamua wenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtoto mdooogo ushanyooshwa! Je ukifikia umri wetu🙆♀️🙆♀️Hahahaha kumbe unanichukia hivyo? Yule wa wanangu mdogo🤣🤣🤣🤣
Bado kido nafika 4 level, wewe jidanganye tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mtoto mdooogo ushanyooshwa! Je ukifikia umri wetu🙆♀️🙆♀️
Bado sanaaa totoo, usijali, utafikia tu.Bado kido nafika 4 level, wewe jidanganye tu🤣🤣🤣
Yeah nimefiwa na baba mkubwa.Bado sanaaa totoo, usijali, utafikia tu.
Halafu nimekumbuka, ulisema una msiba, au ulikuwa unatania!
Oooh pole sana totoo. May his soul rest easy.Yeah nimefiwa na baba mkubwa.
🙏 asante sana ,ila bora uendeleee na lile jina kuliko hili la toto😅😅😅Oooh pole sana totoo. May his soul rest easy.
Yote yanakufaa🤣🙏 asante sana ,ila bora uendeleee na lile jina kuliko hili la toto😅😅😅