Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Ndio , mpaka nikimwambia mama yangu kwa sasa sitaoa kwanza ,akikumbuka huwa hana la kusema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
pOle sana ila kuna kusahau huwez baki hivyo lazima utatafuta mwenza wa kubadilishana mawazo ndani nyumba siunajua upweke sio na uzee ndio unapiga hodi🤣🤣🤣🤣
 
Mwanaume ni jinsia izo zingne mnaleta ni propaganda tu
Ili uitwe mwanaume yyte yule mwenye uume na maumbile ya kiume uyo ni mwanaume

Mambo ya ndoa
Ujasili
Uvumilivi
Na madude mengne izo ni propaganda tu na acheni kutuletea propaganda zenu za kizaman
 
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
Should I call you mista? Mhafidhina07
Screenshot_20240630-104622.jpg
 
Kwa ufupi nyie ndo wale binaadmu mnaamini ili ufanikiwe lazma upitie shida uwo ni ufala na ushamba

Unaweza ukapitia shida na changamoto kibao ila usifanikiwe na kuna mwingne hajapitia shida wala hajui shida wala changamoto na amefanikiwa

Tuache kuishi maisha ya kukalili
 
pOle sana ila kuna kusahau huwez baki hivyo lazima utatafuta mwenza wa kubadilishana mawazo ndani nyumba siunajua upweke sio na uzee ndio unapiga hodi🤣🤣🤣🤣
Hii dhana ya kuoa na kuja kusaidiana uzee from my experience kwa msure wangu mama alifariki kitambo miaka ya 90 hadi leo msure yupo hajaoa wala nini na mzee na yupo fresh
 
Nina watoto wawili mkuu
Mkuu nakushauri achana na hilo dudu linaloitwa ndoa .
Mimi pia nina watoto 2 kwa wamama 2 tofauti maisha yapo fresh sitegemei kuoa kabisa.
Washkaji zangu walioa wote wanalalamikalalamika tu.
Jana tu tumeenda kumdhamini mshkaji mmoja aliyeoa Polisi aliwekwa ndani na mke wake just imagine kisa tu alimchapa kibao mke wake kwa kumkosea heshima
 
Mkuu nakushauri achana na hilo dudu linaloitwa ndoa .
Mimi pia nina watoto 2 kwa wamama 2 tofauti maisha yapo fresh sitegemei kuoa kabisa.
Washkaji zangu walioa wote wanalalamikalalamika tu.
Jana tu tumeenda kumdhamini mshkaji mmoja aliyeoa Polisi aliwekwa ndani na mke wake just imagine kisa tu alimchapa kibao mke wake kwa kumkosea heshima
acha kumlisha mwenzako ujinga
 
Mkuu nakushauri achana na hilo dudu linaloitwa ndoa .
Mimi pia nina watoto 2 kwa wamama 2 tofauti maisha yapo fresh sitegemei kuoa kabisa.
Washkaji zangu walioa wote wanalalamikalalamika tu jana tu tumeenda kumdhamini mshkaji Polisi aliwekwa ndani na mke wake just imagine kisa tu alimchapa kibao mke wake kwa kumkosea heshima
Ngoja nione itakavyo kua mkuu, haya mambo hayanaga mwongozo😅😅
 
Mkuu embu chunguza hata matajiri wengi hapa duniani hawana wake, watoto tu inatosha elon musk mwenyewe ana watoto zaidi ya 10 ila hana mke
hujui tamadani zao..wewe tamaduni yako inakutaka uoe baada ya kufikia umri sahihi na sio ukizeeka.
 
Back
Top Bottom