min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hahaha mimi sio hata mtu wa starehe zaidi ya mziki na mbege ya 500 basi😅😅Starehe si ni tamu eeeh🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mimi sio hata mtu wa starehe zaidi ya mziki na mbege ya 500 basi😅😅Starehe si ni tamu eeeh🤣🤣
Ila shindikana ulishindikana kitambo🙆♀️🙆♀️🤣Najua kwa sababu nilishaoa ,tena nikiwa kijana mdogo tu ,ndio kwanza nipo chuo mwaka wa pili🤔
Sawa chukua Kalamu na karatasivijana mnapenda kuchovyachovya
Makofi yatakuhusu, usituletee utani. Kule hakuna vijana legelege, na huoa mapema na kwa wakati.Ngoja nikaze ila mpaka nitoboe naiona 50 hii hapa🤣🤣🤣🤣
Tena bora kipindi hicho sasa hivi naona ndoa ipo nnje ya uwezo wangu kiakili kabisa, yani now sina akili kabisa ya kuvumilia matatzo ya ndoa🤣🤣🤣🤣Ila shindikana ulishindikana kitambo🙆♀️🙆♀️🤣
Hapo ulijiharakisha kujibebesha majukumu yaliyo nje ya uwezo wako kiakili, kijamii, na kiuchumi. Lazima unyookeee🤣
Wewe jichanganye tu, tutakulamba makofi.Hamna sifa ya kuteseka, kama una wito wa kuoa tafuta mwali upoe nae ndani kama upo kama Mimi nae ni jambo jema unaloweka tu
Nilikua mmoja wao ila baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani , nikiona mtu kaoa naenda kuchekea chooni🤣🤣🤣Makofi yatakuhusu, usituletee utani. Kule hakuna vijana legelege, na huoa mapema na kwa wakati.
Kwahiyo uliwapata kwa kuwanywa kwenye mbege eeeh?Hahaha mimi sio hata mtu wa starehe zaidi ya mziki na mbege ya 500 basi😅😅
🤣🤣🤣Kwahiyo uliwapata kwa kuwanywa kwenye mbege eeeh?
Na mwanaume akishajitambua kuwa hana au amepungukiwa na akili, basi a asioe wala kuzaa.Tena bora kipindi hicho sasa hivi naona ndoa ipo nnje ya uwezo wangu kiakili kabisa, yani now sina akili kabisa ya kuvumilia matatzo ya ndoa🤣🤣🤣🤣
Kwa mwandiko huu hujatimiza vigezo vya kuwa mwanaume.Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
Nani huyo alikunyoosha? Nina soda yake. Au ni yule mwalimu wako!!Nilikua mmoja wao ila baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani , nikiona mtu kaoa naenda kuchekea chooni🤣🤣🤣
1Makofi yatakuhusu, usituletee utani. Kule hakuna vijana legelege, na huoa mapema na kwa wakati.
Hii imefanyiwa utafiti na nani????Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.
Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?
Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.
OA
Haha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu kila mtu aishi anavyoona ni vyema , binafsi kwa malengo yangu bado sijafikia umri wa kuoa.
Uzuri Hela ntakua Nazo mtaamua wenyeweWewe jichanganye tu, tutakulamba makofi.
Hahahaha kumbe unanichukia hivyo? Yule wa wanangu mdogo🤣🤣🤣🤣Nani huyo alikunyoosha? Nina soda yake. Au ni yule mwalimu wako!!
Mama mchungaji umeamua kunicheka😪Haha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Punguza makasirikoVijana mlio na ndoa sijui mnajiona vip, simtulie na ndoa zenu 🤣🤣🤣🤣