Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Najua kwa sababu nilishaoa ,tena nikiwa kijana mdogo tu ,ndio kwanza nipo chuo mwaka wa pili🤔
Ila shindikana ulishindikana kitambo🙆‍♀️🙆‍♀️🤣
Hapo ulijiharakisha kujibebesha majukumu yaliyo nje ya uwezo wako kiakili, kijamii, na kiuchumi. Lazima unyookeee🤣
 
Ila shindikana ulishindikana kitambo🙆‍♀️🙆‍♀️🤣
Hapo ulijiharakisha kujibebesha majukumu yaliyo nje ya uwezo wako kiakili, kijamii, na kiuchumi. Lazima unyookeee🤣
Tena bora kipindi hicho sasa hivi naona ndoa ipo nnje ya uwezo wangu kiakili kabisa, yani now sina akili kabisa ya kuvumilia matatzo ya ndoa🤣🤣🤣🤣
 
Tena bora kipindi hicho sasa hivi naona ndoa ipo nnje ya uwezo wangu kiakili kabisa, yani now sina akili kabisa ya kuvumilia matatzo ya ndoa🤣🤣🤣🤣
Na mwanaume akishajitambua kuwa hana au amepungukiwa na akili, basi a asioe wala kuzaa.
 
Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.

Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?

Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.

OA
Kwa mwandiko huu hujatimiza vigezo vya kuwa mwanaume.
 
Mwanaume ni ujasiri wa kupokea majukumu na mara nyingi kipimo cha uanaume ni ndoa ikiwa huna ndoa wewe ni mvulana tu, vijana mnapenda kuchovyachovya lakini ukiingia kwenye ndoa unakutana na mke wako any time, majukumu ya utafutaji yanakuandama, kitanda plus ada za watoto zinakusubiri.

Lakini mwanaume unatoboa kwa namna yeyote,hivi inakuwaje kijana unayopesa ya kuoa na hujaoa mpaka sasa? Halafu unajiita mwanaume?

Mashoga ndiyo wanakimbia majukumu ya uanaume.

OA
Hii imefanyiwa utafiti na nani????

Kama ni kichwa chako 🏃 🏃 🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom