Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Ni ujinga na upumbavu kwa kijana kukimbilia kuoa.

Umepambana usiku na mchana jitihada zako zimeanza kuzaa matunda, huo ni wakati wa kufurahia maisha peke yako kama ambavyo ulikua unatafuta peke yako.

ukiwa katika prime yako usifanye ujinga wa kumpa hifadhi kahaba mstaafu ambae ashachuja na katika prime yake alikufungia vioo.

Panga mipango ya maisha yako, wekeza, talii maeneo unayoyapenda, kula bata, tembeza mboo mjini, enjoy your prime kama ambavyo hao demaged women walivyoenjoy prime zao kabla hawajachuja na kuanza kufikiria kuolewa.

After you have enjoyed yourself enough noe you want to settle with one lady then go for an innocent and fresh woman.
Toka tumeanza kusoma kindergarten leo uneongea point.

Watu walishaona kuoa ndio kama mafanikio makubwa maishani, hata paka ina familia, watoto na mke.
 
Kuwa na watoto ambao hata hujui wanashindaje na huwatunzi kwa 100% bado sio majukumu tosha. Na hapo ukute una miaka 25 au zaid..
Wengine at 25 tayar tuna watoto na kuoa kwa ndoa tushaoa.
Unajuaje hawatunzi? Kuoa ni ushamba flani hivi wa kizamani ni jambo ambalo linaanza kupitwa na wakati .
Cha muhimu sasa ni kuzaa watoto kuwatunza basi inatosha .
Kuoa ni ujinga tu flani.
Ndio maana ni muda mrefu sichangiagi sherehe za harusi hata za ndugu na marafiki
 
Shida zinamkumbuka kila mtu katika kila life style anayo amua kuichagua kuishi kwayo, sasa hii point yako haina mashiko na by the way nani kakuambia kuoa ni kutafuta shida??

Una shida ngapi hapo ulipo na hata hujaoa??

Unaziona kama shida kwakua probably una uwezo mdogo wa ku deal nazo, au just not your prefference, that kind lof life..ukisema hivyo, utaeleweka zaid.
Umekosea kuniquote au ??
Sijaandika mambo ya kuoa hapo.
 
Back
Top Bottom