min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Nimeshapunguza😆Punguza makasiriko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshapunguza😆Punguza makasiriko
Amefika 35+ wamechovyachovya na wa kuishi nae hakuna. Msongo wa mawazo huo. Ume. Umetembea na kila aina ya waume za watu,leo hii unakumbuka kumbe na wewe ulitaka kuolewa?Mkuu kila mtu aishi anavyoona ni vyema , binafsi kwa malengo yangu bado sijafikia umri wa kuoa.
Hiyo ya mwisho ,hata mimi nimewaza🤫Mpaka kuleta huu uzi inaonesha una tatizo la kisaikolojia ama hujaoa au unataka kukimbia ndoa
Ndio baba mchungaji naona unavyo fura kuitwa mvulana 🤣🤣🤣🤣Mama mchungaji umeamua kunicheka😪
Hawezi kuwa mwanamke anaekimbilia 40+??Mpaka kuleta huu uzi inaonesha una tatizo la kisaikolojia ama hujaoa au unataka kukimbia ndoa
Vijana wakishaokotana huku nanjilili wakanunua na kagodoro na sufuria mbili vijiko viwili na vikombe wanaanza dharau😁😁😁Ndio baba mchungaji naona unavyo fura kuitwa mvulana 🤣🤣🤣🤣
hebu fanya mchakato uitwe mwanaume🤣🤣🤣🤣
Hii comment imenichoma kumoyo,kuna mjinga alingia kwenye maisha wakat huo ndo npo kwenye peakNi ujinga na upumbavu kwa kijana kukimbilia kuoa.
Umepambana usiku na mchana jitihada zako zimeanza kuzaa matunda, huo ni wakati wa kufurahia maisha peke yako kama ambavyo ulikua unatafuta peke yako.
ukiwa katika prime yako usifanye ujinga wa kumpa hifadhi kahaba mstaafu ambae ashachuja na katika prime yake alikufungia vioo.
Panga mipango ya maisha yako, wekeza, talii maeneo unayoyapenda, kula bata, tembeza mboo mjini, enjoy your prime kama ambavyo hao demaged women walivyoenjoy prime zao kabla hawajachuja na kuanza kufikiria kuolewa.
After you have enjoyed yourself enough noe you want to settle with one lady then go for an innocent and fresh woman.
Kabisa,tena sio apate tu kwanza na ale bata kwanza😁😁Haumshauri kijana kuoa mwanamke wa kutafuta wote, unashauri mwanaume atafute kwanza ndio aoe eti?
Puuza tu pita kama vile huoni sema na moyo wako baba mchungaji 🤣Vijana wakishaokotana huku nanjilili wakanunua na kagodoro na sufuria mbili vijiko viwili na vikombe wanaanza dharau😁😁😁
😁😁 mama mchungaji nafuata ushauri wako.Puuza tu pita kama vile huoni sema na moyo wako baba mchungaji 🤣
hiyo ni kawaida na ndiyo changamoto ya ndoa.Hujawaelewa vijana,sio kwamba wanaogopa majukumu
Kitu ambacho vijana hawapendi ni pale anapooa na baadae mke anaanza kuleta mambo ya ajabu ajabu na kutaka kumpanda kijana wa watu kichwan
sIkuona hii kumbe ulikuwa mwanachama ukapigwa za uso🤣🤣🤣🤣🤣Nilikua mmoja wao ila baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani , nikiona mtu kaoa naenda kuchekea chooni🤣🤣🤣
Walioa Kwa pupa saivi wanatamani kila mtu aoe ili ateseke kama wao.Vijana mlio na ndoa sijui mnajiona vip, simtulie na ndoa zenu 🤣🤣🤣🤣
Ndio , mpaka nikimwambia mama yangu kwa sasa sitaoa kwanza ,akikumbuka huwa hana la kusema🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sIkuona hii kumbe ulikuwa mwanachama ukapigwa za uso🤣🤣🤣🤣🤣
Sina ushauri wowote baba mchungaji funga mkanda na usonge mbele haya mambo haya hitaji ushauri😁😁 mama mchungaji nafuata ushauri wako.
Nilijifanya sharuku Khan na kuchkuch Hotae nyingi lakini wap 🤣🤣🤣Sina ushauri wowote baba mchungaji funga mkanda na usonge mbele haya mambo haya hitaji ushauri
ni wewe na ubongo wako
Sio kwa kila mtu mkuu , ndio maana nikasema ukiona una ndoa tamu furahia wakati wako.hiyo ni kawaida na ndiyo changamoto ya ndoa.
ndoa inakufunza mengi mpaka busara unaipata kwenye ndoa.