Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Hivi mnajua tafsiri ya Mwanaume au mnajitamba kujiita wanaume tu

Ni ujinga na upumbavu kwa kijana kukimbilia kuoa.

Umepambana usiku na mchana jitihada zako zimeanza kuzaa matunda, huo ni wakati wa kufurahia maisha peke yako kama ambavyo ulikua unatafuta peke yako.

ukiwa katika prime yako usifanye ujinga wa kumpa hifadhi kahaba mstaafu ambae ashachuja na katika prime yake alikufungia vioo.

Panga mipango ya maisha yako, wekeza, talii maeneo unayoyapenda, kula bata, tembeza mboo mjini, enjoy your prime kama ambavyo hao demaged women walivyoenjoy prime zao kabla hawajachuja na kuanza kufikiria kuolewa.

After you have enjoyed yourself enough noe you want to settle with one lady then go for an innocent and fresh woman.
Hii comment imenichoma kumoyo,kuna mjinga alingia kwenye maisha wakat huo ndo npo kwenye peak
 
Vijana wakishaokotana huku nanjilili wakanunua na kagodoro na sufuria mbili vijiko viwili na vikombe wanaanza dharau😁😁😁
Puuza tu pita kama vile huoni sema na moyo wako baba mchungaji 🤣
 
Hujawaelewa vijana,sio kwamba wanaogopa majukumu

Kitu ambacho vijana hawapendi ni pale anapooa na baadae mke anaanza kuleta mambo ya ajabu ajabu na kutaka kumpanda kijana wa watu kichwan
hiyo ni kawaida na ndiyo changamoto ya ndoa.

ndoa inakufunza mengi mpaka busara unaipata kwenye ndoa.
 
Nilikua mmoja wao ila baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani , nikiona mtu kaoa naenda kuchekea chooni🤣🤣🤣
sIkuona hii kumbe ulikuwa mwanachama ukapigwa za uso🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom