Hivi mnawezaje kuchati na wanawake zenu muda wote, mnachat nini

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Wakuu itifaki imezingatiwa

Katika harakati za mahusiano na mapenzi kuna kitu kimenishinda mpaka najiuliza mnaofanya hivi mnaajenda gani muda wote mnawasiliana

Hivi mwanaume mwenye majukumu ya kazi tu mbali na familia unakuta muda wote ni kuongea na mwanamke wako yes tena mmoja tu simu ikipigwa hata lisaa mnaongea tu, ikikata mnaanza chatting

Sasa najiuliza mnawezaje na mnawasiliana mambo gani muda wote
 
Ukiwa na umri mdogo halafu huna majukumu au huna kazi ya kufanya pengine bado unaishi kwenu au kwa shemeji hapo unaweza kushinda unachart na kukesha unaongea na simu na mademu ila kama umeshaingia kwenye harakati za maisha na una majukumu mengi huwezi kufanya huo upuuzi!
 
Hko kunaitwa kulewa penzini manweza ongea mada zisizo na mbele wala nyuma. Ilmradi mnaongea tu.
utakuta wanaongea mada zinaisha,wanabaki kupumuliana kwenye cm,mmoja anaulza vip mbon kimya,jibu sasa aaah natafakari utundu wako kitandani😂😂wanacheka afu mada inaanzia apo tena,,,(HII NILIONA KWENYE MUVI YA NIGERIA)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…