ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
TaasisiBabu unamuita majina mengi kisa hela 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TaasisiBabu unamuita majina mengi kisa hela 😂
Taasisi
Kuchat kuna raha yake mimi wa kwangu kipindi ndiyo tumeazisha mahusiano, alikuwa ananichek mara kwa mara ila sasa anajifanya yupo bize sana, ila anasema ananipenda sana natamani kumuuacha sema bado nampendaWakuu itifaki imezingatiwa
Katika harakati za mahusiano na mapenzi kuna kitu kimenishinda mpaka najiuliza mnaofanya hivi mnaajenda gani muda wote mnawasiliana
Hivi mwanaume mwenye majukumu ya kazi tu mbali na familia unakuta muda wote ni kuongea na mwanamke wako yes tena mmoja tu simu ikipigwa hata lisaa mnaongea tu, ikikata mnaanza chatting
Sasa najiuliza mnawezaje na mnawasiliana mambo gan