Hivi mnawezaje kuchati na wanawake zenu muda wote, mnachat nini

Hivi mnawezaje kuchati na wanawake zenu muda wote, mnachat nini

Na unakuta jitu zima kabisa lakini text linayotuma mpaka unashangaa "ety babe na haka kahali ya hewa ningekuwa karibu yako hapo ungependa nikufanyie nini??"

Oyaa we koromeo la chuma ji keep busy hata kwa kusoma vitabu ,,

UJINGA KABISA 😒
 
Umekula,
Umelala
Umelala
Unafanyanini
Umevaa nn
Umekula nn
Upo nyumbani
Upo nanani
Naomba pesa ya wig
Sina pesa
in post wasp

Vipi mahesabu
Wateja wap kweli
Mizgo umefika
Mama yako ametoka nataka nije

N.k
Tuongee serious kidogo, nataka kujifunza pia kwa mtazamo wangu hata experience hiko ulichoposti hapo ndio 99% ya chatting za kimapenzi, kama ukitaka mpaka upate kitu serious cha kuchati au kuwasiliana na mpenzi wako munaweza ukapita mwaka musiwasiliane am tell you yale ni mapenzi sio Business partnership ufupi mapenzi hayana kitu Specific cha kudili nacho ni randomly tu.

Mfano, niambie kipi cha kuchati na mapenzi wako in normal day??
 
Na unakuta jitu zima kabisa lakini text linayotuma mpaka unashangaa "ety babe na haka kahali ya hewa ningekuwa karibu yako hapo ungependa nikufanyie nini??"

Oyaa we koromeo la chuma ji keep busy hata kwa kusoma vitabu ,,

UJINGA KABISA 😒
Mtu mzima anatakiwa atumaje sms
 
Mawasiliano muhimu sana kama hujapenda wala kupendwa utaona ajabu
Kuongea upuuzi muda mwingi na stori haziishi
 
Naaam, na bibi yenu bado tunapeana mabusu kwa maandishi "mwaaaa" na huko chini "mwaaa"
 
Unajua, mahusiano hayakuzwi na maswali yahusuyo LUKU bado ipo? Nyama kwenye friji vipi? Ile ada ya mtoto imelipwa? Vipi, wazazi uliwatumia hela? and the like. Mahusiano hukuzwa kwa mambo ambayo kwa kuyaangalia, ni UJINGA MTUPU, UCHAFU MTUPU..!! Lakini ndo hayo yanyayojenga..!!
Yes, wewe ndio unajielewa katika huu uzi. Hatua ya kwanza ya mahusiano hakikisha unakuza mapenzi baina yenu hata uwe na mipango gani mikubwa kwa huyo mwanamke ukianza kwa kuongeanae ishu za Mibishara, mikampuni, maujenzi, kokoto utaboa kila mwanamke utakimbiwa.

Kwanza ingianeni moyoni muwe na upendo bainayenu mpaka uhakikishe mmefika Breakeven kwamba hata kama mujawasiliana siku mzima penzi lipo imara tu.

Sasa maqasilaino yanayojenga upendo ni
*Upowapi
*Umekula
*Nimekumisi
*Kimvua hiki unakionaje
*Nk
 
Unaungua ndani kwa ndani 😂😂

Ila pia kuna wakati inabidi ufanye hii njia ya kuchuna unapona mawasiliano unaanzisha wewe tu pia usiwe available sana
Kuuchuna kupo, ila kama kunakuumiza hapo binafsi naona hujauchuna...!! Kuuchuna ni kuanzia ndani hadi nje..!! Siyo akipita tu hapo hujiwezi, au hata usipoandika sms au kupiga simu eti wewe hujiwezi..!! ni hatari
 
Tuongee serious kidogo, nataka kujifunza pia kwa mtazamo wangu hata experience hiko ulichoposti hapo ndio 99% ya chatting za kimapenzi, kama ukitaka mpaka upate kitu serious cha kuchati au kuwasiliana na mpenzi wako munaweza ukapita mwaka musiwasiliane am tell you yale ni mapenzi sio Business partnership ufupi mapenzi hayana kitu Specific cha kudili nacho ni randomly tu.

Mfano, niambie kipi cha kuchati na mapenzi wako in normal day??
Mbona nimekuewekea hapo..mpenzi nirafiki pia nakama watu wanaokuzunguka tu hivyo lolote lile huwapo free mnacht
Lakin kuna hapo wengine hata ubanwe vipi wanataka uchati nao ukiuchuna ndio taraka hiyo aise
 
Wa kwangu akiwa busy tusipowasiliana kutwa nzima tukija kuchat baada ya kazi ni tutakesha kufidia muda wetu wa mchana, story haziishi kwa mtu mnayapendana.
Facts.

Kama mwanaume, ukitoka kazini lazima uweke muda wa kumsikiliza mpenzi wako regardless umechoka au huna mood, sio lazima na wewe uongee, we kazi yako ni kusikiliza tuu, usipomsikiliza kuna mwanaume mwingine atamsikiliza, alaf badae ndo haohao wanakuja kutulalamikia wamechapiwa.
 
Back
Top Bottom