vyasaka wote uliowataja.Kwani wakaazi wa Dom ni Wagogo tu ...vp Warangi,Wanyambwa,Wakaguru,Wasagara,Wasandawe wapo wapi!!?
Jua la Dodoma linachoma utosi hata likiwa la saa 10 jioniπββοΈπββοΈNakumbuka nilivyoenda Dodoma mara ya kwanza 2019, Juwa liliniwakia wiki moja tu nikawa nimapasukapasuka ngozi ya uso na mikono,nikaacha kodi ya nyumba maeneo ya nkuhungu na vitu vya ndani nikapanda Kapricon kurudi arusha.
Ni hudhuni we mtu mweusi na mfupi, Mwanza ni sawa na Rio de JeneiroAngesema nyumba mbovu na mbaya ziko kwenu Usukumani na hasa Mwanza is Slum,Dom ni something elseπ¬π¬π¬π¬ππView attachment 3125715
Bihawana au Fufu?Yn ni umemaliza kila kitu, nimesoma huko lkn sijawah kupapenda yn ni hovyo tu.
Dodoma Pako vizuri nyie tuu na mbwembwe zenu!Ishi popote unapotaka mimi sijakupangia.
Kama ambavyo hupataki Dar na Njombe. Nami ndivyo sipataki Dodoma.
Ya mbumbumbu wa Lake zoneNi hudhuni we mtu mweusi na mfupi, Mwanza ni sawa na Rio de Jeneiro
Mkuu wewe ukisema hapafai, Mfano Mimi hapa Dodoma panafaa sana, inategemea na Wewe unapendele Nini! Kwenye story ya Biblia kuna wapelelezi walitumwa wakaipeleze nchi flani,wajumbe walirudi na majibu tofauti!1:Nchi ile hafai Ina majitu yanayotisha na marefu.2:Nchi ile inafaa sana Ina maziwa na Asali:SuRUHISHO:Mfalme akaona kweli nchi inafaa!Maana majitu marefu na yenye miili,manake yameshiba chakula kingi.Hivyo Wewe mawazo Yako ni Nyumba au jangwa,mafundi wabovu?Kama ni kujenga watu wanatumia mainjinia na Wengine wanaagiza mafundi wanaowaamini.Amna mtu mwenye akili aweke hate na hili jangwa
Naona umeanzisha thread ilimradi na wewe uonekane umejibiwa comments...rudi facebook aiseeππDodoma desert wanaishi rango uku
Kweli Mkuu Bado nchi zetu za Afrika tunaneema hata huko kwa kina Biden kila siku ni vimbunga.Kuuliza watu wanaoshije mahali huo ni utoto, na ukiona bado huwezi kujichagulia uishi wapi wewe ndo mwenye matatizo!
Dodoma hakuna harsh environment ya kuanza kujadili humu, watu wanaoshi mpaka Yakutsk huko baridi inaafika -60celcius na wala hawakai wakilia lia!
Mbona Dom hawaendi na vitambaa vya kujifuta jasho kazini kama Dar ambako masaa 24 mwakamzima ni full joto. Ofisi nyingi za Dom hazina feni wala AC kama huku Dar ambako ni lazima ππJua la Dodoma linachoma utosi hata likiwa la saa 10 jioniπββοΈπββοΈ
Samahani naomba kujua kwanini wakazi wa Kikuyu hawana daladala kama maeneo mengine? Nini kimefanya eneo hilo likose daladala!we jamaa ni muongo sana nadhani wewe ni dent wa chuo na wala sio mfanyakazi. ukae mwaka usione mvua hizi zilizonyesha hadi mwezi wa tano zilikuwa manii ama upalata?
Nauli haziko fixed wapi? Route ndefu mfano Mjini Ihumwa ni 900 kwingineko ni 600 kwa wakazi wa Kikuyu wao hawana daladala ni bajaj ambayo ni 1000 haizidi hata anayekaa Chidachi.
Rudi kwenu
Hakuna sehemu inaitwa dodoma vijijini...Dodoma kuna Dom CC,Kondoa TC,Kondoa DC,Chamwino,Bahi,Mpwapwa,Kongwa na Chembadodoma vijijini wanapaswa kuhimizwa kukata minyaa yote na kupanda miti ya asili
hali ya hewa pale ni hovyo sana
NI miongoni mwq vivutio vya dodoma, ngono away from home inanoga mnoWewe unapenda malaya wa Dodoma tu mkuuπ
Wewe unapenda malaya wa Dodoma tu mkuuπ
huko vivijini ndio nakuzungumzia usilete ubishi wa kitoto hapaHakuna sehemu inaitwa dodoma vijijini...Dodoma kuna Dom CC,Kondoa TC,Kondoa DC,Chamwino,Bahi,Mpwapwa,Kongwa na Chemba
ππ€£ππ€£ππ€£ππMmeacha kumshukuru Samia kwa ajili ya jua?