MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Kwa hiyo unadhani hiyo miaka 2000 watu walikuwa wamekaa tu wamekifungia hicho kitambaa?Kwamba kitambaa kina miaka 2000+ kwenye hili jahazi mnishushe jamani.
Picha hazifanani na deacon bali deacon ndiye aliyeandaliwa kufanana na Yesu Myahudi na MnazarethIle ni picha ya deacon inatumika vibaya,lakini vizazi vinaweza kuwa na taswira ya mtu anaefanana nae kwa kuelezea ni namna gani alifanana kipindi cha uwepo wake,kitu ambacho kilipelekea kuwepo kwa picha ya yesu mweusi kipindi cha nyuma sana kabla ya hizi za brian deacon,
Aisee، namshukuru Allah kwa neema ya uislamu, kwahyo mkuu ukimfuta mtu jasho na damu sura yake inabakia kwenye kitambaa.Haijaandikwa katika bibilia.. Ila mapokeo ya kikatoliki yanafundosha kuwa mwanamke mmoja aitwaye Veronica alimfuta Yesu Jasho na damu usoni kwa kutumia leso yake wakati wa mateso ya Yesu.. Kitendo hiki kilimfanya mwanamke huyo azawadiwe picha halisi ya Yesu katika kitambaa hicho.. Na michoro yote ya picha ya Yesu iliyofuata iliiga picha iliyobaki kwenye kitambaa hiki
Mkuu miaka 2000 unaifahamu au unaiskia? ifike mahali tutumie akili zetu kureason mambo, wataliano watuambie yule mtu kanisani ni nani, ila sio yesu yule.Kwa hiyo unadhani hiyo miaka 2000 watu walikuwa wamekaa tu wamekifungia hicho kitambaa?
Hauamini picha ya Yesu iliyotunzwa kwa miaka zaidi ya 2000 ila unaamini maandiko ya injili na barua za mitume ambazo zimetunzwa mpaka leo na kuwekwa kama Biblia 😀 utakuwa na shida mahalaMkuu miaka 2000 unaifahamu au unaiskia? ifike mahali tutumie akili zetu kureason mambo, wataliano watuambie yule mtu kanisani ni nani, ila sio yesu yule.
Rais wa kwanza wa USA alikuwepo kabla ya teknolojia ya camera, picha yake ilipatikanaje?Naombeni mnieleweshe Kipindi au zama ambazo alikuwa anaishi bwana yesu kulikuwa hamna picha na huyu bwana yesu ambaye tumemuona au tanamuona makanisani picha yake ilipatikana VP? Na ukiangalia brian deacon amefanana na huyu yesu ambae tunaenda madhabauni kumuabudia ? Naombeni mnieleweshe mwisho tusiwe tunaabudu masanamu huyu
Mkuu acha kufananisha mfano wa mtendaji wa kata mpiji magohe na presidential nominee wa marekani, mafundisho na picha wapi na wapi? mafundisho yametoka mbinguni picha imetoka mbinguni pia?.Hauamini picha ya Yesu iliyotunzwa kwa miaka zaidi ya 2000 ila unaamini maandiko ya injili na barua za mitume ambazo zimetunzwa mpaka leo na kuwekwa kama Biblia 😀 utakuwa na shida mahala
Kwa hiyo kwako wewe Yesu Kristu unamuona yupo sawa na wewe, mjomba wako, muhamadi na wengine..??Aisee، namshukuru Allah kwa neema ya uislamu, kwahyo mkuu ukimfuta mtu jasho na damu sura yake inabakia kwenye kitambaa.
Achana nao Hawa wakamuliwa mavi.. Hawawezi kuelewa sababu wao ni wapinzani..Kabla haujaomba kueleweshwa jitahidi kufanya utafiti wewe mwenyewe, ingia google tafuta 'shroud of turin' pia huyo deacon sio kwamba image yake ndiyo inatumika bali yeye ndiye aliyewekwa kufanania na sura halisi ya Yesu Mnazareth ambaye ni Jewish. Sura halisi ya Yesu ipo kwenye kitambaa alichozawadiwa Veronica.
Huyo ni mtume katika mitume wa Allah na wala yeye si bora kuliko wote, kuna nabii ibrahiym amani iwe juu yake, nabii mussa amani iwe juu yake hawa ni bora kuliko yeye, na si ufakhari, lakini haya hayamaanishi ukimfuta jasho sura inabakia kwenye kitambaa kwenye hili nasema tena nishusheni, kwanza yesu hakupigwa na mtu wala kudhalilishwa, haya ni matusi kwake pia.Kwa hiyo kwako wewe Yesu Kristu unamuona yupo sawa na wewe, mjomba wako, muhamadi na wengine..??
Naam,ili aendelee kupiga pesa kwa kuuza hayo mapicha na sanamu.Janja janja ya mkoloni
Carbon 14 Sio kipimo tosha cha kufanya vipimo,kuna collective methods za kisasa zaidi zinazotumia AI kuleta ushahidi wa kihistoria,too wordy, carbon 14 dating inasema shroud of turin imekuwepo tangia lini?
mkuu tunaongelea shroud of turin au picha ya yoshua?Carbon 14 Sio kipimo tosha cha kufanya vipimo,kuna collective methods za kisasa zaidi zinazotumia AI kuleta ushahidi wa kihistoria,
Namekwambia tulia nitakuja na ushahidi hapa,
Kingine picha ya Yashua Amashiach haihitaji Vipimo wala nini picha yake ipo Maktaba za kumbukumbu Vatican,Urusi na Ethiopia zote zina mfanano wa sura na walizipotrait watu tofauti tofauti!
Kwani lengo la kujadili Shroud of tulin lilikua ni lipi?mkuu tunaongelea shroud of turin au picha ya yoshua?
Kwa hiyo watu hawapaswi kuhoji dhana wanazoziamini?Ukianza kuhoji picha utahoji na aliandika nani. Cha msingi ni kwenda kuabudu