Hivi Mshauri wa Saikolojia na Ndoa za watu nchini Tanzania Dkt. Mauki ndiyo kusema yeye ni Malaika na hakumbani na kero zitupatazo?

Vijana hawawez kukuelewa. Na ubaya wa hiz mambo, nondo hiz hazimkai mtu mpaka akakutane na kitu kizito kwanza kisha arud kusoma with refference, ndio material zinazama 😂
 
Jibu sahihi, kwa mtu sahihi na kwa wakati sahihi.
Kuna Wapumbavu hapa huwa wananilazmisha niwaonye Jeuri ya Mimi ni nani na nafanya nini kwani TUNADHARAULIANA na KUCHUKULIANA poa huwa Watu WAKIKARIRI maisha. Kuna Watu wakikuona uko JamiiForums wanajua kuwa upo upo tu kumbe hawajui wengine hapa ni Chimbo la KUPUMZIKA ( Kuburudika na Kucheka ) lakini pia ni Chimbo letu Kuu la kupata TAARIFA ambazo zina manufaa ya KIUTENDAJI hasa kwa mahala tulipo na katika hii Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
Jamaa akili yako ndg sana. Kwaio umeshindwa kutofautisha jamaa anakopatia ugali na maisha yake halisi. Hii ni kama tuu mchungaji anavokemea uzinzi wakati yeye anazini. Grow up man. HALAFU SIJUI KWA NINI NIMECOMENT HUU UZI
Kwa sababu akili yako ndogo kama kisoda ndio maana ume'comment...
NA SIJUI KWANINI NIMEKUJIBU WE PIMBI
 
changamoto, dosari na kasoro katika mahusianao, uchumba na ndoa haviepukiki.....

ndivyo huongeza ladha na kuchochea mapenzi na mapendo ya dhati zaidi miongoni mwa walioko kwenye uchumba au ndoa....

na ukizidisha ujuaji na sifa za kijinga mbele ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, bila kutumia maarifa na uwajibikaji wa halisi na wa kutosha katika uhusiano au ndoa yako.....

ya Dr.Mwaka Yanakuhusu bila chenga 🐒
 
Hapo Kwenye Mapombe Sijapenda Mkuu
 
Kaka Huo Mstari Wa Mwisho Tengua Kauli
 
Kaka Huo Mstari Wa Mwisho Tengua Kauli
Kwahio kwako unaona mrembo mle?😁 Halafu kuna kipindi nilishawahi pewa tender ya kuendesha wamama flani alikuwa miongoni mwao. Kulikuwa na tamasha la kilokole flani. Leo ndo nimegundua kumbe nilishawahi kutana nae ila sikujua ni mke wa mtu maarufu.
 
Mengine ni ya kukaa kimya...ila tulio na chini ya kapeti analea asiye wake
 
Tunamnanga mtu hapa...

Mie huwa nakwepa sana masomo yake kwa sababu hayana impact zaidi ya kumuingizia yeye siku
 
Ana Range Lake, Linapakigi Maeneo ya Mbezi Beach kwa Mchepuko na Tunajua tunakausha tu
Oya Kausha Mkewe yuko JF na hapa anasoma utamuharibia Mkuu. Niko serious kwani namjua na ni mwana JF sana tu Ok?
 
Oya MTINGIJOLI umeona sasa umeshaharibu? Kuna Dada hapa JamiiForums ni Shoga yake Mkewe na Jamaa kamtumia ( kwa Screenshot ) hiyo Post yako. Unajua huyo Jamaa ( Mauki ) ni Poti wangu ( kutokea Mkoa Mara ) sasa sikutaka umuharibie kihivyo kwa Mkewe kwani Mkewe ni Shemeji yangu pia. Halafu ulichohribu umetaja hadi eneo Mkuu yaani Umeharibu kweli kweli na kuanzia sasa nasikia wameshaanza Kulaumiana huko. Wewe usingefunguka kiasi kile bali ungesaga tu Kunguni kimtndo lakini siyo Kufunguka kwani umeharibu sasa kila Kitu.
 
Nimeifuta Mkuu
 
Acheni awakaze. Ulitaka abandue Dada zako au? Sifa ya Mwanaume yoyote yule aliye Rijali ni Kubandua tu na hakuna Huruma.

Brother vp? Mbona makasiriko wenzenu TP mazembe wamekuja kujifunza nyie mpo hapa hapa mnajishikashika tu tukiwapiga back to back ten years mlete makasiriko kama Haya [emoji28]
 
Kuhusu kuchapiwaa sijui ila nasikiaga mchepukowake ni mwimbaji injili maarufu hapa nchini
 
anapata shida sana,tena nyingi sana,sema kwa kiwango cha kipato walichonacho wanayaficha mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…