DOKEZO Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
hivi serikali ilipima viwanja huko?
 
Misumi ,msakuzi,mpiji na makabe kote huko hakuna maji,hospitali Kuna kizahanati tu na barabara ndiyo balaaa yaani makorongo Kwa kwenda mbele lakini yule mbuge wao Kila kuchangia anasifu rais kwa kazi nzuri kiasi kwamba akiwa karibu unaweza kuzaba Kofi.
 
Humu shida vijana wanadangajika na I’d feki😁😁😁😁
 

Mzee baba, wabongo si tumezoea kujenga kiholela kwa kuvamia maeneo ambayo hata masterplan haijatoka...

Hizi ndio kadhia zake na inabidi kuzikubali tu kwa sasa, kwa slogan yetu imekuwa JENGA kwanza, maendelo yatakuja baadaye...
 
Hii sahau mzee, bado sana hata kwny huo mradi haipo!!
Hovyo sanaa hawa watu, wangejua tuna teseka na magari mabovu yale kiasi gani aisee
Nchi ya hovyo sana hii, eti Dar es salaam hii **** maeneo ni vumbi tupu na yana watu wengi ni aibu ndani ya jiji kubwa kama hili kuwa na sehemu kama mpigi magohe au msumi hakuna lami kabisa achia wingi wa watu maeneo hayo dah!
 
Kuna mradi wq DMDP phase two watajenga barabara ya msumi kilometa 9.08 . Ujenzi unaanza mwezi wa saba. Kipindi wanatangaza zabuni ili mkandarasi apatikane. Tembelea page ya mkuu wa mkoa you tube autakuta kafafanua barabara ambazo zitapitiwa lami
Tunaomba hiyo link tuone kama tumekumbukwa au niaje.
 
Ni huzuni, hakuna anayejali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…