Half american Nimekupata vyema mkuuKwa nnavyojua kwa ujana na pisi ikawa inakuelewa show zako itataka tu hata kama hakuja kwa nia hiyo.
Kwahiyo akiutaka mpeHalf american Nimekupata vyema mkuu
KwendraaaHapo sawa!βΊοΈ mfikishie taarifa mdogo wako
Vyote vinawezekana...ila hata nao wanapotoka nyumbani wanajua Leo kinaenda kuumanaMambo vipi wakuu?
Binafsi naamini wakati wote Mrembo anapokuja ghettoni kwako si lazima Mjigijane...
Muda mwingine unaweza ukaishia kupiga nae Story tu..... au Mkacheki Muvi.... au Mkacheza video games....
Naamini ni kuonesha umekua kihisia hata kuongeza uaminifu kwa Mwenzako...
We unaonaje au ni mwendo wa kupeleka moto tu... π₯π₯
πππKwendraaa
Nalifahamu ilo unaweza piga kimoko cha afya kwa siku sio lazima kuchoshana.Too much is Harmfull
Linawezakana naloYah inatakiwa asijue , iwe suprise kua leo hatufanyi...
Unalia auπππ
Unaweza piga kimoja dkika 15+ila Kimoja , ni afadhali kuto kupiga kabisa..
Ndio.Unalia au
Asante mama mchungaji ubarikiweUsijali mtumishi! Nitafanya toba kwa ajili yako ila usirudie tena
Kwanini dear. Bro wangu Maghayo akubembeleze?Ndio.