Hivi Mtoto wa kike akija Ghetto kwako lazima Kujigi-jigi?

Vyote vinawezekana...ila hata nao wanapotoka nyumbani wanajua Leo kinaenda kuumana
 
Ingekuwa wewe ndo unaamua tu sawa ila hisia ni mwanaharamu, Ndo maana maandiko yasema zambi zote tunaweza kuzishinda kwa kukemea/kusali ila uzinzi unakimbiwa blud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…