Hivi mtoto wa kike kama haolewi anapaswa kuendelea kuishi na wazazi mpaka umri gani?

Hapa umeandika points tupu.

Lakini majukwaa mengine unaandikaga mavi kishenzi!!
 
Mtoto kwao hakuna muda maana hapo ndo kwa wazazi wako. Hata ndoa ikivunjika utarudi tu kwenu. Labda baba mtu awe kauzu. Mtu huwezi kulazimisha kuolewa eti muda wa kukaa nyumbani umekwisha, seriously.
 
Hapa umeandika points tupu.

Lakini majukwaa mengine unaandikaga mavi kishenzi!!

Ha ha ha!!! Sio lazima kila kila mmoja aandike unachokitaka wewe, utamu wa mitandao ya kijamii unakua free bila kushikiliwa akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…