Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,550
- 5,379
Mbali na bunju, kunduchi tageta.Kwa wale wa Dar hv mbagala ni mbali kutokea wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali na bunju, kunduchi tageta.Kwa wale wa Dar hv mbagala ni mbali kutokea wapi
Aisee kuna mazingira mtaniua...mbagala...gongo la mboto...kimara...bora mtu ujipange kama unavunja unavunja kweli...Kwa wale wa Dar hv mbagala ni mbali kutokea wapi
Apo nan anakuwa yupo mbali na mwenzakeMbali na bunju, kunduchi tageta.
😁😁kwahyo ayo maeneo ndio mbali na kwakoAisee kuna mazingira mtaniua...mbagala...gongo la mboto...kimara...bora mtu ujipange kama unavunja unavunja kweli...
Kuna jamaa yangu alitaka kununuwa kiwanja Chanika ajenge bei million 10.Hahaha Sasa kwa mfano unakaa Kimbiji,Kibada au Unakaa Pugu huko Mtu anakaa Posta..
Kwanza kukutembelea Lazma apotoze Siku nzima 🤣🤣
Mundo mbinu itakuja tuKuna jamaa yangu alitaka kununuwa kiwanja Chanika ajenge bei million 10.
Nikamkokotolea mahesabu kuna pagala mtaani kwetu linauzwa million 40 unaweza kulikarabati.
Mshkaji akanunuwa kwa million 40 akalipiga chini ametowa mjengo wa kisasa kabisa, akitoka asubuhi na gari yake dakika 10 tu yupo ofisini.
Sasa wale wa Chanika wanaamka saa 10 alfajili wakati yeye anaamka saa 1.
Haya mambo yanahitaji common sense kuyaelewa, nikiona mtu ana kipato kizuri anatumia masaa matatu njiani kwenda au kurudi kazini huwa namuona chizi tu.
🤣🤣Kuna jamaa yangu alitaka kununuwa kiwanja Chanika ajenge bei million 10.
Nikamkokotolea mahesabu kuna pagala mtaani kwetu linauzwa million 40 unaweza kulikarabati.
Mshkaji akanunuwa kwa million 40 akalipiga chini ametowa mjengo wa kisasa kabisa, akitoka asubuhi na gari yake dakika 10 tu yupo ofisini.
Sasa wale wa Chanika wanaamka saa 10 alfajili wakati yeye anaamka saa 1.
Haya mambo yanahitaji common sense kuyaelewa, nikiona mtu ana kipato kizuri anatumia masaa matatu njiani kwenda au kurudi kazini huwa namuona chizi tu.
Swali limeuliza mbagala, mbali na wapi, nimetaja maeneo ambayo ni mbali toka mbagala.Apo nan anakuwa yupo mbali na mwenzake
Bas kila sehemu ni mbali kutoka sehem nyingine hivyo wote tutembeleane kwa zamu maana hakuna aliekaribu na mwenzakeSwali limeuliza mbagala, mbali na wapi, nimetaja maeneo ambayo ni mbali toka mbagala.
Leo ni tarehe UNAKAA/MBALI/SANANje na maada Leo ni tarehe ngapi?
Mbagala ni wilaya hiyo wala siyo mbali kila kitu unapata hukohuko huduma zote zipo.Kwa wale wa Dar hv mbagala ni mbali kutokea wapi
Wewe chukuwa appartment town.Aisee kuna mazingira mtaniua...mbagala...gongo la mboto...kimara...bora mtu ujipange kama unavunja unavunja kweli...
Hilo sioni kama ni jibu la, mbagala mbali na wapi, mbagala mbali na wapi, jibu kutaja maeneo yaliyo mbali na mbagala.Bas kila sehemu ni mbali kutoka sehem nyingine hivyo wote tutembeleane kwa zamu maana hakuna aliekaribu na mwenzake
Tarehe 27 July 2024,Nje na maada Leo ni tarehe ngapi?
Tarehe 27 July 2024,
Nje ya mada: Kwa nini ukifa mkeo asiolewe? Kwa wewe ni mtume?
Imeisha hyo..Wewe chukuwa appartment town.
Sanaa..kariakoo nikisema nitembee nisitumie usafiri dk 18 nimefika😁😁kwahyo ayo maeneo ndio mbali na kwako
Sawa, unaposema sehemu ni mbali, you must have a reference point. Ukiniambia reference kwa Dar iwe posta, ambako kwa miezi mitatu unaenda mara moja, ni ujinga wa kuiga mambo tu..!!Msitafute excuse za kijinga, sehemu nyingine ni za kuishi wastaafu.
Hata kama umejenga sehemu si lazima kuishi kwenye nyumba yako hiyo ni asset yako tu, ishi sehemu ambazo ni accesable.
Na kweli..!! Si unakumbuka misululu ya kwa babu wa Loriondo? Wale wasiokaa mbali wote walienda..!! Inategemea tu wewe hapo ulipo unafanya nini. Unaweza ukawageuza wote walioko city center wao ndo waonekane wanakaa mbali.Ukiwa doni ata ukae msituni watakuja