pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Mungu wa Tanzania kazidiwa uwezo na Shetani ktk kila nyanja...Siasani ndo kabisaaaa!!!Jamaa mmoja hivi anapinga sana uwepo wa Mungu,
Mishipa inamsimama kudai Mungu hayupo, na anatoa hoja za kifedhuli kweli kweli,
Sasa leo ushahidi wa mazingira umeonesha kwamba jamaa ni mkiristo tena ana hasira Kweli kweli kutajwa vibaya wakristo,huyu tumuweke kundi gan
Muwekeni kundi la waislam.Jamaa mmoja hivi anapinga sana uwepo wa Mungu,
Mishipa inamsimama kudai Mungu hayupo, na anatoa hoja za kifedhuli kweli kweli,
Sasa leo ushahidi wa mazingira umeonesha kwamba jamaa ni mkiristo tena ana hasira Kweli kweli kutajwa vibaya wakristo,huyu tumuweke kundi gani?
Somebody korosho sijui karangamtaje kabisa ili aje ajieleze mbele ya kamati, mambo kama haya tumeyakataa
I think soShetani
Labda wa Tanzania, ila Mungu wa kweli hazidiwi na chechote wala yeyoteMungu wa Tanzania kazidiwa uwezo na Shetani ktk kila nyanja...Siasani ndo kabisaaaa!!!
Anataka kuwa na misuli mwili mzima ndiyo maana anasimamisha mishipa.Mishipa inamsimama kudai Mungu hayupo, na anatoa hoja za kifedhuli kweli kweli,
Yumo humu, ukituliza akili utamjua tuAkija humu JF unishitue
#kupondwa mawe mpka kifo