Hivi mtu kujidai haamini uwepo wa Mungu, halafu hapo hapo anaamini dini flani, hii inaitwaje?

Hivi mtu kujidai haamini uwepo wa Mungu, halafu hapo hapo anaamini dini flani, hii inaitwaje?

Jamaa mmoja hivi anapinga sana uwepo wa Mungu,

Mishipa inamsimama kudai Mungu hayupo, na anatoa hoja za kifedhuli kweli kweli,

Sasa leo ushahidi wa mazingira umeonesha kwamba jamaa ni mkiristo tena ana hasira Kweli kweli kutajwa vibaya wakristo,huyu tumuweke kundi gani?
 
We jamaa umekuja huku kuanzisha Uzi kabisa? Una utoto sana aisee. Uliuliza swali na mhusika kwamba uoneshe sehemu alipotaja dini! Hujibu unaruka ruka. Umekuja huku umeanzisha thread
 
Huwa siwashangai sana Atheist kwa sababu hata mababu zetu waliacha mizimu yao kuabudu dini mpya kwa kuziona ni superior kwa hiyo, atheist nao wameacha dini kwa kudhani kuwa wao ni superior kiakili kwa kuhoji madhaifu ya dini ambayo sometimes yapo wazi..

Sikubaliani nao lakini pia siwezi kujazwa hasira kwa maamuzi waliyochukua maana wengi wana ubinadamu kimatendo pengine kuliko ambao wanajivika utakatifu wa kidini huku matendo yao hayafanani na wanachokihubiri.
Una akili mno .
 
Jamaa mmoja hivi anapinga sana uwepo wa Mungu,

Mishipa inamsimama kudai Mungu hayupo, na anatoa hoja za kifedhuli kweli kweli,

Sasa leo ushahidi wa mazingira umeonesha kwamba jamaa ni mkiristo tena ana hasira Kweli kweli kutajwa vibaya wakristo,huyu tumuweke kundi gani?
Mkuu, 😊 😅
Umeanzisha thread kabisa jamaa ni mbishi Sanaa.

Jamaa pia kasema amekuweka kwenye ignore list yake sijajua ulimchachafya kwa kiwango Cha SGR🏃🏃🏃
 
Huwa siwashangai sana Atheist kwa sababu hata mababu zetu waliacha mizimu yao kuabudu dini mpya kwa kuziona ni superior kwa hiyo, atheist nao wameacha dini kwa kudhani kuwa wao ni superior kiakili kwa kuhoji madhaifu ya dini ambayo sometimes yapo wazi..

Sikubaliani nao lakini pia siwezi kujazwa hasira kwa maamuzi waliyochukua maana wengi wana ubinadamu kimatendo pengine kuliko ambao wanajivika utakatifu wa kidini huku matendo yao hayafanani na wanachokihubiri.
Maandiko yanaonyesha wazi hata wew huelewi hatima ya yanayoendelea, aidha unaiishi dini kwakua hujui uamin nin kwa kuzingatia haya yanayoendelea,

Niseme tu watu wa dini woga wao umejikita ktk hofu ya uhalali wao wa kutolipia pumzi na oxygen wavutayo hasa wawapo ktk chin ya hili jua, wamesahau Mungu wa kweli wa Tanzania aliesalitiwa na watanzania walio wengi kwaa kuamin ktk dini ya mzungu
Wamesababisha awafanye mazuzu juu ya matumizi ya madini (dhahabu, aliasing, tanzanite, nk...) wanajivunia kua na mali lakin wanauishi u maskin wa kutisha

Wana maziwa na bahari mito na ardhi safi lakin kawanyima upeo wa kuyatumia kwa manufaa ya watanzania

Kawanyima viongozi wa kuwaongoza badara yake SHETANI, ndo kaachiwa usukani wa kufanya uteuzi

Viongozi wa din za kikoloni husubiri harambee za kifisadi ktoka kwa viongozi waliotokana na ushetani ili kujijengea masinagogi

Hakika bongo zikikumbuka asili ya kweli, tutarudi ktk dunia yetu ya KIMUNGU, isiyo na ubabaishaji.
 
Maandiko yanaonyesha wazi hata wew huelewi hatima ya yanayoendelea, aidha unaiishi dini kwakua hujui uamin nin kwa kuzingatia haya yanayoendelea,

Niseme tu watu wa dini woga wao umejikita ktk hofu ya uhalali wao wa kutolipia pumzi na oxygen wavutayo hasa wawapo ktk chin ya hili jua, wamesahau Mungu wa kweli wa Tanzania aliesalitiwa na watanzania walio wengi kwaa kuamin ktk dini ya mzungu
Wamesababisha awafanye mazuzu juu ya matumizi ya madini (dhahabu, aliasing, tanzanite, nk...) wanajivunia kua na mali lakin wanauishi u maskin wa kutisha

Wana maziwa na bahari mito na ardhi safi lakin kawanyima upeo wa kuyatumia kwa manufaa ya watanzania

Kawanyima viongozi wa kuwaongoza badara yake SHETANI, ndo kaachiwa usukani wa kufanya uteuzi

Viongozi wa din za kikoloni husubiri harambee za kifisadi ktoka kwa viongozi waliotokana na ushetani ili kujijengea masinagogi

Hakika bongo zikikumbuka asili ya kweli, tutarudi ktk dunia yetu ya KIMUNGU, isiyo na ubabaishaji.
Naishi katika dini kwa sababu kuna spiritual level niliingia nikaona uwepo wa Mungu kwa asilimia mia. Ni kama gate ambalo huwezi ingia kwa akili za kawaida unless ufungue milango ya kiroho

Hivyo, naweza kutilia mashaka kuhusu dini kutokana na mikanganyiko yake ila kamwe siwezi kutilia shaka uwepo wa Mungu ambaye amejidhihirisha mara nyingi kiuwepo kwa njia ya kiroho..

Sipo spiritual sana ila hata kwa level yangu bado nimeona yasiyonipa shaka
 
Mnashindwa kumuelewa, huenda anapinga hizi dini za kigeni, sio uwepo wa Mungu. Hakuna yeyote anaepinga kuwa kuna mwanzo wa vyote. Yeye hataki mumfundishe namna ya kuabudu, anajua mwenyewe moyoni.
 
Mnashindwa kumuelewa, huenda anapinga hizi dini za kigeni, sio uwepo wa Mungu. Hakuna yeyote anaepinga kuwa kuna mwanzo wa vyote. Yeye hataki mumfundishe namna ya kuabudu, anajua mwenyewe moyoni.
No, anapinga uwepo wa Mungu, anasema kama yupo basi yuko wapi? Mbona hamuoni ?
Anataka amuone kabisaaaa kama anavyoona hii comment,
Na si kila kitu kinaonekana
Mfano huwezi kuiona roho, akili, matamanio nk nk
 
Naishi katika dini kwa sababu kuna spiritual level niliingia nikaona uwepo wa Mungu kwa asilimia mia. Ni kama gate ambalo huwezi ingia kwa akili za kawaida unless ufungue milango ya kiroho

Hivyo, naweza kutilia mashaka kuhusu dini kutokana na mikanganyiko yake ila kamwe siwezi kutilia shaka uwepo wa Mungu ambaye amejidhihirisha mara nyingi kiuwepo kwa njia ya kiroho..

Sipo spiritual sana ila hata kwa level yangu bado nimeona yasiyonipa shaka
Kitaifa, unadhani dini ime play part ipi hadi sasa

Watu hufunga na kuomba ili taifa lipate kiongozi bora, kwa maono yako ya kiungu ni kiongozi gani anaweza kua chaguo la Mungu kwa taifa letu Tanzania?

Nisaidie tu, nahitaji namna bora ya kuungana na wengine wanaoamin uwepo wa hizi dini tz
 
Kitaifa, unadhani dini ime play part ipi hadi sasa
Dini zimecheza nafasi kubwa sana katika amanj na mshikamano uliopo hadi sasa

Watu hufunga na kuomba ili taifa lipate kiongozi bora, kwa maono yako ya kiungu ni kiongozi gani anaweza kua chaguo la Mungu kwa taifa letu Tanzania
Kiongozi bora huandaliwa, na hata hapa wote waliandaliwa,na hadi sasa viongozi wote wamekuwa bora ila kasoro za hapa na pale hazikosekani
Kwasababu mbalimbali zikiwemo udhaifu wa ubinadamu na hata chuki za baadhi ya jamii


nahitaji namna bora ya kuungana na wengine wanaoamin uwepo wa hizi dini tz
Namna bora ni kuangalia ipi ni njia sahihi ya kukufikisha uendapo, na kwa kuwa dini ni njia sahihi ya maisha basi uamuzi ni wako, ufate ipi au ufate zote,
NB:
Mungu yupo ingawa hatumuoni
 
Kitaifa, unadhani dini ime play part ipi hadi sasa

Watu hufunga na kuomba ili taifa lipate kiongozi bora, kwa maono yako ya kiungu ni kiongozi gani anaweza kua chaguo la Mungu kwa taifa letu Tanzania?

Nisaidie tu, nahitaji namna bora ya kuungana na wengine wanaoamin uwepo wa hizi dini tz
Kama ulisoma comments zangu vizuri ni kuwa naamini katika Mungu 100% lakini si kwamba kila kitu kinachofanyika katika nakiunga mkono kwa asilimia 100..

Kiufupi dini si mbaya maana hata ukristu au uislamu sio mbaya kwa sababu kuna nchi nyingi duniani zimeendelea na zimeshika dini. Tatizo la watanzania wengi ni kukosa ufahamu, uelewa na uchungu na taifa lao ndio maana viongozi wengi wanajishikiza kwenye unyenyekevu kwa dini ama Mungu ili waonekane watakatifu wenye hofu ya Mungu kiasi cha kutoweza kuendekeza ufisadi au dhulma kitu ambacho si kweli..


Kiuhalisia watanzania wengi tupo irrational kuliko rational kiasi cha watu kuwapima viongozi katika angle ya tamaduni na dini kwa sababu huo ndio msingi wa maisha yetu kama wajamaa. Tofauti na mabepari wanaojali vigezo na performance. Hivyo bhasi yote tunaoyaona katika siasa zetu ni zao la hivi vitu hivyo ni sawal kumuomba Mungu lakini ni muhim pia kuchukua responsibility kwa mambo yaliyo katika uwezo wetu.
 
Jamaa mmoja hivi anapinga sana uwepo wa Mungu,

Mishipa inamsimama kudai Mungu hayupo, na anatoa hoja za kifedhuli kweli kweli,

Sasa leo ushahidi wa mazingira umeonesha kwamba jamaa ni mkiristo tena ana hasira Kweli kweli kutajwa vibaya wakristo,huyu tumuweke kundi gani?
Huyo unayemuongelea atakuwa ni anayejiita #kiranga.

Sasa ndugu yangu mtu anajiita Kiranga halafu unamshangaa?
 
Back
Top Bottom