Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
Kitendo Cha kuhemewa nyuma tu ni ubwabwa tosha unaruhusu vipi mwanaume mwenzio akae nyuma yakoNi kweli bodaboda ni kazi hatarishi.
Unataka wapakatwe wawe mabwabwa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitendo Cha kuhemewa nyuma tu ni ubwabwa tosha unaruhusu vipi mwanaume mwenzio akae nyuma yakoNi kweli bodaboda ni kazi hatarishi.
Unataka wapakatwe wawe mabwabwa??
Sawa Tajiri.Endelea kuchezea huo uchafu
Bado haujavuka bro , usitukane mamba.Yaani hiki chombo Cha kusafirisha masikini huwa nashangaa kabisa mtu anaenda kufanya hii kazi aisee kazi ambayo dakika sifuri unakua kilema au unachimbiwa futi sita tena hata kama uwe makini vipi ila anatokea mjinga mmoja tu barabarani anakuletea ubavu unaenda Chali Mimi watoto wangu siwezi ruhusu wafanye kazi ya kijinga kama Boda Boda naonaga wanasiasa wanawasifia na yenyewe yanaona sifa kwamba ni kazi ya maana kumbe ni uchafu yaani unakufa kisa buku si ujinga huu
Endelea kuhemewa nyuma kwenye huo uchafu wako unakosema kaziKwahiyo kazi yako ya kugawa kijambio ndio umeiona ni kazi ya maana bwabwa wewe
MapebariMzee umetumwa nini
Kuvuka niniBado haujavuka bro , usitukane mamba.
Bodaboda ni uchafu sio kaziAlisema Mjinga mmoja aliyebahatika kupata ela ya kula.
Kwa hiyo bodaboda wote ni mabwabwa?Kitendo Cha kuhemewa nyuma tu ni ubwabwa tosha unaruhusu vipi mwanaume mwenzio akae nyuma yako
Hiyo sio kazi ni uchafusio lazima upate ajali
kuna boda boda mmoja namjua huyo alikuwa boda boda wa maza tokea zamani sana, nikiwa mdogo sana
anafanya kazi yake kiheshima, ana mke na watoto watatu, na ni mzee wa kanisa
Kitendo Cha kuruhusu kukaliwa nyuma na mwanaume mwenzio unaona mtu huyo yupo sawaKwa hiyo bodaboda wote ni mabwabwa?
Kijana kuwa na heshima na kazi za watu.
Mbona mama yako mzazi anaburudishwa na bodabodaBodaboda ni uchafu sio kazi