Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
- Thread starter
-
- #21
Kaka eeh, mbn unatoa statement yenye utata..? Nadhani wewe ni ME, sasa umejuaje kama ni GOVI..???Mumewe ni govi na anachapa sana nje. Hata wewe ungekuwa mume wa huyu Mange, ungefanya hivyo hivyo maana Mange anaboa kishenzi na she's fake
Kumbe gumegumeSijawah kumfuatilia, na wala INSTAGRAM siingiagi na wala sijawahi. Ila kila kukiwa na HOT NEWS hapa nchini, kwny magroup ya watsapp watu wanarusha comments zake nyng sn, mpk unaogopa aisee.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwa siku nyingi naona jinsi huyu dada anavyoleta habar KAMA ZA KIJASUSI vile, tena nzito nzito na anazileta BILA WOGA. Na wakati mwngn nabak najiuliza HUYU DADA NI NANI..??
Hivi mume wa huyu dada Mange Kimambi, anachepuka kweli..?? Yan nna waswas huyu kma ndio mkeo, ukichepuka atakuletea mpk lile jina la uongo ulilondika guest, lodge au hotel. Na anaweza akakutajia mpk idadi ya mabao uliyomsukumizia huo mchepuko wako. Angekuwa wangu huyu, mimi D, najua tungeshaachana. Anafuatilia sn mambo aisee. Khaaa...!!!
Unaugomvi naeMumewe ni govi na anachapa sana nje. Hata wewe ungekuwa mume wa huyu Mange, ungefanya hivyo hivyo maana Mange anaboa kishenzi na she's fake
hadi mumeo?true,kama yupo nina uwalakini na uanaume wake 😵😳😱
Inaonekana wewe ni muhanga, wanaume waaminifu wapo lakini wanawake mara nyingi wanapotaka kuingia katika mahusiano hawazingatii suala hilo, wao wanachotaka ni maslahi - sasa kama ulitaka maslahi umeyapata, ni kwanini tena utake mtu mwaminifu wakati halikuwa chaguo lako in the first place ?
anaye mwingineHa ha ha, kama ulikuwepo vile.
Mume alibwaga manyanga kwa sababu ya issues kama hizo.
anaye mwingine
kwa hio ana walakini?mume wangu hayuko kundi hilo 🙄🙄😛😛😀
hawara/bwana /anayempachakula cha usiku/ muite jina loloteMume?
hawara/bwana /anayempachakula cha usiku/ muite jina lolote
Uko sahihi, lakini mazingira ya namna hii kutokana na uzoefu wangu Yanajengwa - Kuna vijana wanazaliwa na kukua katika malezi mazuri na mema lakini kutokana na sulba za kimahusiano wanabadilika sana - Mfano usitegemee Kijana masikini, mtafutaji aliyeteswa na kuumizwa kimahusiano kumwamini mwanamke pale atakapokuwa amefanikiwa. Binafsi ninachokiona wanawake sio watu wa kusubiri - wanataka mtu kahangaika katoka hata kama ni mbabu basi wanajiwekaMwanaume anaangalia 'physical attractiveness' wao kichwani kwao ni sex tu,wanawake wanaangalia maslahi hata kama hawaukubali huu ukweli mchungu,wote hatuko genuinely in love,kila mtu anaangalia what he/she gets from the relationship,cha kushangaza tunanyoosheana vidole kila mtu kulalamika Fulani ananitumia,mmmmnh kupata mtu unampenda na yeye anakupenda 100% labda by chance.
Kwa siku nyingi naona jinsi huyu dada anavyoleta habar KAMA ZA KIJASUSI vile, tena nzito nzito na anazileta BILA WOGA. Na wakati mwngn nabak najiuliza HUYU DADA NI NANI..??
Hivi mume wa huyu dada Mange Kimambi, anachepuka kweli..?? Yan nna waswas huyu kma ndio mkeo, ukichepuka atakuletea mpk lile jina la uongo ulilondika guest, lodge au hotel. Na anaweza akakutajia mpk idadi ya mabao uliyomsukumizia huo mchepuko wako. Angekuwa wangu huyu, mimi D, najua tungeshaachana. Anafuatilia sn mambo aisee. Khaaa...!!!
Tupo bhana we kama uhuni au umalaya ni wakoHakuna mwanaume asiyechepuka
Uko sahihi, lakini mazingira ya namna hii kutokana na uzoefu wangu Yanajengwa - Kuna vijana wanazaliwa na kukua katika malezi mazuri na mema lakini kutokana na sulba za kimahusiano wanabadilika sana - Mfano usitegemee Kijana masikini, mtafutaji aliyeteswa na kuumizwa kimahusiano kumwamini mwanamke pale atakapokuwa amefanikiwa. Binafsi ninachokiona wanawake sio watu wa kusubiri - wanataka mtu kahangaika katoka hata kama ni mbabu basi wanajiweka