Kwa mujibu wa Biblia, Ni shetani ndiye aliyemshawishi Adam ila hakuwa na mamlaka wala umiliki wa dunia na vijazavyo. Shetani alipata baada ya anguko la Adam hata hivyo hana umiliki wala maamuzi kwa wachaMungu
Sasa, kama imani inaweza kukufanya ujione unaweza kutembea juu ya maji ukafa, au ikakufanya ujione unaweza kuruka kutoka ghorofani kwenda kwenye Simtank usife, lakini ukafa, hapo tunaona imani si kigezo kizuri cha kufikia ukweli.Inawezekana ni hadithi. Lakini ikishaingia imani, hadithi inakua suala la kiimani ambalo huwezi kulitenga na anayeamini kwa kutumia logic. Imani ina nguvu ya kuamsha mapepo ndani ya mtu akawa kama kichaa akagaragara chini, ila ukirudi katika logic huyu mtu utamuona ana tatizo la saikolojia.
Utofauti wangu mm na wewe ni katika kutumia logic kwenye suala la imani. Hakuna lingine. Huyo kijana imani yake ilimuua, na wapo wengi kama yeye. Kuna mwingine alifia kwenye maji akitaka kutembea juu ya maji.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] maswali ya mashanbulizi[emoji16][emoji16]Naam.
Kwa sababu hata umeme una positive na negative charge.
Kwa hivyo positive ya umeme ni Mungu?
Watu wanapoomba kwa Mungu wanaomba positive energy ya umeme?
Wakuu wa TANESCO wanapoamua kukata umeme wana control flow ya Mungu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Biblia uongo Ni mwingi kuliko ukweli.Soma kitabu cha Ayubu sura ya 1 mstari wa 6 hadi wa 8 utaona jinsi Mungu na shetani wanavyopiga stori.
Kwa tunus zile utagundua kuwa kama wameshasameheana na story nyingi tu wanapiga
Shetani alimshawishi adamu kwenye kitabu gani???Kwa mujibu wa Biblia, Ni shetani ndiye aliyemshawishi Adam ila hakuwa na mamlaka wala umiliki wa dunia na vijazavyo. Shetani alipata baada ya anguko la Adam hata hivyo hana umiliki wala maamuzi kwa wachaMungu
Nimeifuta,sorry km nilikukwazaDuh!
Hakuna Cha mtiani Wala nini,Mkuu mambo mengine yanasikitisha sana.
Unamuumbaje binadamu kisha unampa na mitihani?
Kwani Mungu asingetupa mitihani yeye angepungukiwa na nini?
Kwanini atupe mitihani anayojua kabisa hatuwezi kuifaulu?
Huruma ya Mungu ipo wapi ikiwa kila kukicha anakujazia mitihani ambayo huwezi kuifailu?
Yeye alishindwaje kumuacha Ibilisi mbinguni apambane naye mpaka akaamua kumtupia duniani?
Hapa tumeonewa sana.
Hawa watu wanaoleta maneno ambayo hayana definition inabidi tuwakabe kama wezi wa Tandale.[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] maswali ya mashanbulizi[emoji16][emoji16]
Hiyo dhana kuwa Mungu asingekuwa na huruma angeshatuangamiza umeijenga kwa misingi ipi?Mungu wetu ni MUNGU mwenye Rehema na Huruma kwa viumbe wake.... tujiuulize Kwa maovu tunayoyafanya leo kama ZINAA, MAUAJI, HOMOSEXUALITY, ULEVI, DHULMA didi ya wanyonge na MACHAFU MENGINE YOTE, ZAKA HATUTOI Angekuwa ni MUNGU ASIYE NA HURUMA angeshatuangamiza Lakini KWA HURUMA YAKE AMEENDELEA KUTUPA MUDA HUENDA TUTATUBIA.. ambaye atabaki na nyendo zake mbaya mpaka mwisho wa MAISHA YAKE BASI ITAKUWA NI HASARA KWAKE...
Naomba kuwasilisha wanajamvi wenzangu..
Suala la imani ni suala binafsi. Huwezi kulitenganisha na binadamu kwa sasa. Labda sayansi ije na majibu ambayo yamesababisha imani ikawepo. Kinyume na hapo ni kuheshimu tu imani za watu ilimradi ipo ndani ya sheria za nchi. Hao wanaokufa kwa kujirusha ghorofani na wengine kufia majini kwa jina la imani walivunja sheria za nchi ni vile hawakukamatwa kabla hawajafa.Sasa, kama imani inaweza kukufanya ujione unaweza kutembea juu ya maji ukafa, au ikakufanya ujione unaweza kuruka kutoka ghorofani kwenda kwenye Simtank usife, lakini ukafa, hapo tunaona imani si kigezo kizuri cha kufikia ukweli.
Unaweza kuamini kitu ni kweli, halafu imani yako isifanye kitu kile kuwa kweli.
Kwa nini tunapenda kuendekeza imani, badala ya uchambuzi wa kimantiki wenye mashiko zaidi ya imani tu?
Hiyo ni positive Energy but at the sametime ni Negative EnergyHawa watu wanaoleta maneno ambayo hayana definition inabidi tuwakabe kama wezi wa Tandale.
"Positive Energy" maana yake nini?
Nikimchamba vibaya sana malaya mchafu anayeeneza UKIMWI, kwa maneno ya ukweli, akawa njia panda ya kuweza kujiia kwa aibu au kupata elimu na kuachana na umalaya akafanya kazi nzuri isiyoeneza UKIMWI hiyo ni positive energy kwa sababu inaweza kumsaidia aache kueneza UKIMWI au ni negative energy kwa sababu nimempa ukweli bila kituo na anaweza kujiua kwa maneno yangu?
Unapimaje hapo?
Huruma ya Mungu iko wapi ikiwa kamuacha Ibilisi atawale?Hiyo dhana kuwa Mungu asingekuwa na huruma angeshatuangamiza umeijenga kwa misingi ipi?
Kwa mujibu wa maandiko matakatifu Mungu amekuwa akiangamiza kila wakati inapotokea uasi wa binadamu umeshamiri, alifanya hivyo enzi za gharika kuu na enzi za moto wa Sodoma.
Kama tunaweza kujua interval ya maangamizi hayo makuu mawili ni miaka mingapi, na miaka mingapi imepita tangu angamizo la mwisho hadi leo….. basi tunaweza kubashiri ikiwa huruma yake mpya ni endelevu au pengine uasi haujazidi kipimo au kama bado anatuvutia kasi tu.
Ibilisi na Mungu ni mambo ya imani. Imani ni hakika ya mambo yasiyoonekana. Sasa kutaka mtu athibitishe mambo yasiyoonekana sidhani kama ni sahihi na kama akiweza basi hiyo siyo imani tenaThibitisha kwanza kwamba IBILISI yupo [emoji23] nipuuzwe natania tu
Umenipa mtihani mkubwa[emoji16]Hawa watu wanaoleta maneno ambayo hayana definition inabidi tuwakabe kama wezi wa Tandale.
"Positive Energy" maana yake nini?
Nikimchamba vibaya sana malaya mchafu anayeeneza UKIMWI, kwa maneno ya ukweli, akawa njia panda ya kuweza kujiia kwa aibu au kupata elimu na kuachana na umalaya akafanya kazi nzuri isiyoeneza UKIMWI hiyo ni positive energy kwa sababu inaweza kumsaidia aache kueneza UKIMWI au ni negative energy kwa sababu nimempa ukweli bila kituo na anaweza kujiua kwa maneno yangu?
Unapimaje hapo?
Wewe ndio hujui hata kitu.Huna unalo jua so acha kubwabwaja
Huwezi thibitisha mambo ya iman kwani imani ni hakika ya mambo yasiyoonekana. Kama ukiweza kuthibitisha basi siyo imani tena bali ni kujua. Sentesnsi sahihi ni kuamini Ibilisi /Mungu yupo na siyo kujua ibilisi /Mungu yupo.Hizo habari za Mungu na Ibilisi kuwepo ni hadithi za kutunga za watu tu.
Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyethibitisha uwapo wa Mungu wala Ibilisi.
Ndiyo maana maelezo ya kuwapo Mungu yana contradictions nyingi sana ambazo hazijatatuliwa mpaka leo.
Si ukasome bibbleHacha kubwabwaja.
Umeandika Nini ivo.
Kwani bibia ndo wameandika ivo.Si ukasome bibble
Siyo Ibilisi peke yake, mpaka na Mungu wote wapo.Wewe unaamini kama Ibilisi yupo?