mik van vex
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 101
- 170
Tumeuziwa msala ambao hatujui chanzo chake pengine waliibiana mademualafu siku ya kiama unapigwa moto na uyo ibilisi,wengine hatumjui hata anafananaje.kwa kweli hao kina adam angemalizana nao uko eden sio kutuuzia kesi yao ambao hatukuepo
Umeeleza vizuriLazima tuwe na Mipaka katika Matamshi yetu...
Naomba kwanza kuweka kumbukumbu sawa; I was born and raised in a conservative Christian family until I was 20 in my first year Chuo kikuu baada ya kukutana na Mtu ambaye baadaye amekuja kuwa the love of my life NDIPO NILIPOAMUA KUBADILI DINI ingawa am not that much practicing anyway but I hope Mungu atanisaidia:
Naomba sasa kulizungumza hili in ISLAMIC perspective kwa ajili ya kushare uzoefu...
According to the aforementioned perspective HAYAKUWA MAISHA HAYA YA DUNIA ILA NI SEHEMU YA MTIHANI kwa Mwanadamu kutoka kwa Mola wake Mlezi. Baada ya Kuumbwa, kupewa akili na miongozo ya namna ya kuishi hapa duniani MWANADAMU AMEWEKEWA MITIHANI ILI KUMPIMA NI YUPO ANA MKHOFU MOLA MLEZI NA KUFUATA MIONGOZO YAKE NA NANI ATAKENGEUKA NA KUFUATA MATAMANIO YA NAFSI YAKE....
KWA HAKIKA VITIMBA VYA SHETANI NI VITIMBI DHAIFU; hawezi shetani kukushika kukulazimisha jambo lolote bali hukushawishi na WEWE UTALITEKELEZA KWA UTASHI WAKO MWENYEWE....
ATAKUPAMBIA juu ya NGONO, KUDHULUMU MALI NA HAKI ZA WENGINE, UBAKHILI KWA KUKUHOFISHA UTAFILISIKA, ATATUPAMBIA VILIVYOVICHAFU KUWA VIZURI NA MIFANO MINGINE MINGI...
MUNGU AMETUWEKEA KILA UPANDE WAZI ILI IWE JUU YA KILA MMOJA KUCHAGUA na siku ya malipo hakutakuwa na kusema hatukujua...
Na shetani siku ya HUKUMU ATAJIENGA NA KILA ATAKAMLAUMU YEYE...
MUNGU ni muweza wa kila jambo na hakuna wa kushindana na YEYE na Shetani ni kiumbe dhaifu ambaye MUNGU amejaaliwa awe mtihani kwa wanadamu...
Mungu wetu ni MUNGU mwenye Rehema na Huruma kwa viumbe wake.... tujiuulize Kwa maovu tunayoyafanya leo kama ZINAA, MAUAJI, HOMOSEXUALITY, ULEVI, DHULMA didi ya wanyonge na MACHAFU MENGINE YOTE, ZAKA HATUTOI Angekuwa ni MUNGU ASIYE NA HURUMA angeshatuangamiza Lakini KWA HURUMA YAKE AMEENDELEA KUTUPA MUDA HUENDA TUTATUBIA.. ambaye atabaki na nyendo zake mbaya mpaka mwisho wa MAISHA YAKE BASI ITAKUWA NI HASARA KWAKE...
Naomba kuwasilisha wanajamvi wenzangu..
hata wakifa nitazaa wengine nikifa Mimi ikining'ata wao watahangaika na hilo ndo fumbo la Imani enendeni kwa amaniWakati huo wewe ulishindwa kupambana na nyoka huyo alafu unataka watoto wapambane naye.
Pole, hujanielewa, mimi nilikusudia kumuigiza "imitate" mpingaji mmoja hapa JF, na si kwamba nilichokuwa nimeandika nilikuwa namaamisha, na ndo maana kwenye hiyo comment baada ya emoji ya kicheko niliandika 'nipuuzwe' nilikuwa 'natania tu'Hata mimi ninahisi inshu za shetani na Mungu ni blaaa blaaa tupu
Kiranga:vip kwa uelewa wako unafikili Dunia na binadamu na huu Ulimwengu ilitengenezwa na nani kama sio Mungu.Hizo habari za Mungu na Ibilisi kuwepo ni hadithi za kutunga za watu tu.
Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu aliyethibitisha uwapo wa Mungu wala Ibilisi.
Ndiyo maana maelezo ya kuwapo Mungu yana contradictions nyingi sana ambazo hazijatatuliwa mpaka leo.
alafu siku ya kiama unapigwa moto na uyo ibilisi,wengine hatumjui hata anafananaje.kwa kweli hao kina adam angemalizana nao uko eden sio kutuuzia kesi yao ambao hatukuepo
Dah, apo mzungu ktk utunzi wake wa baibo alitupiga. Sijui kwanin nakosaga imani juu ya ivi vitabu.
Kwa nini swali liwe "nani"?Kiranga:vip kwa uelewa wako unafikili Dunia na binadamu na huu Ulimwengu ilitengenezwa na nani kama sio Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok sawa una hoja nzuri Sana na Mimi sikupingi kwa Imani yako kuhusu kutomtambua Mungu naomba unisaidie chanzo Cha binadamu na huu Ulimwengu .Una hoja nzuri zenye facts kubwa sanaKwa nini swali liwe "nani"?
Huoni kwamba swali lako lina bias tayari?
Kwanza kabisa, kutomtambua Mungu si imani, ni kukosa imani.Ok sawa una hoja nzuri Sana na Mimi sikupingi kwa Imani yako kuhusu kutomtambua Mungu naomba unisaidie chanzo Cha binadamu na huu Ulimwengu .Una hoja nzuri zenye facts kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako kwamba Mungu hayupo naheshimu mawazo yako.Kwanza kabisa, kutomtambua Mungu si imani, ni kukosa imani.
Ukisema kutomtambua Mungu ni imani, ni sawa na kusema kunyoa kipara ni mtindo wa kusuka nywele.
Chanzo chq huyo unayemuita binadamu na huu ulimwengu mimi sikijui, na sijawahi kusema nakijua. Lakini najua si Mungu, kwa sababu Mungu hayupo.
Naweza kujua jibu fulani si sahihi, hata bila kujua jibu sahihi ni lipi.
Mathalan, ikiwa mama mzazi wa mtu ni lazima awe mkubwa kuliko huyo mtu, ukinionesha mtu wa miaka 30, halafu ukaniambia mtu huyu wa miaka 30 mama yake mzazi ni binti mchanga wa miezi 6 kwa wakati huohuo, nitajua binti mchanga huyo si mama yake mzazi mtu mwenye miaka 30.
Hata bila ya kujua mama yake mzazi mtu huyu mwenye miaka 30 ni nani.
Naweza kujua jibu fulani si sahihi, hata bila kujua jibu sahihi ni lipi.
Kwa mtizamo wangu na hekima yangu ni kwamba hii uliyoandika hapa sidhani kama unamuongelea Mungu mmoja ambaye anajua kila kitu na kwa hesabu zake na maarifa yake nadhani unaongelea mungu ambaye ni moja kati ya miungu mingi ya kufikirika na wanadamu na IBILIS unaemuongelea hapa ni yule yule wa kwenye series za kizungu na kinaijeria ambaye hayupo peke yake ana ndugu zake na wake zake na mademu zake na watoto wake na maradhi yake al muhimu Mungu unaemzungumzia wewe hapa ni wale waigizaji wa filamu za kingereza na kijapani lakini sio Mungu wa Adam na Muhamad au Mungu wa Mussa na Harun au Mungu wa Yakobo na Isaya mi naona unamuongelea Mungu wa Supernatural,Vampire Diaries na Spartacus kama ni hao nitafanya quote nyingine lakini kama ni Mungu huyu huyu ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa hana mshirika anafanya atakalo na afanyi atakalo mi nadhani urudie THREAD mkuu na headline yake iwe MIUNGU YA MOVIES.Kitendo cha Mungu kumtupa Ibilisi duniani ni kitendo cha uonevu mkubwa sana kwa binadamu.
Ibilisi sio levo za binadamu ni levo ya Mungu maana yake Mungu yeye angekomaa naye Ibilisi hukohuko mbinguni mpaka kieleweke. Kutuletea Ibilisi huku duniani ni kutuonea tu maana hatuna uwezo wowote wa kupambana naye.
Kama Ibilisi aliweza kupigana vita kuu mbinguni akiwa na malaika wake sasa binadamu ataweza kweli kupambana na kiumbe kama hiki?
Kiumbe ambacho kiliweza kupambana na malaika wa Mungu na kikafanikiwa kuwashawishi baadhi ya malaika kwenye vita kuu mbinguni na wakaasi sasa wewe binadamu utaweza kweli kupambana na Ibilisi?
Kama mbinguni tu Ibilisi alisumbua sana ambako ndiyo kuna Mungu na malaika huku duniani tutamuweza kweli?
Kama Ibilisi anauwezo wa kuingilia mipango ya Mungu na kuiharibu kama ule wa bustani ya Edeni na Mungu hamfanyi chochote anaishia tu kuwapa adhabu zisizo na maana yoyote Adam na Hawa. Hiki kiumbe sisi binadamu tutakiweza kweli?
Ilifikia hatua Mungu mwenyewe aliamua kumtoa kafara mwanaye wa pekee( Yesu) ili aweze kupambana na Ibilisi ila mission ikabuma. Sisi binadamu tutaweza kweli kupambana na Ibilisi?
Hivi unajua kama Ibilisi anaongea na Mungu moja kwa moja? Maana yake Mungu na Ibilisi huwa wanaonana. Unajua mazungumzo ya Mungu na Ibilisi kuhusu Ayubu? Sasa sisi binadamu tutaweza kweli kupambana na Ibilisi anayeweza kuongea na Mungu moja kwa moja?
Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani?
Hapa binadamu tumeonewa sana.
Jukumu la kupambana na Ibilisi ni jukumu la Mungu mwenyewe na sio la binadamu hivyo Mungu amtoe Ibilisi duniani na akaishi naye mbinguni sisi huku hatumuwezi.
Ndio maana imekuwa ni kawaida tu kumkuta mtu ni mfia dini haswa ila ni mzinifu,muongo,muuaji,mchawi,tapeli,mwizi, mnafiki n.k.
Nani kakudanganya kuna binadamu anaweza kupambana na Ibilisi?