Hivi Mungu aliwaza nini mpaka akaamua kututupia Ibilisi duniani!

1.Hujathibitisha Mungu yupo.

2. Hujaondoa contradiction ya problem of evil. Kama hata umeielewa.

3. Hujui kusoma kwa ufahamu.

4. Hujui kufikiri kimantiki.

5. Hujui kufikiri kidhahania.
 
Dawa ya kumshimda ibilisi ni kumwamini Yesu. Ukiiamini kazi ya Yesu msalabani utapata ushindi maana uzao wa mwanamke (Yesu) ulishamponda Ibilisi kichwa. Saivi ni mkia tu unachezacheza.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Hayaeleweki ndio maana yanaaminiwa tu.
Haieleweki katika akili za binadamu matter, energy, space, uhai na ulimwengu wote kwa ujumla vilikujaje duniani ndio maana imani zinakuwepo
Kwanza kabisa, unajuaje mambo yaliyo nje ya uwezo wa akili za binadamu kuyaelewa kwa kutumia akili za binadamu?
 
Ni nani aliyekuumba wewe? Em tuambie mwanzo wako?

Rakims
 
Hayaeleweki ndio maana yanaaminiwa tu.
Haieleweki katika akili za binadamu matter, energy, space, uhai na ulimwengu wote kwa ujumla vilikujaje duniani ndio maana imani zinakuwepo
Sawa.

Nikikwambia mimi ndiye Mungu muumba yote, na jambo hilo lipo nje ya uwezo wa binadamu kulielewa, hivyo amini tu, utaamini?
 
Siwezi kukuamini kwa sababu uko ndani ya uwezo wangu kukuelewa. Naweza kufahamu ulizaliwa lini, madhaifu yako na taarifa zako nyingine nyingi za kibinadamu. Naweza kukuelewa vizuri kwamba huwezi kuwa mungu.
Sawa.

Nikikwambia mimi ndiye Mungu muumba yote, na jambo hilo lipo nje ya uwezo wa binadamu kulielewa, hivyo amini tu, utaamini?
 
Siwezi kukuamini kwa sababu uko ndani ya uwezo wangu kukuelewa. Naweza kufahamu ulizaliwa lini, madhaifu yako na taarifa zako nyingine nyingi za kibinadamu. Naweza kukuelewa vizuri kwamba huwezi kuwa mungu.
Unajuaje kwamba sipo katika uwezo wako wa kunielewa, ila wewe huelewi tu, kwa sababu sipo katika uwezo wako wa kuelewa?

Na pia, unajuaje kuwa Mungu yupo kweli nje ya uwezo wako wa kumuelewa, na si kwamba hayupo, ila wewe umeaminishwa tu kwamba yupo nje ya uwezo wako wa kumuelewa?

Umesema unaweza kujua mimi si Mungu kwa sababu unaweza kujua tarehe yangu ya kuzaliwa,madhaifu yangu, anaweza kunielewa.

Kama hiki ndicho kigezo huoni kwamba kama Mungu hayupo, huwezi kujua siku yake ya kuzaliwa, madhaifu yake etc, kwa sababu hayupo. Na hivyo utaamini yupo wakati hayupo?
 
Ni hadithi tu za kusadikika
 
Nani kasema Mungu na Shetani ni maadui? Wale ni washikaji tena bila shaka ni mtu na mdogo wake wanaogombania kiti cha ufalme. Ili kufanikisha malengo yao zana za vita ni sis wanadamu. Ni kama Russia na USA kwa vile wote ni wakubwa hawawezi pigana direct wanamtumia Ukraine. Shetani hayuko mbinguni wala duniani yuko kila mahali ni kama Mungu naye yuko kila mahali, shetani ana nguvu kama Mungu na uwezo wake ni wa kimungu ndo maana Mungu hawezi pigana naye, uko mbinguni ana kundi la Malaika analitawala na Duniani hivyo hivyo ana kundi lake, kilichobaki na wote wawili kuendelea kushindana kuongeza makoloni(binadamu na malaika) ili atakayepata wafuasi wengi ndiye atawale.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Swali lako liko biased, kwa nini unauliza "nani" ?
Kwa jibu lako tu mkuu kwa kujibu swali juu ya swali inaonyesha ni kiasi gani bado huna uelewa hata na kile nilichouliza sawa let's see how you will understand this;
wacha nikuulize kwa impartiality,
Nini chanzo chako wewe?

Rakims
 
Kwa jibu lako tu mkuu kwa kujibu swali juu ya swali inaonyesha ni kiasi gani bado huna uelewa hata na kile nilichouliza sawa let's see how you will understand this;
wacha nikuulize kwa impartiality,
Nini chanzo chako wewe?

Rakims
Chanzo changu mimi ni Baba na Mama yangu.

Kwa nini umeuliza hivyo?
 
Chanzo changu mimi ni Baba na Mama yangu.

Kwa nini umeuliza hivyo?
Okay generation jinsi inavyokwenda chanzo chako nyuma ya bin Adam ni nini kwa uelewa wako maana umekubali Mungu hayupo. Umekubali kwa imani au umekubali kwa akili?

Rakims
 
Okay generation jinsi inavyokwenda chanzo chako nyuma ya bin Adam ni nini kwa uelewa wako maana umekubali Mungu hayupo. Umekubali kwa imani au umekubali kwa akili?

Rakims
Adam ni nani na unahakikishaje alikuwapo?

Generations sijui zimetokea wapi, kuna utata mwingi, lakini jibu la Mungu si sahihi.

Kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote aliyeumba dunia hii hayupo.

Hilo si jambo la imani tu, ni jambo la kimantiki.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…