Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
1.Hujathibitisha Mungu yupo.Watu wanafurahisha sana mida mingine, mtu kakurupuka huko kaja na mifano isiyo na kichwa wala miguu; “kunyoa kipara ni moja ya mtindo wa kusuka nywele? “ hii ni nini sasa lmfao? kipara huwa kinanyolewa? pia, kipara na kusuka wapi na wapi?. Hii ndo changamoto ya kukurupuka kwenye kufikiri, kwa hicho kibonzo kwa upeo wake aliona ni hoja, pia kwa asiyekuwa na uelewa wa kuchanganua mambo katika dimension zote anaweza akaona jamaa ameweka jiwe pale, lakini kwa wanaouelewa mchezo wangeuliza kwa nini asingeandika “kipara ni moja ya mtindo wa kunyoa nywele?”, hivyo tu imejitosheleza. Najua shabaha yake ilikuwa kuandika swali lenye mkinzano wa kimaana, kama ni hivyo alitakiwa aandike “kipara ni moja ya mtindo wa kusuka nywele?” na si hivyo alivyoandika – huo ni ufahamu mbovu. I NEVER ABANDON MY WEAK STUDENT
Hakuishia hapo akatoa na mfano wa pili wa “MAMA wa miaka 30 na MTOTO wa miezi 6” akieleza kwamba ukiambiwa “mtoto wa miezi 6 ndiye aliyemzaa mama wa miaka 30”, huu mfano kwenye LOGIC ni ABSURDITY - ni uongo, haiwezekani, sababu unapingana na BASIC LAW OF LOGIC ambayo ni LAW OF CONTRADICTION au NON CONTRADICTION, Hilo ni sahihi na mimi naunga hoja
Cha ajabu, huo huo mfano kwa mujibu wa nadharia ambayo yeye anaisadikisha - anaiamini ya CAUSALITY IN QUANTUM PHYSICS hilo jambo lipo - ni sahihi, nadharia inalazimisha kulielezea hivyo. CAUSALITY IN QUANTUM PHYSICS inasema “effect precipitates the cause in loop or cycles” au “effect happen before the cause in infinite quantum loop or cycles”. Tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili ni kwamba “MATOKEO hujiri/huwepo/hutokea kabla ya (V/K)ISABABISHI kwenye tabaka la mzunguko lisilo na mwanzo wala mwisho”. Kwa maana hiyo ni kwamba kwenye infinite quantum loop “MTOTO hutokea kabla ya MZAZI”, mimi nauliza je ni sawa? ni sahihi? inawezekanaje?. Yaani “uwepo wako “mtoto” utangulie uwepo wa wazazi wako?” = “mtoto uzaliwe kabla ya wazazi wako” huo ni uongo, haiwezekani, ni lazima visababishi viwepo/vitangulie kabla ya matokeo, au walau basi wangeleta “assumption” kwamba cause ‘visabanishi' viwe simultaneous na matokeo ‘effect' lakini visababishi ‘cause' viwe superior/greater/faster kuliko matokeo ‘effect', la sivyo wazazi na mtoto watakuwa na umri mmoja hahahaha
NB: Wanaosoma huu uzi naomba watafute uzi wenye mada: wanaopinga uwepo wa MUNGU ni wakaidi 2 ndo utanielewa vizuri
Uzi wa wasioamini uwepo wa MUNGU ni wakaidi 2 nilimwambia kwa kuwa anaamini “INFINITE QUANTUM LOOP” basi ATUTHIBITISHIE uwepo wake, hakufanya hivyo – na nina confidence interval 100% kwamba hawezi kuthibitisha hilo na cha ajabu anaamini uwepo wake, lakini likija suala la uwepo wa MUNGU hata akithibitishiwa convincingly kwa inference – empiricism – rationale – noumenal – phenomenal hataki kuamini, Sasa hii ni nini?
2. Hujaondoa contradiction ya problem of evil. Kama hata umeielewa.
3. Hujui kusoma kwa ufahamu.
4. Hujui kufikiri kimantiki.
5. Hujui kufikiri kidhahania.